Hatimaye Nuru imelishinda GIZA ktk KAMPUNI ya Jirani zetu nafasi ya u,-CEO.
Odii angeleta Kweli maendeleo ktk Nchi na wangeona mabadiliko ya haraka.
Tatizo kuu ni kuwa Odii anasimama upande wa GIZA.
Tolu anapendwa sana na raia, changamoto ni kuwa hatoweza yafikia matarajio ya raia wengi waliomwamini.
Anaingia Kwa TABASAMU kuu Kutoka Kwa raia kama BT alivyokuwa, lakini atatoka anachukiwa sana sababu kuu ni hatoweza wapa wananchi sawasawa na expectations walizoweka kwake kuwa juu zaidi ya kawaida.
Ataviziwa sana na wanaomzunguka Ili wamchonganishe na wananchi makusudi.
The Good thing Kwa Tolu ni amekaa upande wa kulia wa Mungu na Nuru.
Atahakikisha Mapenzi ya Mungu yanatimia ktk Nchi yake.
Kampuni yetu ijifunze pia kuwa anakuja pia wa aina hiyo ktk KAMPUNI yetu. Atakalia kiti asiyetoka ktk familia za KITAJIRI au WATAWALA, atainuliwa Kutoka CHINI, mavumbini na kuketishwa JUU atawale.
Ameeeen.