X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Hakuna mshindi kwenye hili!atashindishwa mwingine kabisa!!Wa mwisho ndiye mshindi...
Mwachieni amalizie nyie jamaa!hamuoni akipost tu komenti zitakuwa nyingi Halafu kampuni itakusanya mapato ya kutosha kupitia mbs!?
Inakuaje ya mwisho sasaHaya hii comment yangu ndo ya mwisho Uzi ufungwe...
Hatujawahi kulala kwenye mambo kama hizi hahahaaaaMwenye uzi wake anasema kaeni mkao wa kula anakuja na nondo Sio za Dunia hii, next week ,amekua busy kidogo na kureport vita ya Urus na Ukrein, KWa sasa atakuja na mawe , bandika bandua
Profile picha yako inaonesha ww ni unkomwn wa jinsia ya ke , au ww ndo yoga kwa id nyingine ?mnatuchora tu hapa
Mange hana akili za kuconnect hayo matukio.Huu Uzi kiboko:
Comments 6000+
Views/wasomaji 1M+
Mange ni kichwa balaa!
Riwaya tu TISS hawalali.
Yale maandamano yake feki Siro na vijana wake hawakulala wiki.
Shikamoo Da'Mange.
HahahahahaaaWho is mange????[emoji15][emoji15][emoji15]
Hivi sasa ni saa 4 na dkk 40 saa za afrika mashariki.Tik -tok, tik- tok, tik - tok!! Mapema sanaaaaaa my dear ila [emoji28] am happy today!! Anyways ni saangapi huko???[emoji6]