Mtafuta members huyu VIKITIM Ana Uzi wake HV Ni kichefuchefu hatari na inakimbia mbaya anyway mcheki huyo jamaa tu wakt tunamsikilizia yoga ajeHuu uzi upo wapi aseee, nataka niupitie. Tukiendelea msubiria Yoga
The problem is they dont care about that at ALLSasa ifike mahali nyie ambao mnanguvu nchi hii kutengeneza nchi ambayo viongozi wake Wana maono ili wahakikishe nchi yetu inakuwa Kati ya nchi yenye uchumi mkubwa duniani Kwa sababu tunarasilimali ya kutosha yaani tunamaliasili na rahisilimali watu wa kutosha.Mbona nchi za Asia zimepata maendelea haraka Sana kwanini tusijifunze Kwa waliofanikiwa?tukiendelea kuwakumbatia viongozi wanaotumia nafasi zao Kwa maslahi Yao na familia zao,viongozi mafisadi,viongozi wasio na maono na nchi yetu vizazi vijavyo vitatuona kuwa ni wajinga.viongozi wetu wakienda huko ulaya wanadharauliwa mfano Kwa kupandishwa kwenye mabasi wakati viongozi wa nchi za maana wakitumia magari Yao binafsi.haya mambo yatufanye tutengeneze uchumi wetu uwe mkubwa kama ili tuheshimiane.wanashindwa kutuheshimi Kwa sababu nchi zetu zinarasilimali za kutosha lakini bado tunaombaomba kwao.wenye mamlaka na wananchi wote tuamke sasa tunarasilimali za kutosha tujenge nchi yetu ili tumeshimiwe.tuamke vizazi vijavyo isituone kuwa Sisi ni wajinga.
Ndio shida ya vijaa wa mirembe kutokumaliza dozi..yoga kasema hii ni riwaya wewe nawe unaleta upuuzi wako humu..bora tu urudi fbk.Ona tapeli linavyowalisha watu udanganyifu.
Huyo KIKWETE hana uwezo wala nyenzo yoyote ya KUMUUA RAIS WA NCHI.
Naona unajaribu kufunika funika ukweli kwa kutengeneza uzushi na vijistori vya kuhadaa nyumbu.
Tunakucheki tu tunasema Hiiiiiiii....
Mange anahusikajeHuu Uzi kiboko:
Comments 6000+
Views/wasomaji 1M+
Mange ni kichwa balaa!
Riwaya tu TISS hawalali.
Yale maandamano yake feki Siro na vijana wake hawakulala wiki.
Shikamoo Da'Mange.
Umeona namna viongozi wetu hawana maono/vision?wameanzisha wenyewe tozo Sasa wanafuta baada ya muda.hawa ndo viongozi wetu kuna msemo afrika kwamba wenye mamlaka hawana vision lakini wasio na mamlaka Wana vision/maono.kama tutaendelea kuwa na Aina ya viongozi kama hawa ambao hawana vision tutaendelea kuwa nchi masikini.The problem is they dont care about that at ALL
Nan huyo aliefilisiwa?ebu tumegee kidogo kwa code elewekaHii story nzuri sana kuifutilia japo inahuzunisha,inaumiza na inakera sana. Nakumbuka the old CEO and king Maker alivyochora ramani kuiangusha Taasisi ya magonjwa ya moyo (THI ) mwaka 2012 kupitia mfuko wa hifadhi ya jamii Nssf kwa kisingizio cha mgogoro wa kimaslahi baina ya pande hizo mbili. Kilichotokea na nikichokisikia, najua na Mola pekee ndiye ajuaye kilichotokea ndani yake hadi kufilisiwa kwake.hakika Mungu ni Mkubwa na ndio mwenye haki ya kweli. Nasubili mwendelezo wake
Yule mzee aliniuma sana! Amekuja kuwekeza nyumbani akaishia kwenye complications zilizom frustrate sana na kuishia kufariki.Hii story nzuri sana kuifutilia japo inahuzunisha,inaumiza na inakera sana. Nakumbuka the old CEO and king Maker alivyochora ramani kuiangusha Taasisi ya magonjwa ya moyo (THI ) mwaka 2012 kupitia mfuko wa hifadhi ya jamii Nssf kwa kisingizio cha mgogoro wa kimaslahi baina ya pande hizo mbili. Kilichotokea na nikichokisikia, najua na Mola pekee ndiye ajuaye kilichotokea ndani yake hadi kufilisiwa kwake.hakika Mungu ni Mkubwa na ndio mwenye haki ya kweli. Nasubili mwendelezo wake
Mzee yupi!?Yule mzee aliniuma sana! Amekuja kuwekeza nyumbani akaishia kwenye complications zilizom frustrate sana na kuishia kufariki.
Aliyefilisiwa ni Dr.Ferdinand B.Masau, aliyekuwa daktari bingwa wa magonjwa ya moyo nchini na na mwanzilishi wa Taasisi ya magonjwa ya moyo alimaarufu Tanzania Heart institute hospital ( THI) iliyokuwa karibu na viwanja vya Leaders club kinondoni.bila shaka umeelewa mkuu.Nan huyo aliefilisiwa?ebu tumegee kidogo kwa code eleweka
Ndugu yangu, Tanzania hii nchi nzuri sana ila watu wake ndio hovyo kwa walio na madaraka na wajionao miungu watu.Yule mzee aliniuma sana! Amekuja kuwekeza nyumbani akaishia kwenye complications zilizom frustrate sana na kuishia kufariki.
Unaota?Sasa ifike mahali nyie ambao mnanguvu nchi hii kutengeneza nchi ambayo viongozi wake Wana maono ili wahakikishe nchi yetu inakuwa Kati ya nchi yenye uchumi mkubwa duniani Kwa sababu tunarasilimali ya kutosha yaani tunamaliasili na rahisilimali watu wa kutosha.Mbona nchi za Asia zimepata maendelea haraka Sana kwanini tusijifunze Kwa waliofanikiwa?tukiendelea kuwakumbatia viongozi wanaotumia nafasi zao Kwa maslahi Yao na familia zao,viongozi mafisadi,viongozi wasio na maono na nchi yetu vizazi vijavyo vitatuona kuwa ni wajinga.viongozi wetu wakienda huko ulaya wanadharauliwa mfano Kwa kupandishwa kwenye mabasi wakati viongozi wa nchi za maana wakitumia magari Yao binafsi.haya mambo yatufanye tutengeneze uchumi wetu uwe mkubwa kama ili tuheshimiane.wanashindwa kutuheshimi Kwa sababu nchi zetu zinarasilimali za kutosha lakini bado tunaombaomba kwao.wenye mamlaka na wananchi wote tuamke sasa tunarasilimali za kutosha tujenge nchi yetu ili tumeshimiwe.tuamke vizazi vijavyo isituone kuwa Sisi ni wajinga.
Moshi mzito kutanda angani chanzo nn Hadi kusababisha vilio? Toa escape route!!!Mimi ni Nani? Naninafanya nini huku nyikani? Wenzangu ni akina nani mbona naona moshi mzito mweusi umetanda angani na sauti za vilio na maombolezo kwa mbaaaaalii...Kwani sisi ni akina nani? Tumetokea wapi tunaenda wapi na kwanini tuko hapa?
BOURNE IDENTITY PHENOMENA.
Asante sana ,ndio uzuri wa jfAliyefilisiwa ni Dr.Ferdinand B.Masau, aliyekuwa daktari bingwa wa magonjwa ya moyo nchini na na mwanzilishi wa Taasisi ya magonjwa ya moyo alimaarufu Tanzania Heart institute hospital ( THI) iliyokuwa karibu na viwanja vya Leaders club kinondoni.bila shaka umeelewa mkuu.
ESCAPE ROUTE:usifungamane na upande wowote.Moshi mzito kutanda angani chanzo nn Hadi kusababisha vilio? Toa escape route!!!
Hivi kuna wakubwa kwako au Allah pekee atosha?Kama hutaki tuvamie si muandikiane private messages.
Punguani wahed.