Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Sasa ifike mahali nyie ambao mnanguvu nchi hii kutengeneza nchi ambayo viongozi wake Wana maono ili wahakikishe nchi yetu inakuwa Kati ya nchi yenye uchumi mkubwa duniani Kwa sababu tunarasilimali ya kutosha yaani tunamaliasili na rahisilimali watu wa kutosha.Mbona nchi za Asia zimepata maendelea haraka Sana kwanini tusijifunze Kwa waliofanikiwa?tukiendelea kuwakumbatia viongozi wanaotumia nafasi zao Kwa maslahi Yao na familia zao,viongozi mafisadi,viongozi wasio na maono na nchi yetu vizazi vijavyo vitatuona kuwa ni wajinga.viongozi wetu wakienda huko ulaya wanadharauliwa mfano Kwa kupandishwa kwenye mabasi wakati viongozi wa nchi za maana wakitumia magari Yao binafsi.haya mambo yatufanye tutengeneze uchumi wetu uwe mkubwa kama ili tuheshimiane.wanashindwa kutuheshimi Kwa sababu nchi zetu zinarasilimali za kutosha lakini bado tunaombaomba kwao.wenye mamlaka na wananchi wote tuamke sasa tunarasilimali za kutosha tujenge nchi yetu ili tumeshimiwe.tuamke vizazi vijavyo isituone kuwa Sisi ni wajinga.
The problem is they dont care about that at ALL
 
Ona tapeli linavyowalisha watu udanganyifu.

Huyo KIKWETE hana uwezo wala nyenzo yoyote ya KUMUUA RAIS WA NCHI.

Naona unajaribu kufunika funika ukweli kwa kutengeneza uzushi na vijistori vya kuhadaa nyumbu.

Tunakucheki tu tunasema Hiiiiiiii....
Ndio shida ya vijaa wa mirembe kutokumaliza dozi..yoga kasema hii ni riwaya wewe nawe unaleta upuuzi wako humu..bora tu urudi fbk.

#MaendeleoHayanaChama
 
The problem is they dont care about that at ALL
Umeona namna viongozi wetu hawana maono/vision?wameanzisha wenyewe tozo Sasa wanafuta baada ya muda.hawa ndo viongozi wetu kuna msemo afrika kwamba wenye mamlaka hawana vision lakini wasio na mamlaka Wana vision/maono.kama tutaendelea kuwa na Aina ya viongozi kama hawa ambao hawana vision tutaendelea kuwa nchi masikini.
 
Hii story nzuri sana kuifutilia japo inahuzunisha,inaumiza na inakera sana. Nakumbuka the old CEO and king Maker alivyochora ramani kuiangusha Taasisi ya magonjwa ya moyo (THI ) mwaka 2012 kupitia mfuko wa hifadhi ya jamii Nssf kwa kisingizio cha mgogoro wa kimaslahi baina ya pande hizo mbili. Kilichotokea na nikichokisikia, najua na Mola pekee ndiye ajuaye kilichotokea ndani yake hadi kufilisiwa kwake.hakika Mungu ni Mkubwa na ndio mwenye haki ya kweli. Nasubili mwendelezo wake
 
Hii story nzuri sana kuifutilia japo inahuzunisha,inaumiza na inakera sana. Nakumbuka the old CEO and king Maker alivyochora ramani kuiangusha Taasisi ya magonjwa ya moyo (THI ) mwaka 2012 kupitia mfuko wa hifadhi ya jamii Nssf kwa kisingizio cha mgogoro wa kimaslahi baina ya pande hizo mbili. Kilichotokea na nikichokisikia, najua na Mola pekee ndiye ajuaye kilichotokea ndani yake hadi kufilisiwa kwake.hakika Mungu ni Mkubwa na ndio mwenye haki ya kweli. Nasubili mwendelezo wake
Nan huyo aliefilisiwa?ebu tumegee kidogo kwa code eleweka
 
Hii story nzuri sana kuifutilia japo inahuzunisha,inaumiza na inakera sana. Nakumbuka the old CEO and king Maker alivyochora ramani kuiangusha Taasisi ya magonjwa ya moyo (THI ) mwaka 2012 kupitia mfuko wa hifadhi ya jamii Nssf kwa kisingizio cha mgogoro wa kimaslahi baina ya pande hizo mbili. Kilichotokea na nikichokisikia, najua na Mola pekee ndiye ajuaye kilichotokea ndani yake hadi kufilisiwa kwake.hakika Mungu ni Mkubwa na ndio mwenye haki ya kweli. Nasubili mwendelezo wake
Yule mzee aliniuma sana! Amekuja kuwekeza nyumbani akaishia kwenye complications zilizom frustrate sana na kuishia kufariki.
 
Nan huyo aliefilisiwa?ebu tumegee kidogo kwa code eleweka
Aliyefilisiwa ni Dr.Ferdinand B.Masau, aliyekuwa daktari bingwa wa magonjwa ya moyo nchini na na mwanzilishi wa Taasisi ya magonjwa ya moyo alimaarufu Tanzania Heart institute hospital ( THI) iliyokuwa karibu na viwanja vya Leaders club kinondoni.bila shaka umeelewa mkuu.
 
Sasa ifike mahali nyie ambao mnanguvu nchi hii kutengeneza nchi ambayo viongozi wake Wana maono ili wahakikishe nchi yetu inakuwa Kati ya nchi yenye uchumi mkubwa duniani Kwa sababu tunarasilimali ya kutosha yaani tunamaliasili na rahisilimali watu wa kutosha.Mbona nchi za Asia zimepata maendelea haraka Sana kwanini tusijifunze Kwa waliofanikiwa?tukiendelea kuwakumbatia viongozi wanaotumia nafasi zao Kwa maslahi Yao na familia zao,viongozi mafisadi,viongozi wasio na maono na nchi yetu vizazi vijavyo vitatuona kuwa ni wajinga.viongozi wetu wakienda huko ulaya wanadharauliwa mfano Kwa kupandishwa kwenye mabasi wakati viongozi wa nchi za maana wakitumia magari Yao binafsi.haya mambo yatufanye tutengeneze uchumi wetu uwe mkubwa kama ili tuheshimiane.wanashindwa kutuheshimi Kwa sababu nchi zetu zinarasilimali za kutosha lakini bado tunaombaomba kwao.wenye mamlaka na wananchi wote tuamke sasa tunarasilimali za kutosha tujenge nchi yetu ili tumeshimiwe.tuamke vizazi vijavyo isituone kuwa Sisi ni wajinga.
Unaota?
 
Mimi ni Nani? Naninafanya nini huku nyikani? Wenzangu ni akina nani mbona naona moshi mzito mweusi umetanda angani na sauti za vilio na maombolezo kwa mbaaaaalii...Kwani sisi ni akina nani? Tumetokea wapi tunaenda wapi na kwanini tuko hapa?
BOURNE IDENTITY PHENOMENA.
Moshi mzito kutanda angani chanzo nn Hadi kusababisha vilio? Toa escape route!!!
 
Aliyefilisiwa ni Dr.Ferdinand B.Masau, aliyekuwa daktari bingwa wa magonjwa ya moyo nchini na na mwanzilishi wa Taasisi ya magonjwa ya moyo alimaarufu Tanzania Heart institute hospital ( THI) iliyokuwa karibu na viwanja vya Leaders club kinondoni.bila shaka umeelewa mkuu.
Asante sana ,ndio uzuri wa jf
 
Back
Top Bottom