National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Acha nisogee senagal 😢Kosa la dead CEO ni kukubali kupewa msaidizi na Old CEO yaani hapo ni kama alijibanika kwenye wavu kusubili kubanikwa.
Sikiliza hii vide dk flani hivi.. Unganisha dots.. Changanya na za hapaInauma sana hata mimi natamani kuona wakimfata
Unaweza kuwa sahihi, ila hii ni vita kati ya makundi kadhaa. Anachokifanya Yoga kinawanyima usingizi baadhi ya watu tena watu wazito.... so tuombe asiwe kwenye tabu huyu ndugu yetu.No!
Unakumbuka kwenye uzi wake ule alipoandika;-
In the living memory of Mzee!
In the loving memory of Mr Tanzanite!
In the loving memory of BT!
Hadi mojawapo ikamilike ndani siku za mbeleni ndio she aendelee, HUWEZI endeleza hadi baadhi yakamilike hasa hizo loving memories!!
Kwanini naandika
Ndoto ya yule jamaa (Maharage ya ukweni)
Hiyo ya 12yrs haiji kutimia. Hata ikitokea sitegemei ya 17.3.2021 yajirudie.Deep state ipo!
Inafanya kazi sana katika Namna ambayo Wewe ni ngumu kung'amua!!
Mf;-
Awamu ya nne UFISADI ulitamalaki sana, UFISADI ule ulisaidia mzunguko wa fedha hata KWA masikini na ilipangwa iwe vile KWA kauli mbiu ya Maisha bora KWA KILA Mtz na kweli watu waliinuka kiuchumi Sana KWA kukwepa kodi,kielimu (tuliosoma KWA bodi ya mikopo na udahili chuo kikuu ukaongezeka Sana na ajira zikapatikana KWA wasomi),dili zikawa NYINGI Sana na full kujuana!!
Okh
Sasa deep state wakamuibua jpm,akaja akakaza na fedha NYINGI zikarudi KWA serikali Hadi matajiri wakafilisika na kodi ikawa juu na miundo mbinu ikajengwa haraka haraka!
Watu wakalimia meno kweli kweli na mafisadi wakakimbia NCHINI!
Sasa Hali imerudi tena kama awamu ya nne na itadumu KWA muda mfupi sana!haitokuwa tena miaka kumi kama ya jk bali itadumu chini ya miaka minne au mitatu (mtazamo Binafsi Baada ya ku digest nyuzi za ki jasusi humu jamvini)!!
Halafu
Atasimama jpm mwingine na fedha zitarudi serikalini na UFISADI utaisha kabisa na patashika ya mafisadit kuzirudisha fedha itavuma Sana!!
Chuma hicho kitadumu KWA miaka 12 Hapo mbeleni!!
Deep state inafanya kazi katika Namna ambayo SISI hatuwezi imagine hizo fedha zote zitarudi!
TUSUBIRI
Hawa matapeli Hawawezagi kuongea kwa sauti ya kawaida?Sikiliza hii vide dk flani hivi.. Unganisha dots.. Changanya na za hapa
Ya 17.3.2021 hayawezi kujirudia kweli!Hiyo ya 12yrs haiji kutimia. Hata ikitokea sitegemei ya 17.3.2021 yajirudie.
Nimesikiliza video vizuri!Sikiliza hii vide dk flani hivi.. Unganisha dots.. Changanya na za hapa
Nyie humu ndani acha kupeana story za vijiweni hiv kweli hii tooic yenu iwanyime usingizini na wao wanawaangalien wanashindwa kumbana max aifute hiv mnajua ishu za kuketa taharuki au usalama wa nchi mnadhani mtachekewa na hiz story zenu nyie hamuijui tanzaniaUnaweza kuwa sahihi, ila hii ni vita kati ya makundi kadhaa. Anachokifanya Yoga kinawanyima usingizi baadhi ya watu tena watu wazito.... so tuombe asiwe kwenye tabu huyu ndugu yetu.
Tunachangia story tu!Nyie humu ndani acha kupeana story za vijiweni hiv kweli hii tooic yenu iwanyime usingizini na wao wanawaangalien wanashindwa kumbana max aifute hiv mnajua ishu za kuketa taharuki au usalama wa nchi mnadhani mtachekewa na hiz story zenu nyie hamuijui tanzania
Anza kusikiliza hii kabla hajakufaNimesikiliza video vizuri!
Kuna nadharia mbili;-
1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!
Au
2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!
Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?
MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
Sikiliza na hiiNimesikiliza video vizuri!
Kuna nadharia mbili;-
1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!
Au
2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!
Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?
MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
Wapigie uwaulizeHawa matapeli Hawawezagi kuongea kwa sauti ya kawaida?
Namba mbili ngumu. Hao sio watanzania huyo mmoja ni wa SA na mwingine ni wa ZIM kwenye channel zao wamezungumza matukio mengi sana kabla hayajatokea na yalikuja kutokea, wana video nyingi sana za mataifa mbali mbali na viongozi mbali mbaliNimesikiliza video vizuri!
Kuna nadharia mbili;-
1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!
Au
2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!
Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?
MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
Acha kuniliza kila siku alisema tumuombee maskini jpm wetu mzuri dunia ilijuwa watamuondoaSikiliza na hii
Weka link ya hizo nyuzi tupashe ubongoDeep state ipo!
Inafanya kazi sana katika Namna ambayo Wewe ni ngumu kung'amua!!
Mf;-
Awamu ya nne UFISADI ulitamalaki sana, UFISADI ule ulisaidia mzunguko wa fedha hata KWA masikini na ilipangwa iwe vile KWA kauli mbiu ya Maisha bora KWA KILA Mtz na kweli watu waliinuka kiuchumi Sana KWA kukwepa kodi,kielimu (tuliosoma KWA bodi ya mikopo na udahili chuo kikuu ukaongezeka Sana na ajira zikapatikana KWA wasomi),dili zikawa NYINGI Sana na full kujuana!!
Okh
Sasa deep state wakamuibua jpm,akaja akakaza na fedha NYINGI zikarudi KWA serikali Hadi matajiri wakafilisika na kodi ikawa juu na miundo mbinu ikajengwa haraka haraka!
Watu wakalimia meno kweli kweli na mafisadi wakakimbia NCHINI!
Sasa Hali imerudi tena kama awamu ya nne na itadumu KWA muda mfupi sana!haitokuwa tena miaka kumi kama ya jk bali itadumu chini ya miaka minne au mitatu (mtazamo Binafsi Baada ya ku digest nyuzi za ki jasusi humu jamvini)!!
Halafu
Atasimama jpm mwingine na fedha zitarudi serikalini na UFISADI utaisha kabisa na patashika ya mafisadit kuzirudisha fedha itavuma Sana!!
Chuma hicho kitadumu KWA miaka 12 Hapo mbeleni!!
Deep state inafanya kazi katika Namna ambayo SISI hatuwezi imagine hizo fedha zote zitarudi!
TUSUBIRI
Nenda search andika" Tumia akili" halafu click nyuzi zake utajifunza mengi Sana!Weka link ya hizo nyuzi tupashe ubongo
Pole sana, damu yake haijapotea bure, ni ishara ya ukombozi. Kuna kipindi taifa zima inabidi limwage damu na kuna kipindi mtu mmoja tu akimwaga damu inatosha kwa ukombozi wa wote na taifa zima. Damu inaongea..Acha kuniliza kila siku alisema tumuombee maskini jpm wetu mzuri dunia ilijuwa watamuondoa
1" Hata ............niliyemuamini?Pole sana, damu yake haijapotea bure, ni ishara ya ukombozi. Kuna kipindi taifa zima inabidi limwage damu na kuna kipindi mtu mmoja tu akimwaga damu inatosha kwa ukombozi wa wote na taifa zima. Damu inaongea.. View attachment 2438810