Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

No!

Unakumbuka kwenye uzi wake ule alipoandika;-

In the living memory of Mzee!

In the loving memory of Mr Tanzanite!
In the loving memory of BT!

Hadi mojawapo ikamilike ndani siku za mbeleni ndio she aendelee, HUWEZI endeleza hadi baadhi yakamilike hasa hizo loving memories!!

Kwanini naandika

Ndoto ya yule jamaa (Maharage ya ukweni)
Unaweza kuwa sahihi, ila hii ni vita kati ya makundi kadhaa. Anachokifanya Yoga kinawanyima usingizi baadhi ya watu tena watu wazito.... so tuombe asiwe kwenye tabu huyu ndugu yetu.
 
Deep state ipo!

Inafanya kazi sana katika Namna ambayo Wewe ni ngumu kung'amua!!

Mf;-

Awamu ya nne UFISADI ulitamalaki sana, UFISADI ule ulisaidia mzunguko wa fedha hata KWA masikini na ilipangwa iwe vile KWA kauli mbiu ya Maisha bora KWA KILA Mtz na kweli watu waliinuka kiuchumi Sana KWA kukwepa kodi,kielimu (tuliosoma KWA bodi ya mikopo na udahili chuo kikuu ukaongezeka Sana na ajira zikapatikana KWA wasomi),dili zikawa NYINGI Sana na full kujuana!!

Okh

Sasa deep state wakamuibua jpm,akaja akakaza na fedha NYINGI zikarudi KWA serikali Hadi matajiri wakafilisika na kodi ikawa juu na miundo mbinu ikajengwa haraka haraka!

Watu wakalimia meno kweli kweli na mafisadi wakakimbia NCHINI!

Sasa Hali imerudi tena kama awamu ya nne na itadumu KWA muda mfupi sana!haitokuwa tena miaka kumi kama ya jk bali itadumu chini ya miaka minne au mitatu (mtazamo Binafsi Baada ya ku digest nyuzi za ki jasusi humu jamvini)!!

Halafu

Atasimama jpm mwingine na fedha zitarudi serikalini na UFISADI utaisha kabisa na patashika ya mafisadit kuzirudisha fedha itavuma Sana!!

Chuma hicho kitadumu KWA miaka 12 Hapo mbeleni!!

Deep state inafanya kazi katika Namna ambayo SISI hatuwezi imagine hizo fedha zote zitarudi!

TUSUBIRI
Hiyo ya 12yrs haiji kutimia. Hata ikitokea sitegemei ya 17.3.2021 yajirudie.
 
Hiyo ya 12yrs haiji kutimia. Hata ikitokea sitegemei ya 17.3.2021 yajirudie.
Ya 17.3.2021 hayawezi kujirudia kweli!

LAKINI Hujuma zitamfanya akae pembeni na 12 years kutimia!!!

Anajitahidi kiendana na Kasi Ili ajinufaishe mapema kabla hajaachia na kweli KWA Hiyo mikataba ya HUKO majuu lazima akaunti inanona Ili ikitokea yameshindikana TAYARI ana chake kikubwa!!
 
Sikiliza hii vide dk flani hivi.. Unganisha dots.. Changanya na za hapa

Nimesikiliza video vizuri!

Kuna nadharia mbili;-

1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!

Au

2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!

Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?

MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
 
Unaweza kuwa sahihi, ila hii ni vita kati ya makundi kadhaa. Anachokifanya Yoga kinawanyima usingizi baadhi ya watu tena watu wazito.... so tuombe asiwe kwenye tabu huyu ndugu yetu.
Nyie humu ndani acha kupeana story za vijiweni hiv kweli hii tooic yenu iwanyime usingizini na wao wanawaangalien wanashindwa kumbana max aifute hiv mnajua ishu za kuketa taharuki au usalama wa nchi mnadhani mtachekewa na hiz story zenu nyie hamuijui tanzania
 
Nyie humu ndani acha kupeana story za vijiweni hiv kweli hii tooic yenu iwanyime usingizini na wao wanawaangalien wanashindwa kumbana max aifute hiv mnajua ishu za kuketa taharuki au usalama wa nchi mnadhani mtachekewa na hiz story zenu nyie hamuijui tanzania
Tunachangia story tu!

Tunachangia uchumi KWA kununua MBS,na mzunguko wa fedha!

Hakuna cha ziada zaidi ya story tu jamvini!

Umetupata Mkuu!!?
 
Nimesikiliza video vizuri!

Kuna nadharia mbili;-

1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!

Au

2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!

Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?

MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
Anza kusikiliza hii kabla hajakufa
Unganisha dot dot na hi

 
Nimesikiliza video vizuri!

Kuna nadharia mbili;-

1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!

Au

2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!

Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?

MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
Sikiliza na hii
 
Nimesikiliza video vizuri!

Kuna nadharia mbili;-

1.kweli ni maono MUNGU kamuonyesha KUHUSU hayo aliyoyasema!

Au

2.ujasusi umeamua kuuandaaa umma kupitia hiyo video Ili Raia waelewe kabla haijaanza rasmi operation kutekelezwa!

Japo sijaelewa ni mwezi mei Mwakani au MWAKA Huu!!?

MAWAZO HURU HAYA KUTOKA KWA mtanzania Baada ya kusikiliza video!!
Namba mbili ngumu. Hao sio watanzania huyo mmoja ni wa SA na mwingine ni wa ZIM kwenye channel zao wamezungumza matukio mengi sana kabla hayajatokea na yalikuja kutokea, wana video nyingi sana za mataifa mbali mbali na viongozi mbali mbali
 
Deep state ipo!

Inafanya kazi sana katika Namna ambayo Wewe ni ngumu kung'amua!!

Mf;-

Awamu ya nne UFISADI ulitamalaki sana, UFISADI ule ulisaidia mzunguko wa fedha hata KWA masikini na ilipangwa iwe vile KWA kauli mbiu ya Maisha bora KWA KILA Mtz na kweli watu waliinuka kiuchumi Sana KWA kukwepa kodi,kielimu (tuliosoma KWA bodi ya mikopo na udahili chuo kikuu ukaongezeka Sana na ajira zikapatikana KWA wasomi),dili zikawa NYINGI Sana na full kujuana!!

Okh

Sasa deep state wakamuibua jpm,akaja akakaza na fedha NYINGI zikarudi KWA serikali Hadi matajiri wakafilisika na kodi ikawa juu na miundo mbinu ikajengwa haraka haraka!

Watu wakalimia meno kweli kweli na mafisadi wakakimbia NCHINI!

Sasa Hali imerudi tena kama awamu ya nne na itadumu KWA muda mfupi sana!haitokuwa tena miaka kumi kama ya jk bali itadumu chini ya miaka minne au mitatu (mtazamo Binafsi Baada ya ku digest nyuzi za ki jasusi humu jamvini)!!

Halafu

Atasimama jpm mwingine na fedha zitarudi serikalini na UFISADI utaisha kabisa na patashika ya mafisadit kuzirudisha fedha itavuma Sana!!

Chuma hicho kitadumu KWA miaka 12 Hapo mbeleni!!

Deep state inafanya kazi katika Namna ambayo SISI hatuwezi imagine hizo fedha zote zitarudi!

TUSUBIRI
Weka link ya hizo nyuzi tupashe ubongo
 
Acha kuniliza kila siku alisema tumuombee maskini jpm wetu mzuri dunia ilijuwa watamuondoa
Pole sana, damu yake haijapotea bure, ni ishara ya ukombozi. Kuna kipindi taifa zima inabidi limwage damu na kuna kipindi mtu mmoja tu akimwaga damu inatosha kwa ukombozi wa wote na taifa zima. Damu inaongea..
images.jpeg
 
Pole sana, damu yake haijapotea bure, ni ishara ya ukombozi. Kuna kipindi taifa zima inabidi limwage damu na kuna kipindi mtu mmoja tu akimwaga damu inatosha kwa ukombozi wa wote na taifa zima. Damu inaongea.. View attachment 2438810
1" Hata ............niliyemuamini?
2 "acha wabaki na nchi yao"
3" Ee Mungu acha mimi nipumzike"

Yule mtumishi wa Mungu akatoka analia machozi baada ya misa fupi ya mwisho.

Hapo ndo yule msimamizi wa mawe na yule aliyeongea sana wiki mbilizilizopita wakaanza kuangaika waone kama watasaidia wakikuwa washachelewa na maagizo kutoka juu ya mlima yashatokà hivo ikaisha hivyo.
 
Back
Top Bottom