Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

20230120_210721.jpg
20230120_210705.jpg
20230120_210656.jpg

Ndio wawekezaji kama hawa, Jiwe aliwafukuza sababu walikuwa wa Born Town? Sasa mama anawarudisha? au nae anatengeneza wake? ili ampoteze Born Town?! Game ngumu sana hii!
 
Born town wa yoga haonekani kwenye media au tutamuona kwenye episodes. Nasikia tangu November huko alipotoa post sijui sijui sijui sijui kinachoendelea. Leta mwendelezo labda akina Mzee na new CEO they have made a move.
Possible kabisa, maana hichi kimya sio poa! Mziwa wa afya kweli?!! Ngoja tuskilizie
 
Born town wa yoga haonekani kwenye media au tutamuona kwenye episodes. Nasikia tangu November huko alipotoa post sijui sijui sijui sijui kinachoendelea. Leta mwendelezo labda akina Mzee na new CEO they have made a move.
Kule Mkoani PaKa kaweka mrithi wake kwenye genge la usalama wake.

Amenusa harufu ya tabia ya Francophone Countries?
 
Mimi nahisi born town anataka kurudi nyumba nyeupe. Maana siku za hivi karibuni amekua mtu wa kupenda sana kideo. He's everywhere!

Mara yuko kwenye harambee, mara kwenye matamasha ya bongo fleva, mara ziara huko kusini. Uliona wapi mstaafu anakua na pirika namna hii?

Something smells fishy!
 
Mimi nahisi born town anataka kurudi nyumba nyeupe. Maana siku za hivi karibuni amekua mtu wa kupenda sana kideo. He's everywhere!

Mara yuko kwenye harambee, mara kwenye matamasha ya bongo fleva, mara ziara huko kusini. Uliona wapi mstaafu anakua na pirika namna hii?

Something smells fishy!
[emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nahisi born town anataka kurudi nyumba nyeupe. Maana siku za hivi karibuni amekua mtu wa kupenda sana kideo. He's everywhere!

Mara yuko kwenye harambee, mara kwenye matamasha ya bongo fleva, mara ziara huko kusini. Uliona wapi mstaafu anakua na pirika namna hii?

Something smells fishy!
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom