Dark days 17/03/20...

Jamani tuchukue tahadhari, tuendelee kuomba maombi ya TOBA na REHEMA Kwa Nchi yetu Tanzania.

Adui amedrop kirusi kingine mtaani, tupambane nacho kifutike na kupotelea kusikojulikana.

Kwa IMANI tumeshinda kama tulivyoshinda na uncle Magu.

Aamen
Kirusi gani hicho mkuu?
 
Kuna kitu kimenishangaza Jana watu wazima na watoto walikuwa wagonjwa kuharisha cha ajabu ni nikampigia jamaa mmoja nje ya nchi nae akanambia Hali ni hiyo hiyo homa na kuharisha...
Tuongeze tu Umakini ktk kujitibu, tusijedhani ni homa, tumbo au mafua ya kawaida.

Na ni all over, Si hapa mjini pekee.
 
Kuna kitu kimenishangaza Jana watu wazima na watoto walikuwa wagonjwa kuharisha cha ajabu ni nikampigia jamaa mmoja nje ya nchi nae akanambia Hali ni hiyo hiyo homa na kuharisha...
Ina maana hiki kinachotokea hapa mtaani watu wengi wakiugua Hata hapa kwangu ni new syndrome!!?

Mungu tuponye na hii kitu!!

Kuna trend ya mafua kitaa na kuhara tumbo!halafu inakondesha sana no limuona jirani majuzi halafu hasikii mseto!!!
 
Ina maana hiki kinachotokea hapa mtaani watu wengi wakiugua Hata hapa kwangu ni new syndrome!!?

Mungu tuponye na hii kitu!!

Kuna trend ya mafua kitaa na kuhara tumbo!halafu inakondesha sana no limuona jirani majuzi halafu hasikii mseto!!!

Duuh,au ndi hii imenikamata siku ya pili sasa mafua,ila kuendesha siendeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…