Yoga harudi tena.... Nipo paleeee[emoji117][emoji117][emoji117]Tafuta Cha kufanya wewe kwanza.
20 March 2023 Si mbali.
Sema tu umemiss story, huna lolote!!!Yoga harudi tena.... Nipo paleeee[emoji117][emoji117][emoji117]
Story ilikuwa nzuri lkn muda wakusubiri muendelezo uneifanya isahaulike na isitamanike tena.. Kwaina ya story najua hawezi kurudi tena hivyo nimeshaipotezea.. Sijamiss chochoteSema tu umemiss story, huna lolote!!!
Fuatilia unabii juu ya callender ya unabii ya kiyahudi kuhusu 2023.Story ilikuwa nzuri lkn muda wakusubiri muendelezo uneifanya isahaulike na isitamanike tena.. Kwaina ya story najua hawezi kurudi tena hivyo nimeshaipotezea.. Sijamiss chochote
MkuuFuatilia unabii juu ya callender ya unabii ya kiyahudi kuhusu 2023.
20oct 2022- 20March 2023..
Simulizi itakuwa very....
Maeneo yanayotajwa ndo Pana Malango ya kuzimu, so kipigo hakiepukiki.Mkuu
Kuna uzi wa Joshua justine unaohusu matetemeko huko mwanza,Dar,kimbunga Arusha na dodoma AISEH!
Mi nimeogopa Sana AISEH!
Sasa ndio tusiende huko mwaka huu!!?
Ndugu ZETU je!!?
Halafu Mungu hajabatilisha yule mtumishi kasema Mungu lazima apige nikiwaza napata uoga !
Na huko Bungeni majengo na kimbunga hicho vitisho aiseh Sana TU!!!
MkuuMaeneo yanayotajwa ndo Pana Malango ya kuzimu, so kipigo hakiepukiki.
Nilikwambia habari ya Mungu kuja kukikalia KITI hapa NYIKANI ukauliza ni lini,
Muda ndo huu, yaani kuanzia mwaka huu 2023 na kuendelea ni bandika bandua.
Turudi msalabani, TUOMBE TOBA na REHEMA Ili Mungu atuponye sisi na family zetu, bt kipigo Kwa waovu Kiko pale pale.
Ili Mungu akae kitini vizuri,lazima awasafishe waovu, hawezi tawala na waovu, Mungu ni mtakatifu.
Maombi ya watakatifu ndo yanasaidia Hali tuliyonayo, tofauti na hapo,
Malaika akiliachilia JIWE aliloshikilia juu ya Bahari, Dar yote Hadi bagamoyo itamezwa na Bahari, maana hapo ferr na b.moyo ndipo yalipo malango ya kuzimu na makafara ya watu wasio na HATIA hufanyika.
Ni kukubali tu kubadilika na kurudi Mungu anavyotaka.Mkuu
Kama mungu ataua waovu wote hapa Tz!nani atapona!!?
Watakatifu watakaopona ni wangapi!!?
Maana nionavyo waovu ni wengi Sana Hadi wale wanaotegemea mitishamba kama dawa za kazi zao yaani wanaotumia uganga Baada ya KUKOSA suluhisho la Biashara au kazi ZAO!
Mbona watz wengi watakufa kama no hivyo!!?
Watapona wangapi!?
Kati ya watu million 60 tuta(wata)baki wangapi!!?
SIPATI picha KABISA!
Wamitishamba hawana wao si wanatatua shida zao shida iko wapi wajameniMkuu
Kama mungu ataua waovu wote hapa Tz!nani atapona!!?
Watakatifu watakaopona ni wangapi!!?
Maana nionavyo waovu ni wengi Sana Hadi wale wanaotegemea mitishamba kama dawa za kazi zao yaani wanaotumia uganga Baada ya KUKOSA suluhisho la Biashara au kazi ZAO!
Mbona watz wengi watakufa kama no hivyo!!?
Watapona wangapi!?
Kati ya watu million 60 tuta(wata)baki wangapi!!?
SIPATI picha KABISA!
Naona kwa background kuna picha ya fukwe sijui safari hii ni kukodisha fukwe?View attachment 2489372View attachment 2489374View attachment 2489377
Ndio wawekezaji kama hawa, Jiwe aliwafukuza sababu walikuwa wa Born Town? Sasa mama anawarudisha? au nae anatengeneza wake? ili ampoteze Born Town?! Game ngumu sana hii!
Tarehe hizi alianza KMK.Umebaki mwezi mmoja kuikumbuka siku Ile ya MAJONZI ktk Nchi yetu.
Siku kama ya Leo mwaka 2021 chanzo kikuu Cha taarifa alikuwa KIGOGO, while shirika la utangazaji nchini lilikuwa kimya,
Tungetangaziwa kuwa Yu mgonjwa tungemuombea.
TUMESAMEHE na tunasonga mbele.
Miradi uloanzisha inakamilishwa ingawa Bei ya Mchele imetoka 1000 Hadi 3500,
Tutafika tu.
Aamen
Tujishike ofisa, Manjeree washauzwa huko. Sasa hivi wakitamani Kijiji wanakikodisha mnahamishwaNaona kwa background kuna picha ya fukwe sijui safari hii ni kukodisha fukwe?
uzii huo upo wapi ili niusomeNi kukubali tu kubadilika na kurudi Mungu anavyotaka.
Israel walishajua na wakaamza maombi baada ya Ule unabii niliouleta juu ya 2023 Kutoka Kwa Rabbi wa kule Israel,
Utaona tetemeko limepiga Turkey na Syria lilipita Israel ingawa madhara hayakuwa makubwa kwao,
Mungu hajawahi adhibu WANADAMU bila Kutoa taarifa,
Njaa Kali inakuja nchini na manabii wameshatoa habari bt viongozi wamelala!!!
Vita ya Urusi na Ukraine imeshachukua hatua ingine baada ya Rais wao kukimbia,
Ukikoswa na Upanga wa vita, tetemeko linapita nawe, ukiokoka tetemeko, njaa inapitia nawe, ukiokoka njaa kimbunga kinapita nk nk.
Dunia imeshaingia nyakati za hatari, turudi Kwa Mungu ndo salama yetu.
VODKA=A man on FURAHISHA ground.RASIMU alosimamia Judge WARIOBA inarudi mezani na marekebisho kdg yanafanyika hatimaye tunapata KITABU kipya.
Maridhiano yanaleta positive impact ktk KAMPUNI. VODKA asibezwe ni game changer. Ni mmoja wao.
Ameeeen
.the rope is hanging, somebody is about to catch up.
the winter is coming, the house in mourn, some states of vibwengo its like start to shout for the break-up, Mr Vodga luckly and may be going to make it and the new book will be written, and things might pave the way to him and all we will drink vodka.
the vodga should be taken as it is conc no mixing to untaste.
.The winter is coming, the house in mourn,.....vibwengo to shout for breakup, t.akili asema zibaki mbili, bt vodka says ziwe 3.
Yatosha samurai kama Bado hawajaelewa sio intelligent.
Lete story SAMURAI, kijiwe kimepoa sana.the rope is hanging, somebody is about to catch up.
the winter is coming, the house in mourn, some states of vibwengo its like start to shout for the break-up, Mr Vodga luckly and may be going to make it and the new book will be written, and things might pave the way to him and all we will drink vodka.
the vodga should be taken as it is conc no mixing to untaste.