VODKA Uliona Furahisha? Codes za samurai duh!!Mkuu
Utalewa Sana !!tusubiri jioni ukalale KABISAaaa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VODKA Uliona Furahisha? Codes za samurai duh!!Mkuu
Utalewa Sana !!tusubiri jioni ukalale KABISAaaa!!
Sure ilikuwa POISON bt linked with witchcraft.
Ndugu LIGNAS soma hapa. Page 334 Uzi wa yoga Juu ya unabii juu ya 2023.UNABII JUU YA 2023.
According to Hebrews callender.
Mwaka mpya unaanza October. In other way tumeshauanza mwaka mpya 2023.
VITA DHIDI ya KANISA 2023.
Kuna vita inaendelea ktk Ulimwengu wa Roho Kwa miezi mitatu Oct, November na December.
Matokeo ya vita hiyo yatakuja kuonekana baada ya miezi 3 ya kule ktk Ulimwengu wa Roho ilikoanzia, Hivyo ktk uhalisia itaonekana JAN, FEB na MARCH 2023 ktk Ulimwengu wa mwili.
Watumishi wa Mungu watashambuliwa Kwa Kila njia kuhakikisha Mungu hapati Ibada duniani.
Watu wa Mungu wanaaswa kuomba Ili pasiwepo majanga March 2023 ktk mataifa.
Maombi serious yanaendelea Kwa Walio wa Mungu bt kama huombi jua you are in trouble maana wataanguka Kwa Tauni na upanga WANADAMU wengi Hasa WAOVU.
Kutatokea:
1.VITA ktk mataifa. 2. NJAA. 3. Riots au Maandamano. 4. Magonjwa 5. Economic stagnation, Nk. Nk nk.
Kuna vuguvugu limeanza ktk Nchi mojawapo EA, viongozi wanapuuza wanaaminia farasi na wapanda farasi wengi walionao.
Kama Pana mtu ANAONA anapita kipindi kigumu, tunapoelekea Hali itakuwa zaidi ya hapo.
SABABU ZA MAGUMU KUIKUMBA DUNIA.
1. Dhambi na UOVU uumezidi ktk Nchi hivyo adhabu lazima ije ktk Nchi mfano,
Disney channel Kuna cartoon ya KIPEPO inaitwa LITTLE DEMON, inalenga kuwaingizia watoto kuanzia 3 years na kuendelea wavamiwe na Roho ya Ushoga na usagaji na waamini single gender marriage ni jambo la kawaida.
2. RUSHWA imetapakaa ktk mataifa, HAKI na msingi aloweka Mungu haufuatwi. Damu ya wasio na hatia imemwagwa sana. Nk n k nk
3. YEZEBELI kushikilia REMOTE control kuwaongoza Wafalme wa Dunia kufuata maelekezo ya BAAL na SHETANI.
Mungu asema, Hakuna AMANI itatawala kama Bado YEZEBELI anatawala.
Uasi utatokea, Vita, Magonjwa nk, umelenga kusafisha waovu wote Ili wale WATAKATIFU wakaao Duniani wapate kupumua.
Kizazi Cha vijana waloharibiwa na YEZEBELI kitainuka dhidi ya wazazi na viongozi wao na kuleta sintofahamu ktk JAMII na Nchi nyingi.
PREPARE THE WAY OF THE LORD.
YEZEBELI wakati wa Kuzaliwa Kwa Yesu alilenga kuwauwa watoto wote Ili YESU pia auawe, bt hakuweza sababu Mungu alimficha.
Alipozaliwa MUSA Nabii, waliuawa maelfu ya watoto Ili Mission ya Ukombozi wa Wana wa Mungu usifanikiwe, bt Apangacho Mungu ndicho hutimia.
Ktk mazingira ya ugumu wa Maisha, kundi kubwa la waliokandamizwa ,Mungu atawapa uwezo waje juu Ili kudai MABADILIKO na HAKI ktk Nchi nyingi.
Uchumi utayumba, njaa itazidi, utulivu utakosekana.
Kitainuka kizazi kitakachoulizia yupo wapi Mungu wa ELIYA aliyepasua mto kupitia vazi la ELIYA mkononi mwa MTUMISHI wake Elisha.
Watataka mabadiliko, HAKI na sauti zao hazitaweza kuzuilika.
A SMALL WINDOW IN HEAVEN.
Itakuwepo njia ndogo mfano wa Dirisha litakalotumika kama Escape route Kwa watu makini, Wana wa Mungu watakaochukua mambo haya ktk Umakini wake.
Watakaoomba na KUTUBU na kuishi maisha ya utakatifu.
EZEKIEL 33:1-4
Yasema Watch man au mlinzi aliye juu ya mnara, akiona HATARI inakuja ktk Nchi yake KAZI yake ni kupress ALARM.📢📢📢📢🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎷🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎺
Alarm imeshalia, imewaarifu wakaao ktk Dunia, Mataifa na Nchi Ili wajiandae Kwa yajayo.
Na mlinzi asipopress ALARM kuwastua anaowalinda, na yakatokea Madhara, DAMU ya watakaoanguka Kwa Upanga itadaiwa mikononi mwa mlinzi huyo.
Nabii amefikisha ujumbe Kwa mataifa.
NOTE. Mambo yote huanzia ktk Ulimwengu wa ROHO kabla ya kuja Kutokea ktk Ulimwengu wa mwili.
Vita inaendelea. Matokeo ya vita ya kiroho yataonekana miezi mitatu baada ya October 2022, yaani Jan, Feb na March.
Tukiomba ipasavyo March 20, 2023 madhara yatakuwa kidogo.
Bt time frame ni kuanzia 20 0ctober 2022 Hadi 20 march 2023.
Mwenye sikio na asikie.
Ameeeeen.
ITAENDELEA,.........................
Soma Dark days page 334, Kuna Unabii juu ya 2023 nilidrop.uzii huo upo wapi ili niusome
No napitia tu comments.Kazi imeanza!?kuelekea March 20 ya yoga!!?
Just a story!!!
Miezi kumi ya maombi!No napitia tu comments.
Tunaendelea na Maombi juu ya nchi.
Mapigo yameelekezwa ktk maeneo 3.
1. Nchi. 2. Uongozi. 3. KANISA.
1. NCHI.
Damu inapomwagwa bila HATIA, Ardhi hufunua kinywa kuimeza. Taarifa hupanda Kwa muumba.
Damu Ina TABIA ya kusema, na kudai KISASI, mfano ni Cain alipomuua Habili. Damu iliomba KISASI Kwa aliyeimwaga.
Ardhi inapoletewa Damu Badala ya mbegu na maji Kwa ajili ya KILIMO matokeo Huwa ni,
MATETEMEKO, TUFANI baharini, UKAME na NJAA.
2. KANISA.
Mungu alimpa Nchi Adam ailime na kuitunza, hivyo Hadi tunavyoongea KANISA ndo limekabidhiwa Nchi.
KANISA limekabidhiwa Nchi Ili kuwaombea viongozi Ili watimize mapenzi ya Mungu juu ya watu.
KANISA la sasa limevamiwa na Manabii wa Uongo, wanaibia watu pesa na kuwapa mafuta ambayo huleta mabaya zaidi juu ya watu.
Wanauza chumvi, wanafanya UZINZI madhabahuni, wanawalazimisha waumini wauze Mali zao Ili wajinufaisha wenyewe, hawawaambii UKWELI waumini waache dhambi na WASILETE mapato yatokanayo na wizi madhabahuni.
ADHABU juu ya KANISA ni juu ya manabii wa uongo, itakuwa juu ya Kondoo pia sababu wameacha kuwafuata Wachungaji wa Kweli na kuwafuata waongo.
3. VIONGOZI wa watu.
Dhuluma juu ya raia zinapotokea, mauaji, RUSHWA nk viongozi wasipotenda HAKI, ADHABU yaja juu Yao, Nchi itapovurugwa watakosa KIBALI juu ya watu.
SULUHU YA KUEPUSHA mabaya JUU ya NCHI, UONGOZI na KANISA.
1. KIBALI JUU YA NCHI.
Mungu amekasirika na amekusudia kuifuta Nchi Kwa mapigo mbalimbali sababu ya maovu hapo juu.
Tuombe Ili Tupate KIBALI juu ya nchi yetu. Mungu asiifute Nchi yetu juu ya uso wa Dunia.
2. TUOMBE Nchi ipate uongozi wa ROHO MTAKATIFU juu ya viongozi, KANISA na raia Kwa ujumla.
Watu wakiongozwa na Roho MTAKATIFU, hapatakuwa na RUSHWA, USHOGA, wizi, UZINZI, dhuluma, auaji au Roho ya Uasi Kwa vijana juu ya JAMII au Nchi.
3. TUOMBE HOFU ya Mungu itawale juu ya nchi.
Palipo na HOFU ya Mungu Kwa viongozi, KANISA na raia Kwa ujumla patakuwa na HAKI, UMOJA na UPENDO ktk Nchi na watu wake.
Tukiomba juu ya hayo mambo 3, Nchi itastawi, na ghafula Tutaona viongozi wanaacha ubinafsi na kujali watu sababu Mungu ataingia ktk mioyo Yao na kubadilisha.
Tuendelee kuomba, imebaki miezi 10 tu.
Ameeen.
Naomba kuuliza swali.No napitia tu comments.
Tunaendelea na Maombi juu ya nchi.
Mapigo yameelekezwa ktk maeneo 3.
1. Nchi. 2. Uongozi. 3. KANISA.
1. NCHI.
Damu inapomwagwa bila HATIA, Ardhi hufunua kinywa kuimeza. Taarifa hupanda Kwa muumba.
Damu Ina TABIA ya kusema, na kudai KISASI, mfano ni Cain alipomuua Habili. Damu iliomba KISASI Kwa aliyeimwaga.
Ardhi inapoletewa Damu Badala ya mbegu na maji Kwa ajili ya KILIMO matokeo Huwa ni,
MATETEMEKO, TUFANI baharini, UKAME na NJAA.
2. KANISA.
Mungu alimpa Nchi Adam ailime na kuitunza, hivyo Hadi tunavyoongea KANISA ndo limekabidhiwa Nchi.
KANISA limekabidhiwa Nchi Ili kuwaombea viongozi Ili watimize mapenzi ya Mungu juu ya watu.
KANISA la sasa limevamiwa na Manabii wa Uongo, wanaibia watu pesa na kuwapa mafuta ambayo huleta mabaya zaidi juu ya watu.
Wanauza chumvi, wanafanya UZINZI madhabahuni, wanawalazimisha waumini wauze Mali zao Ili wajinufaisha wenyewe, hawawaambii UKWELI waumini waache dhambi na WASILETE mapato yatokanayo na wizi madhabahuni.
ADHABU juu ya KANISA ni juu ya manabii wa uongo, itakuwa juu ya Kondoo pia sababu wameacha kuwafuata Wachungaji wa Kweli na kuwafuata waongo.
3. VIONGOZI wa watu.
Dhuluma juu ya raia zinapotokea, mauaji, RUSHWA nk viongozi wasipotenda HAKI, ADHABU yaja juu Yao, Nchi itapovurugwa watakosa KIBALI juu ya watu.
SULUHU YA KUEPUSHA mabaya JUU ya NCHI, UONGOZI na KANISA.
1. KIBALI JUU YA NCHI.
Mungu amekasirika na amekusudia kuifuta Nchi Kwa mapigo mbalimbali sababu ya maovu hapo juu.
Tuombe Ili Tupate KIBALI juu ya nchi yetu. Mungu asiifute Nchi yetu juu ya uso wa Dunia.
2. TUOMBE Nchi ipate uongozi wa ROHO MTAKATIFU juu ya viongozi, KANISA na raia Kwa ujumla.
Watu wakiongozwa na Roho MTAKATIFU, hapatakuwa na RUSHWA, USHOGA, wizi, UZINZI, dhuluma, auaji au Roho ya Uasi Kwa vijana juu ya JAMII au Nchi.
3. TUOMBE HOFU ya Mungu itawale juu ya nchi.
Palipo na HOFU ya Mungu Kwa viongozi, KANISA na raia Kwa ujumla patakuwa na HAKI, UMOJA na UPENDO ktk Nchi na watu wake.
Tukiomba juu ya hayo mambo 3, Nchi itastawi, na ghafula Tutaona viongozi wanaacha ubinafsi na kujali watu sababu Mungu ataingia ktk mioyo Yao na kubadilisha.
Tuendelee kuomba, imebaki miezi 10 tu.
Ameeen.
NawaitNaomba kuuliza swali.
Kwanini nchi yetu iadhibiwe eti kwa kwasababu ya kwenda kinyume na Mungu wakati kuna nchi nyingi zina uovu zaidi yetu?
Tuna uhusiano gani na Mungu, kwanini tufutwe juu ya uso wa dunia, sisi ni wabaya sana kiasi hicho au ni the so called chosen nation?
Naomba majibu mtumishi kwa duku duku langu kama hutojali.
Ahsante na ubarikiwe sana.
LABDA hujawahi soma comments zake zote!!Naomba kuuliza swali.
Kwanini nchi yetu iadhibiwe eti kwa kwasababu ya kwenda kinyume na Mungu wakati kuna nchi nyingi zina uovu zaidi yetu?
Tuna uhusiano gani na Mungu, kwanini tufutwe juu ya uso wa dunia, sisi ni wabaya sana kiasi hicho au ni the so called chosen nation?
Naomba majibu mtumishi kwa duku duku langu kama hutojali.
Ahsante na ubarikiwe sana.
Ni leoTarehe 20 Februari 2023, haiko mbali.
Mambo makubwa sana haya mkuuLABDA hujawahi soma comments zake zote!!
Inaaminika ki Biblia nchi yetu ya ziwa nyanza Ndio itakuwa KIMBILIO la mataifa yote kwa wale watakatifu Yaani wamwabuduo katika Roho na kweli!
Kipindi Hicho Dunia nzima itakua chini ya utawala wa shetani ya masih ja dal au mpinga kristo Sasa Hapa KWETU Ndio pekee MUNGU atatawala kupitia mtumishi wa MUNGU Yaani hakuna Rais muovu atakaesimama!!
Sasa kabla MUNGU hajatawala nchini mwetu Lazima maandalizi yafanyike nayo ni operation ondoa waovu wote nchini kupitia majanga,machafuko,njaa na magonjwa !
Hiyo safisha itawakumba waovu wote kabla MUNGU hajatawala kupitia mtumishi wake!!
Inaaminika baada ya mama anaefuata ni mtumishi wa MUNGU Ili kusafisha uovu na kuweka mfumo Rasmi wa kimungu nchini!!
Na huyo MTUMISHI anafahamika ameshatajwa TAYARI HUMU!!
Knowledge extracted From uzi ule wa Tumia akili wa "FDR na utawala wa miaka 12 nchini"
Mdau alikoment mule!!
Tutakaofanikiwa kuwepo kunakomajaaliwa kuanzia 2026 tunaweza tukaona hayo baada ya safisha safisha inayotabiriwa!!
Hiyo ni intro atakuja MWENYEWE in detail ZAIDI!!
Naomba link ya huo uzi japo naogopaMkuu
Kuna uzi wa Joshua justine unaohusu matetemeko huko mwanza,Dar,kimbunga Arusha na dodoma AISEH!
Mi nimeogopa Sana AISEH!
Sasa ndio tusiende huko mwaka huu!!?
Ndugu ZETU je!!?
Halafu Mungu hajabatilisha yule mtumishi kasema Mungu lazima apige nikiwaza napata uoga !
Na huko Bungeni majengo na kimbunga hicho vitisho aiseh Sana TU!!!