NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Mpaka trh 1 hiyo tutakuwa tushakonda sisi wafungua code.Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
Umemaliza kuichuja.?Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
Too little mindAndika ueleweke, mafumbo yanini? Awamu ya kuogopana imeenda na maji. Kuwa muwazi ueleweke. Unaandika mafumbo mpaka mwenyewe unajichanganya. Si weka wazi tu majina na lichokikusudia kuandika.
Shule zingine za Tanzania ni majanga, mitihani kuanzia chekechea mpaka sasa mtu mzima na shughuli zako, mitihani imekukaa kichani unatupa sisi mtihani. Hizo ndio shule za kusomea ujinga, mmefinyangwa-finyangwa na mitihani mpaka bongo zimejitia loki, Funguka.
Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
Inasubiria mkutano mkuu wa ccm Ili upate cha kuongezea eeh!!!Haya tunasubiri Sana tu!!Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
Siti ya mbele kabisaMungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
why should we mind?Too little mind
Wewe ni very low minded person ndiyo maana umeshindwa kufungua code kwenye uzi huuwhy should we mind?
Kasome brotherWewe ni very low minded person ndiyo maana umeshindwa kufungua code kwenye uzi huu
Sawa brother kK
Kasome brother
Huenda kijana wa the current CEO ndo yoga, unajuaje?Huu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..
Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..
Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako