Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Andika ueleweke, mafumbo yanini? Awamu ya kuogopana imeenda na maji. Kuwa muwazi ueleweke. Unaandika mafumbo mpaka mwenyewe unajichanganya. Si weka wazi tu majina na lichokikusudia kuandika.

Shule zingine za Tanzania ni majanga, mitihani kuanzia chekechea mpaka sasa mtu mzima na shughuli zako, mitihani imekukaa kichani unatupa sisi mtihani. Hizo ndio shule za kusomea ujinga, mmefinyangwa-finyangwa na mitihani mpaka bongo zimejitia loki, Funguka.
Too little mind
 
Mungu ni mwema, kuanzia 01/04 tutaumalizia uzi wetu vizuri sana kwa kasi inayoridhisha!! Asanteni !! Andaa tu popcorn za kutosha!!
FO6jf3tXIAgiWk-.jpg


Sawa hakuna neno tutakesha hapa hadi hiyo tarehe
 
Huu uzi ukweli ni asilimia kumi tu..

Mengine yote ni kazi ya fasihi. Kikao kikae na watu wawili huko Doha tena ndani alafu wewe ujue kila kitu kilichoongewa..

Alafu una habari ya team zote mbili na kila mkakati kwa kila team unaufahamu. Duuuh hata Kigogo pamoja na uongo wake wote hakuwahi kufikia level zako
Huenda kijana wa the current CEO ndo yoga, unajuaje?
 
Kuna wadau wanauchukulia huu uzi so personal, wanareact kichizi kama the current CEO mpaka akanaswa.

Em tusome kama story tu, uamini ama usiamini we iweke kama story za alfu lela ulela wala hutoona tabu.
Mleta uzi katumia wahusika wake hao maCEO, chairman nk, kwanini sasa wewe upachike wako??

Kama unaona wanaendana basi ni kheri tu, mwisho wa siku unajitaftia magonjwa ya moyo kwa kukasirikia story za jf tu daah.
 
Back
Top Bottom