Ni nsiire va ntisira se![emoji848]View attachment 2540604
Sent using Jamii Forums mobile app
Kibo kya nsire ang'umbe[emoji849]
Bado siku 9 yoga
Kila ni kimzoom! Huyu hapa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kikulacho Ki nguoni mwako.
Alisikika mwanamziki mmoja toka Zenji akiimba!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nkyamuuuma! AiseeNi nsiire va ntisira se!
Mzee mwenzie ni Yoda
Deep state yetu usikute wengi hukubali kuwa "chawa" wa viongozi, kwa maslahi yao binafsi na wala siyo kwa maslahi ya Taifa. Bado tunayo safari ndefu.Ninamashaka kama kampuni hii ina hao wanaojiita deep state/watu wanaolinda maslahi ya nchi Kwa sababu ya mambo yanayoendelea Kwa mfano ubadhilifu wa Mali ya Uma au ufisadi.watu wanajipigia kila upande.I think the don't care about us.
Natamani hii iwe kweliDeep state ipo!
Inafanya kazi sana katika Namna ambayo Wewe ni ngumu kung'amua!!
Mf;-
Awamu ya nne UFISADI ulitamalaki sana, UFISADI ule ulisaidia mzunguko wa fedha hata KWA masikini na ilipangwa iwe vile KWA kauli mbiu ya Maisha bora KWA KILA Mtz na kweli watu waliinuka kiuchumi Sana KWA kukwepa kodi,kielimu (tuliosoma KWA bodi ya mikopo na udahili chuo kikuu ukaongezeka Sana na ajira zikapatikana KWA wasomi),dili zikawa NYINGI Sana na full kujuana!!
Okh
Sasa deep state wakamuibua jpm,akaja akakaza na fedha NYINGI zikarudi KWA serikali Hadi matajiri wakafilisika na kodi ikawa juu na miundo mbinu ikajengwa haraka haraka!
Watu wakalimia meno kweli kweli na mafisadi wakakimbia NCHINI!
Sasa Hali imerudi tena kama awamu ya nne na itadumu KWA muda mfupi sana!haitokuwa tena miaka kumi kama ya jk bali itadumu chini ya miaka minne au mitatu (mtazamo Binafsi Baada ya ku digest nyuzi za ki jasusi humu jamvini)!!
Halafu
Atasimama jpm mwingine na fedha zitarudi serikalini na UFISADI utaisha kabisa na patashika ya mafisadit kuzirudisha fedha itavuma Sana!!
Chuma hicho kitadumu KWA miaka 12 Hapo mbeleni!!
Deep state inafanya kazi katika Namna ambayo SISI hatuwezi imagine hizo fedha zote zitarudi!
TUSUBIRI
I think ni sehemu ya pili ya hii hadithi.Kwani tarehe 20 March kuna nini? Nikumnushemi tafadhali...
Nasikia mzuka wake ulifufuka j3!hapo katikati ya jiji!kukatokea patashika NGUO kuchanika!na kimbunga ghafla kufuta nyayo zake!!Leo sku nzuri saaana!! Rates are up!![emoji3060][emoji3060] Muwe na jioni njema, [emoji178][emoji178][emoji178][emoji178][emoji178]
Funguka mkuu!Nasikia mzuka wake ulifufuka j3!hapo katikati ya jiji!kukatokea patashika NGUO kuchanika!na kimbunga ghafla kufuta nyayo zake!!
Deep state yetu usikute wengi hukubali kuwa "chawa" wa viongozi, kwa maslahi yao binafsi na wala siyo kwa maslahi ya Taifa. Bado tunayo safari ndefu.
Uzalendo ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya maslahi ya nchi yako na wananchi wake. Na wala siyo kufanya kazi ili kuwafurahisha viongozi wasio wazalendo!
Hatuwataki tena kina Chief Mangungo katika nchi yetu (kwa maana ya viongozi wanaojali matumbo yao tu).
Hatakiwi kuahidi na kutekeleza kw usahihi, ni hatari sana! Unpredictability wakati mwingine ni kinga dhidi ya hatari.Tarehe 20 ambayo YOGA amepanga kudrop simulizi,
Tarehe hiyo hiyo ODII amepanga kwenda naii jumba kubwa Kwa demonstration,
Je ni coincidence?
Watu wanajua ku keep plansAlisema toka mwaka jana mwendelezo ni tarehe 20/03/2023