Dark days 17/03/20...

Ninamashaka kama kampuni hii ina hao wanaojiita deep state/watu wanaolinda maslahi ya nchi Kwa sababu ya mambo yanayoendelea Kwa mfano ubadhilifu wa Mali ya Uma au ufisadi.watu wanajipigia kila upande.I think the don't care about us.
Deep state yetu usikute wengi hukubali kuwa "chawa" wa viongozi, kwa maslahi yao binafsi na wala siyo kwa maslahi ya Taifa. Bado tunayo safari ndefu.
Uzalendo ni kuwa tayari kufa kwa ajili ya maslahi ya nchi yako na wananchi wake. Na wala siyo kufanya kazi ili kuwafurahisha viongozi wasio wazalendo!
Hatuwataki tena kina Chief Mangungo katika nchi yetu (kwa maana ya viongozi wanaojali matumbo yao tu).
 
Natamani hii iwe kweli
 
Nani kasema pesa hela yetu ya mwisho ni Tsh 10000?

KWANINI isiwe 100 au 500?

Kwani hii dunia inaisha lini ili tuanze upya?
 

Umeona watu wa kufiwa hapa?
Unaweza jitoa na ukawaambia ukweli ila wakaambatana na muongo.
Watanzania wengi wanafki na wabinafsi..
Ukisimamia haki unabaki mwenyewe[emoji2955]
Upinzani nayo hawawii mamoja. Sasa what is what🫵[emoji2533]
 
Tarehe 20 ambayo YOGA amepanga kudrop simulizi,

Tarehe hiyo hiyo ODII amepanga kwenda naii jumba kubwa Kwa demonstration,

Je ni coincidence?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…