Dark days 17/03/20...

Bas Yoga kama mjinga mm nitakua mjinga Zaid yake maana namkubali Sana kulko we na akili zako mgando

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unanionea mkuu. Nilikuwa namjibu mtu mmoja aliyesema tunampaisha yoga wakati hana chochote zaidi ya ujinga. Nikamwambia sisi tunaukubali ujinga wake. Yeye mwerevu apite kule.
 
Wewe andika uzi wako bhana
Afungue PM ili iweje
 
Itakuwa aliugusa mfereji wako wa ridhiki.chuki yako ni nzito sana na Shukrani Kwa mazuri si sehemu yako.

Narudi offline nikiguswa na comment nitarudi online
 
Makafara ya watu wasio na hatia? How?
 
taking over, days in dark, dip dark dip dip state......................
 
Handing over the business, orienting freshers, its an open sea and cool, all are soft.
Yes, they are friends and big bananaz, thinking in different way and far away forward with big brains

We cheers and popping together, but they did again alone and in dark.
 
bahari imetulia hakuna mawimbi tena, hahahaaha kila mkubwa ana mkubwa.
dip in dark, there is big brains (not these one), the project is smoothing and soon the ship will anchor.
Anchoring in someone dock and re-register in his flag with full control remotely operated bridge.

Steam za bhangi hii ninayovuta kutoka Ecuador ni kali sana.
 
Vibwengo wametulia, Kasia linapigwa gizani, Vibwengo hawaelewi wanaona maruweruwe tu.
hahahahaha, Baba karudi sasa, yule kulee mbali gizani anapiga kasia kwenye uelekeo wake.

Hela tamu bwana, My friend Ghadafi was slaughtered at Sirte, Nimemuandikia Nicholous huyu huyu Sakhosy wa French Africa alipe lile deni letu ambalo kaka yake Chirac analijua.
Africa hatuleti tena vifaru, tunatupa tu ndoano na chambo.
 
Huyo baba aliyerudi anayepiga kasia mbali gizani ni BT au yule mwenye msalaba mkubwa pale vaticanino au Odii?
 
Unaamini maridhiano yatasababisha Bahari kutulia?

Naskia underground uji wa moto unafukuta kule Kwa mpemba!!
 
Banafsi hii thread ningeomba mods waifute. Sababu kubwa ipo.
Watu wengi hawajui kanuni kuwa 'walioshindwa njia panda ukijifanya upande wao utawapeleka pande unayoitaka'.
Mkumbuke Tz hii kabla jina lako halijaingizwa kwenye kinya'nganyiro Cha urais huwa linapitiwa na watu gani kwanza.




MAGUFULI4LIFE.
 
Na mimi naongezea; Ukitaka watoto wako wasikusikilize na kukufuata mema unayowafundisha,waogeshe,wavike na uwalishe batili.



MAGUFULI4LIFE.
 
Narudia tena,

Utabiri wa yatakayojiri 2023 ulitoa timeframe ya kuanzia 20 Oct Hadi 20 March 2023,

Yoga akaahidi kuendeleza simulizi 20 March 2023,

Kinyaa, Kwa Madiba, Nigerriae, Morroco pia wanafanya demonstration on 20 March.

Je ni coincidence?
 
He is going to fall.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…