Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Sisi tunaamnini akina mo ndio wanavibunda kumbe kuna mwamba BT anachota hadi 1.5 Tri sasa bingwa hawa tunaoona sisi matajiri kumbe BT anawaona mafala tuuu .ila BT ni master hatar mkupuo mmoja anachota 1.5 tri na bado zingine ndogondogo kama vibillion si atakuwa anapita navyo sana
Stori za vijiweni. Sio rahisi mtu kutumia muda wake mwingi kuandaa makala ndefu kama haya bila kuwa na maslahi na kitu fulani.

Sina hakika kama yoga anafurahisha genge tu hapa. Big No!
 
Ungempeleka usiku kwenye ungo wa bibi yako? Kila kampuni za nje zilikuwa zimejaa miiba ulitaka akamaliziwe huko?
Read the story carefully, there was no need, too late is always too late, kuna wakati unasema let it be hasa ukijua kuwa kikulacho ki nguoni mwako. Hizo siku mbili tatu unazozisema zilikuwepo hata zaidi ya hizo lakini........... so what?
Sentence yako ya mwisho in real life haiwezi ku function...... kwamba asema kuwa fulani awe? Ahaaaa kwa ubavu upi?
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza?

usicho kijua ni usiku wa giza..
kikubwa omba kifo chema hata dk za mwisho uweze kuongea na familiya yako alafu upate nafasi ya kuongea na Mungu wako kwa mara ya mwisho. Lakini mbaya wako asikushuhudie dk za mwisho maana ataanza kukusimanga eg? Amka sasa tuone? Bweka sasa nikuone. Wakati upo hoi hiyo itakufanya ufariki na kinyongo.

Yule bwa na nakuja 'kumuona mgonjwa' wahudumu hapana ngonjwa kwa sasa kapumzika huwezi kumwangalia! " hata mimi? Jibu "Ndio hata wewe" yes hii ndo dawa sahihi.
'Hata mimi' ni nani huyo mkuu?
 
Sorry mleta mada unaweza kuweka link za episodes ili iwe rahisi kuzisoma kuliko kwenda page kwa page
 
Mdomo koma ahaaaa wataka kujua nani alikuja kushuhudia kifo ahaaa soma story bana. hii story kama ufatilii mambo ya kampuni itakuwa ngumu kufungua code.

"Ukila vya wenzaaaako lazima uliwe"

Acha uvivu soma story.[emoji1787]
Kama alizuiliwa asimuone mgonjwa kwa hofu kwamba mgonjwa atafariki akiwa na kinyongo sio sahihi.

Licha ya mazuri ya mgonjwa, alikuwa na dharau kwa watangulizi wake.

Dharau inaponza hata kama unamaguvu kiasi gani.

Huenda asingelidharau ujio wa 'hata mimi' angelipata ahueni.

Uzee ni dawa.

Sikilizeni wanachowashauri. Hakukudhuru ukiwa mdogo na usumbufu wako sembuse umekua mtu mzima unamtumia kapesa ka maziwa?
 
Ungempeleka usiku kwenye ungo wa bibi yako? Kila kampuni za nje zilikuwa zimejaa miiba ulitaka akamaliziwe huko?
Read the story carefully, there was no need, too late is always too late, kuna wakati unasema let it be hasa ukijua kuwa kikulacho ki nguoni mwako. Hizo siku mbili tatu unazozisema zilikuwepo hata zaidi ya hizo lakini........... so what?
Sentence yako ya mwisho in real life haiwezi ku function...... kwamba asema kuwa fulani awe? Ahaaaa kwa ubavu upi?
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza?

usicho kijua ni usiku wa giza..
kikubwa omba kifo chema hata dk za mwisho uweze kuongea na familiya yako alafu upate nafasi ya kuongea na Mungu wako kwa mara ya mwisho. Lakini mbaya wako asikushuhudie dk za mwisho maana ataanza kukusimanga eg? Amka sasa tuone? Bweka sasa nikuone. Wakati upo hoi hiyo itakufanya ufariki na kinyongo.

Yule bwa na nakuja 'kumuona mgonjwa' wahudumu hapana mgonjwa kwa sasa kapumzika huwezi kumwangalia! " hata mimi? Jibu "Ndio hata wewe" yes hii ndo dawa sahihi.
Kwa mujibu wa hii hadithi tukio lilipangwa , na lilipangwa kwa muda mrefu, na mpangaji asingeweza kutekeleza peke yake.
Kwa vyovyote kulikua na timu iliyohusika kufanikisha yote.

Kwenye hiyo timu kusingekosekana msaliti mmoja ambaye angemdokeza the late what goin on.
Baada ya dokezo the late asingekosa la kufanya madhara yasitokee au kuyazuia kabisa.
Hakuna kitu kizuri kama taarifa, hata kama taarifa imechelewa kiasi gani inakua bora kuliko taarifa isiyo kuwepo.
 
Ungempeleka usiku kwenye ungo wa bibi yako? Kila kampuni za nje zilikuwa zimejaa miiba ulitaka akamaliziwe huko?
Read the story carefully, there was no need, too late is always too late, kuna wakati unasema let it be hasa ukijua kuwa kikulacho ki nguoni mwako. Hizo siku mbili tatu unazozisema zilikuwepo hata zaidi ya hizo lakini........... so what?
Sentence yako ya mwisho in real life haiwezi ku function...... kwamba asema kuwa fulani awe? Ahaaaa kwa ubavu upi?
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza?

usicho kijua ni usiku wa giza..
kikubwa omba kifo chema hata dk za mwisho uweze kuongea na familiya yako alafu upate nafasi ya kuongea na Mungu wako kwa mara ya mwisho. Lakini mbaya wako asikushuhudie dk za mwisho maana ataanza kukusimanga eg? Amka sasa tuone? Bweka sasa nikuone. Wakati upo hoi hiyo itakufanya ufariki na kinyongo.

Yule bwa na nakuja 'kumuona mgonjwa' wahudumu hapana mgonjwa kwa sasa kapumzika huwezi kumwangalia! " hata mimi? Jibu "Ndio hata wewe" yes hii ndo dawa sahihi.
Sidhani kama around the world alikua na maadui, au BT alikua amepandikiza timu asingeweza kamwe, mr late hakua amekosa marafiki wenye nafasi kama yake ambao wange msave na kumpa msaada, hata kama hao marafiki kwao hakuna utaalamu wa kutatua tatizo lake wangekodiwa wataamua kutoka kwingine wake watatue tatizo akiwa nje ya kampuni, hata kama asinge survive lakini isingekua gafla kiasi kile, au isingekuwa kama ilivyo kua.
 
Ungempeleka usiku kwenye ungo wa bibi yako? Kila kampuni za nje zilikuwa zimejaa miiba ulitaka akamaliziwe huko?
Read the story carefully, there was no need, too late is always too late, kuna wakati unasema let it be hasa ukijua kuwa kikulacho ki nguoni mwako. Hizo siku mbili tatu unazozisema zilikuwepo hata zaidi ya hizo lakini........... so what?
Sentence yako ya mwisho in real life haiwezi ku function...... kwamba asema kuwa fulani awe? Ahaaaa kwa ubavu upi?
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza?

usicho kijua ni usiku wa giza..
kikubwa omba kifo chema hata dk za mwisho uweze kuongea na familiya yako alafu upate nafasi ya kuongea na Mungu wako kwa mara ya mwisho. Lakini mbaya wako asikushuhudie dk za mwisho maana ataanza kukusimanga eg? Amka sasa tuone? Bweka sasa nikuone. Wakati upo hoi hiyo itakufanya ufariki na kinyongo.

Yule bwa na nakuja 'kumuona mgonjwa' wahudumu hapana mgonjwa kwa sasa kapumzika huwezi kumwangalia! " hata mimi? Jibu "Ndio hata wewe" yes hii ndo dawa sahihi.
Paragraph ya pili kutoka mwisho nimeielewa ,I think inatubidi tufanye hivyo sote.
 
Sidhani kama around the world alikua na maadui, au BT alikua amepandikiza timu asingeweza kamwe, mr late hakua amekosa marafiki wenye nafasi kama yake ambao wange msave na kumpa msaada, hata kama hao marafiki kwao hakuna utaalamu wa kutatua tatizo lake wangekodiwa wataamua kutoka kwingine wake watatue tatizo akiwa nje ya kampuni, hata kama asinge survive lakini isingekua gafla kiasi kile, au isingekuwa kama ilivyo kua.
Ahaaa so katibu wa masanja(tumia akili) na pacha hawakufanya hiki unachokisema? Unaongea nini wewe?

So hukusikia sabuni ya roho 189? Unadhani zilikuwa za kazi gani? Come oon!!
 
Kwa mujibu wa hii hadithi tukio lilipangwa , na lilipangwa kwa muda mrefu, na mpangaji asingeweza kutekeleza peke yake.
Kwa vyovyote kulikua na timu iliyohusika kufanikisha yote.

Kwenye hiyo timu kusingekosekana msaliti mmoja ambaye angemdokeza the late what goin on.
Baada ya dokezo the late asingekosa la kufanya madhara yasitokee au kuyazuia kabisa.
Hakuna kitu kizuri kama taarifa, hata kama taarifa imechelewa kiasi gani inakua bora kuliko taarifa isiyo kuwepo.
Kwa mujibu wa hii story, muhusika alipenyezewa taarifa ndo akaamua kukimbilia nje ya ofisi lakini baadae akarudi na akasema hawaniwezi
 
Mzee sio huyo unaemtaja!!

Ni yule asie na wizara maalumu ndani ya kampuni!!

Yule ambae ndie aliemuingiza BT KWA uceo wa kampuni those days!ni huyo jina lake linaanza na captain ........ M....k......c.......h......k.......a




Inaonekana zile loving memories zilifeli KWA muda walivokua wamepanga KWA sequence fulani!!

BT alipopiga zile picha kule KWA mbuga akiwa amevaa kadeti na tisheti na raba ile picha haikua ya Bahati MBAYA ilituma ujumbe kuwa Mambo ni super Sana YEYE Bado anadunda loving memories zitakua KWA wengine but not him!!

Any news from BONDENI!!!?is Mr Tanzanite okh!!?is Mzee okh!!?is BT continuing being okh!?


Ngoja TUSUBIRI!!
Who is Mr Tanzanite, who is Mr Freedom? Mana nilikua najua Mr Freedom is from neighboring company but now nasoma tena anatakankupewa uPM nachanganyikiwa kidogo hapa[emoji28]
 
Back
Top Bottom