Dark days 17/03/20...

Ila mwinyi jnr ni mtu mpole mwenye hekima hata alipokuwa Rais ni hulka yake tu jinsi alivo Hana mambo mengi he is way better than rizimoko someone who is down to earth and humble
 
Ukishazishika hela tu unakuwa hujali saaana kuvaa. Wewe unashangaa kwa sabb ni mlala hoi[emoji23]
Hamna Cha mlalahoi unaonaga mitupio ya Kamala Harris ya ki official and classic kulingana na nafasi yake anaonekana serious being smart na kuwa na official look sio matter ya tajiri au maskini bana
 
Hamna Cha mlalahoi unaonaga mitupio ya Kamala Harris ya ki official and classic kulingana na nafasi yake anaonekana serious being smart na kuwa na official look sio matter ya tajiri au maskini bana
Ila kwa pic hiyo mbona kapendeza tu? Ni wewe tu na wivu wako[emoji23] wanawake mna wivu mno aisee
 
Ila kwa pic hiyo mbona kapendeza tu? Ni wewe tu na wivu wako[emoji23] wanawake mna wivu mno aisee
Unanikosea kusema wivu nothing was personal about my comments au wivu mkuu tulia is my elder sister but she need to change her look mbona yule pindi chana huvaa vizuri tu na kupendeza au jokate
 
Kijana ww bado mdogo sana..haya mambo ni mazito..nikuombe uende kwenye ule uzi wa kula kimasihara au chit chart...humu ni pagumu sana mdogo wangu..please adhere to my advice...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…