Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Hakaribii hata robo. And awe makini sana. Manaa mzee akianguka kama leo sijui. Yewomii[emoji23][emoji23] magenge pinzani yote yatateam up. Nimesubiria nione akifa kama yoga alivyoireport lkn wapi. Huu mkojo alioukojoa babake udumu milele. Aniuzie hata mbegu waache kutusimanga kaskazini[emoji23]
Rizimoko sio proactive sana at least ingekuwa madilu ni mtu anayejua ku grab opportunities kijana yupo yupo tu aisee aombe Mungu Mzee wake Aishi umri mrefu bila hizo itakuwa shida maana team Zita gang up
 
Rizimoko sio proactive sana at least ingekuwa madilu ni mtu anayejua ku grab opportunities kijana yupo yupo tu aisee aombe Mungu Mzee wake Aishi umri mrefu bila hizo itakuwa shida maana team Zita gang up
Exactly. Ila simpendi madelu jamani[emoji23][emoji23][emoji119] he is not smart jamani. Aombe tu babake aishi
 
Rizimoko sio proactive sana at least ingekuwa madilu ni mtu anayejua ku grab opportunities kijana yupo yupo tu aisee aombe Mungu Mzee wake Aishi umri mrefu bila hizo itakuwa shida maana team Zita gang up
Hamjasoma vizuri nyie!!

Dr mwinyi junior alikua na mbwembwe!!?

Huo ukimya wake na kama zoba hivi ndio mbinu za kimedani!huoni ukiwa smart sana utaamsha uwindaji haramu wa I chwa chake!!!?

Muda ukifika wa kuanza kusukuma kete kuingia king mtaona kitakacho jiri kama lengo lao ni hilo!!

Tusubiri

Cha msingi ni kimoja tu,je deep state wameamua na yeye aje ashike!!!?kama sio ni sio tu!!
 
Ha ha ha ha exactly. I just so much love intelligence family. Maua apewe. Na hata siku nikakutana nae nitampa maua yake... sitaacha. Kama ndo anaweza tunyoosha hvi. Mwanae tu hana hizi akili. Imagine mkwere anatutesa hivi[emoji23] sema pia anashirikiana na sisi kaskazini na hapo kwa akina mwaisa vzr ndo maana mambo yanaenda poa.
Jk hashirikiani na kaskazini pekee ili mambo yamuendee poa,anashirikiana na kanda zote incl kusini, mashariki n.k
 
Hakaribii hata robo. And awe makini sana. Manaa mzee akianguka kama leo sijui. Yewomii[emoji23][emoji23] magenge pinzani yote yatateam up. Nimesubiria nione akifa kama yoga alivyoireport lkn wapi. Huu mkojo alioukojoa babake udumu milele. Aniuzie hata mbegu waache kutusimanga kaskazini[emoji23]
Kabisa aisee
 
Hakaribii hata robo. And awe makini sana. Manaa mzee akianguka kama leo sijui. Yewomii[emoji23][emoji23] magenge pinzani yote yatateam up. Nimesubiria nione akifa kama yoga alivyoireport lkn wapi. Huu mkojo alioukojoa babake udumu milele. Aniuzie hata mbegu waache kutusimanga kaskazini[emoji23]
Hahahahaha hivi miss pablo unataka born town akuuzie mbegu, au rizi1 akuuzie mbegu?
 
Hakaribii hata robo. And awe makini sana. Manaa mzee akianguka kama leo sijui. Yewomii[emoji23][emoji23] magenge pinzani yote yatateam up. Nimesubiria nione akifa kama yoga alivyoireport lkn wapi. Huu mkojo alioukojoa babake udumu milele. Aniuzie hata mbegu waache kutusimanga kaskazini[emoji23]
Wanawasimanga kaskazini hamna akili au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jk hashirikiani na kaskazini pekee ili mambo yamuendee poa,anashirikiana na kanda zote incl kusini, mashariki n.k
Yes. Sijakataa ila kuna wale mainly. Akina marehem mramba etc. Kuna matukio unayaona kbs. We unafikiri Mramba alienda jela burebure tu eh[emoji23] ile ilikua sadaka iliyotukuka.. i cant believe he is gone jamani. Mjukuu wake alimuambukiza covid
 
Yes. Sijakataa ila kuna wale mainly. Akina marehem mramba etc. Kuna matukio unayaona kbs. We unafikiri Mramba alienda jela burebure tu eh[emoji23] ile ilikua sadaka iliyotukuka.. i cant believe he is gone jamani. Mjukuu wake alimuambukiza covid
Upo sahihi. Mramba ni mzee wa wapi jmani?
 
Nataaka og.[emoji23][emoji23] za baba. Nikanunue za kilaza zitanisaidia nn miye[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah hiki kichwa kibovu. Kwamba unataka za born town mwenyewe...
Hivi upo serious kabisa? Vp born town akikutongoza leo so utamtegea mimba??[emoji23]
 
Back
Top Bottom