Former CEO aka bt.Tofauti kati ya tolu na nani mkuu?
Now u are talking.miss pablo na cariha
Huo mdahalo wenu, umekuwa kama scene flani ya comedy katikati ya series ya horror.
Kuwa smart mind uwe na watu wa kukutekelezea majukumu. Old CEO alikosa sifa ya uvumilifu na usikivu. Ukikosa sifa hizi kwenye medani umeshapoteza mechi kama mshindani wako akivipata.
Old Ceo alikihukumu kitabu kwa jalada lake na sio maudhui ya kitabu chenyewe. Alideal na mtu direct badala ya mfumo. Japo alijaaliwa uwezo mkubwa wa maamuzi magumu, ila bahati mbaya alichagua watu wa hovyo kumtekelezea mambo yake. Wakatumia nguvu zaidi badala ya akili zaidi.
Kipengele kitamu kwa BT ni namna anavyo mpa za chembe bwana paka, napenda sana mechi hii, kwani mara zote BT huibuka mshindi.
Now u are talking.
BT gat them balls darling. Na hizo balls zake zitakua kubwa sana[emoji23][emoji23] hivi sindo walizozipunguza kule usa eh?
Imagine having a man who is a smart ass just like him
Me nawapenda sana wahuni wa mjini. Hutakaa usikie bt amegombana na makengeza. Wote born town. Wanaielewa code ya mtaa. Usile kwenye mishe zangu na mimi sili kwenye mishe zako ila mchongo ukitiki tushirikishane. Old ceo wanted to have the bread and eat it whole alone. Haiwezekani. Maana kama ni upigaji kila mtu anajipigia. Sisi ndo wajinga. Napenda muhuni ambae he makes smart moves.
Jiwe namkubali kwa maamuzi magumu maana nina hizo characters. Naweza nikadelay kidogo sana ila nikimove its another massive distruction. Alisaidia utendaji wa nidhamu ya uoga kwa watumishi. Sema hii miradi waliyokua wakitengeneza kwaajili ya pigia hela ndo imeleta haya yote. Sisi si wa kuteseka hivi. That means namuheshim sana born town. Uongozi ukiwaga wa wakristu wenzetu tunanyanyasana sana japo mambo yanaenda straight sana ila wakiwa wenzetu waislam tunakua na raha sana[emoji23]
However, ukiacha upigaji kama wa akina kp na akina madelu etc, u cant blame current CEO kwa hali ya uchumi iliyopo. Late ceo angekywepo naamini hali ingekua mbaya sana tena zaidi. Whomever angekuwepo chamwino hio hali lazima ingekuwepo tu.
Lakini kama sisi sote bt anatunyoosha na tunakaa mstari watu million 60 nitakua na nguvu gani ya kupambana nae? Me namkubali sana[emoji23][emoji23][emoji23] muhuni mzee. Napendaga sana magod father wanaoijua michezo ya mjini
Amefanyaje?Yoga
[emoji28][emoji28][emoji28]Hapo kati mie na miss pablo tulikuwa wadhamini wakuchagamsha Uzi kidogo.miss pablo na cariha
Huo mdahalo wenu, umekuwa kama scene flani ya comedy katikati ya series ya horror.
Kuwa smart mind uwe na watu wa kukutekelezea majukumu. Old CEO alikosa sifa ya uvumilifu na usikivu. Ukikosa sifa hizi kwenye medani umeshapoteza mechi kama mshindani wako akivipata.
Old Ceo alikihukumu kitabu kwa jalada lake na sio maudhui ya kitabu chenyewe. Alideal na mtu direct badala ya mfumo. Japo alijaaliwa uwezo mkubwa wa maamuzi magumu, ila bahati mbaya alichagua watu wa hovyo kumtekelezea mambo yake. Wakatumia nguvu zaidi badala ya akili zaidi.
Kipengele kitamu kwa BT ni namna anavyo mpa za chembe bwana paka, napenda sana mechi hii, kwani mara zote BT huibuka mshindi.
Kama tofauti yao ni ile iliyoelezwa kwenye walaka wa Rev. Mtikila. Tofauti yao sio rahisi kuisha.Former CEO aka bt.
Sikubahatika kuusoma huo waraka, Mtikila alisemaje?Kama tofauti yao ni ile iliyoelezwa kwenye walaka wa Rev. Mtikila. Tofauti yao sio rahisi kuisha.
Mh!..[emoji2][emoji2][emoji2] dada yetu kajichoka sana jamani hata ka lipstick Kwa mbali huwa hapaki ujue yeye ni kiongozi wa muhili mkubwa mjengoni ajifunze hata Kwa Jojo bana, maana Kuna siku Huwa anavaa t-shirt na tight eti mashindano woooi
Labda hivyo, labda vinginevo..Yoga kwenye simulizi kaandika CEO kagundua BT na tolu, CEO wa kampuni jirani haziivi. Labda ziara ya tolu ililenga kumaliza tofauti zao.
Jk aka muungwana
Now u are talking.
BT gat them balls darling. Na hizo balls zake zitakua kubwa sana[emoji23][emoji23] hivi sindo walizozipunguza kule usa eh?
Imagine having a man who is a smart ass just like him
Me nawapenda sana wahuni wa mjini. Hutakaa usikie bt amegombana na makengeza. Wote born town. Wanaielewa code ya mtaa. Usile kwenye mishe zangu na mimi sili kwenye mishe zako ila mchongo ukitiki tushirikishane. Old ceo wanted to have the bread and eat it whole alone. Haiwezekani. Maana kama ni upigaji kila mtu anajipigia. Sisi ndo wajinga. Napenda muhuni ambae he makes smart moves.
Jiwe namkubali kwa maamuzi magumu maana nina hizo characters. Naweza nikadelay kidogo sana ila nikimove its another massive distruction. Alisaidia utendaji wa nidhamu ya uoga kwa watumishi. Sema hii miradi waliyokua wakitengeneza kwaajili ya pigia hela ndo imeleta haya yote. Sisi si wa kuteseka hivi. That means namuheshim sana born town. Uongozi ukiwaga wa wakristu wenzetu tunanyanyasana sana japo mambo yanaenda straight sana ila wakiwa wenzetu waislam tunakua na raha sana[emoji23]
However, ukiacha upigaji kama wa akina kp na akina madelu etc, u cant blame current CEO kwa hali ya uchumi iliyopo. Late ceo angekywepo naamini hali ingekua mbaya sana tena zaidi. Whomever angekuwepo chamwino hio hali lazima ingekuwepo tu.
Lakini kama sisi sote bt anatunyoosha na tunakaa mstari watu million 60 nitakua na nguvu gani ya kupambana nae? Me namkubali sana[emoji23][emoji23][emoji23] muhuni mzee. Napendaga sana magod father wanaoijua michezo ya mjini
Hahaha wanakimbiza mwizi kimyakimyaNa wapo wengi ambao hawajapata nafasi kubwa kwenye kampuni, ila wanapiga mishe za kibabe sana mtaani,.
[emoji28][emoji28][emoji28]Hapo kati mie na miss pablo tulikuwa wadhamini wakuchagamsha Uzi kidogo.
Old CEO kilichomponza alikuwa hajui kula na kipofu au kukimbiza mwizi kimya kimya Sasa he was shouting and sometimes harsh bila kufikiria njia nyingine, hafu kingine old CEO hakuwa na deep root kwenye haya mataasisi na ujanja ka wote ingetakiwa wale anaoaaona ni enemy asingewa conforont direct angewaleta karibu ka washauri wasingemshuru shida alikuwa baba haambiliki plus team yake ya washamba FC aliowapa madaraka makubwa bila uzoefu ilichangia ku create enemity imagine hyo su...gang vs watoto wa mjini Sasa hapo biashara iliisha mapema.
Kwangu Mimi alijitahidi na alikuwa na Nia ya dhati shida team yake haikuwa smart hata born town sio kwamba ni smartest in the world vile hutumia utaalamu wa watu wake kimakini na kushaurika ndio kume msave loh
Hahaha wanakimbiza mwizi kimyakimya
Acha kbs mkuu. This kantri hapanaHuu ulimwengu huu, tuishi tu una mambo mengi sana. Sio ulishawahi kufa na mtu hujijui
TISS hawajitangazi!. Kalime kahawa kishumundu
Lazima utumie watu wengine wakufanyie kazi then wewe uje uchukue credibility zote kumbe Kuna watu wame work hard behind curtains aisee.Kwangu smart naweza kusema, is ability to use others abilities to rule and earn.
Ukiwa na jicho hili tayari wewe ni smart na mostly watu wa hivi ni charismatic one. Hayo uliyosema ndilo lilikuwa anguko la the late CEO. Angewatumiwa hao hao watu wa BT angemmaliza tatizo alijiona he is above all not touchable.
Sema BT atakuwa amejua heee ni kubaya kumbe kuna watu mate yawadondoka ni vile hawajapata nafasi tu. Bwana samurai anapenda mutuita vibwengo tupo gizani
Sisi tuendele kumsubiri yoga atupe muendelezo
Leo waguna tu tia nenoMh!..
Nasoma tu leo....Leo waguna tu tia neno