Dark days 17/03/20...

Mbona kingereza kama cha Yoga?
 
Angetumia maneno ya wahenga "mwizi mpe ufunguo wa hazina" au "mchawi mpe mwanao amlee" [emoji23]
 
Vip kuhusu huyu nelson mandela anayesifika sana?
Nachofahamu Mandela angeweza kuuwawa hata gerezani ila alibadili msimamo na ndio ukaruhusu nchi kupewa uhuru. Maana beberu asingeweza toa uhuru kwa mtu type ya Malema, wangechinjwa wote kama kule Haiti. Sasa hizi story za kuwa Mandela was cloned ni kutaka kuaminisha watu kwamba mtu hawezi badili msimamo kwa maslahi ya taifa? Mbona Nyerere alibadilika kuhusu mtazamo wa ujamaa ila hatusemi ni cloned?
 

Kabisa

Hapo 48 laws of power. Nakubali 🫱[emoji2532]‍🫲[emoji2534]
Kuna madini matupu
 
Hamjasoma vizuri nyie!!

Dr mwinyi junior alikua na mbwembwe!!?

Huo ukimya wake na kama zoba hivi ndio mbinu za kimedani!huoni ukiwa smart sana utaamsha uwindaji haramu wa I chwa chake!!!?

Muda ukifika wa kuanza kusukuma kete
Unaamini katika DIPU SITETI, ila ukweli ni kwamba kwenye hiyo DIPU SITETI kuna DIPU SITETI ya juu yake up to infinity....
 
Kwahiyo pale muhimbili from no where wanaweza Nipa faili la Jiwe nikilitaka?
 
Halaf mbowe analaumiwa

Jmn usitaje majina turudi riwayani.
Siasa hizi achana nazo aisee.

Unaweza kupata habari fulani ukabaki kujiona kati ya wajinga nawe umo.

Unakuta hawa wapinzani top leaders wanaitumikia serikali japo indirect akina siye tusiojua uhalisia ndio kukuru kakara nyiiiingi.

Haya mambo sio ya kuyachimba saaaana unaweza ichukia nchi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…