jamesandrew
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 240
- 580
Swali kwako, akiwa waziri hakuwa akienda nje ya nchi? Hakua akipanda ndege, hivi ka kumbukumbu zangu ni nani alipata ajali na helkopta?Nje maada..
Kumbe moja ya sababu iliyomfanya Jiwe asisafiri nje NI Hilo tatizo la pacemaker???
Na moja ya sababu za kukimbiza gari zake toka dar Hadi Dom then chato up to kigoma ni kutokana na masharti ya kitaalamu kuwa asitumie ndege kwa muda mrefu?
[emoji16]Nimepata kitu.
Okay tuendelee.
Kwahiyo NI sahihi kusema kuwa Jiwe aliuawa kwa kufanyiwa hujuma kwenye pacemaker yake NI sahihi?????
Yaani unaitumikia serikali alafu wakupore majimbo yote au wakupe kesi ya ugaidi. Sasa ushawishi ukifa unakua na faida Gani kwa serikali?
Embu tusiwaingize kwenye mess wapinzani wakati wamemalizana wenyewe huko kwenye kampuni!
zumbemkuu: kwani Dipu siteti ziko zaidi ya moja nchini Tz?Unaamini katika DIPU SITETI, ila ukweli ni kwamba kwenye hiyo DIPU SITETI kuna DIPU SITETI ya juu yake up to infinity....
Nchi hii nadhani Kuna nguvu nyingine inayoongoza nchi ambayo hyo nguvu hata Rais mwenyewe haijui ilivo. Majority ya mambo yanakuwa scripted kabisa hamna jambo linalotokea accidentally inakuwa ni calculated move kabisa.[emoji28] usiwe mkali. Yote yanawezekana
Wewe ulijua ipo siku nywele nyeupe ataenda upinzani na kukabidhiwa hadhi ya juu?
Uliwahi kuwaza ipo siku covid 19 watakikimbia chama kukuu cha kipinzani?
Andiko langu limejitanabaisha kwa kuwaza usiloweza kufikiri lawezekana, LINAWEZEKANA.
Sijasema upinzani wanaitumikia upinzani..!!!
Punguza sauti.
zumbemkuu: kwani Dipu siteti ziko zaidi ya moja nchini Tz?
Kama ni hivyo BT yuko kwenye ipi?
Naunga mkono hojaIm here.
BT kwangu kama
Hahahhahaah, no commentUnamaanisha ile ya kuzimu kampuni ilipokabidhiwa!!!?
zumbemkuu "Zumbe ninachoamini kama kuna dipu steti , ujue lazima kuna nyingine ya juu yake, na hiyo ya juu yake lazima kuna iliyopo juu yake zaidi, kwahiyo ni ngumu sana kunua idadi ya hizo dipu steti"Zumbe ninachoamini kama kuna dipu steti , ujue lazima kuna nyingine ya juu yake, na hiyo ya juu yake lazima kuna iliyopo juu yake zaidi, kwahiyo ni ngumu sana kunua idadi ya hizo dipu steti. Hiyo imejengwa na logic akilini kwangu kwamba akili ya bin Adam ni infinity..... hapa mfano naweza kusema kuwa tunavyomuona BT kuwa ni superior, ila kiukweli ni inferior kwa wengine, maana hata Late SIIOO a.k.a mwendazake alishamjambisha jambisha kwa almost 6yrs, 😆 😄, enewei, ngoja tuendelee kusubiri
Kimachonishangaza eti na yenyewe huwa inataka hongo ya fedha kama watu wa kawaida!Hahahhahaah, no comment
Umetutenga sana na wewe!Jamaniiii!! [emoji23][emoji23][emoji23] haya ndugu yangu!! Tumepindisha tena!! Sawaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi huwa najiuliza... Kwanini walaumu msoga gangs...?Kifo Cha Jiwe kimekuwa NI myths kila mtu anasema lake.
Ila huku mtaani watu wengi wanaamini Jiwe aliuawa na wote lawama wanazielekeza kwa msoga gangs (Hii ndiyo Hali halisi ya mtaani,achana na ya mtandaoni)
Ni vyema serikali kutoka hadharani na kuweka bayana kuhusu kifo Cha Jiwe.
Japo taarifa official ya serikali NI chanzo Cha kifo matatizo ya moyo.
Nchi hii nadhani Kuna nguvu nyingine inayoongoza nchi ambayo hyo nguvu hata Rais mwenyewe haijui ilivo. Majority ya mambo yanakuwa scripted kabisa hamna jambo linalotokea accidentally inakuwa ni calculated move kabisa.
Naunga mkono hoja
Kimachonishangaza eti na yenyewe huwa inataka hongo ya fedha kama watu wa kawaida!
Ina maana na huko kuna kununua na kuuza!!?kama huku ze world!?
Umetutenga sana na wewe!
Eti nilisikia ka mguu kako kalikua kanachechemea hivi majuzi! hivi ilikua ni stroke au ulikataa kufuata itifaki za kutoa KWA hiari ikabidi washe akupige mtama ukateguka!!?
Unaendeleaje Lakini!!?
Mi huwa najiuliza... Kwanini walaumu msoga gangs...?
Je hawajui msoga mwenyewe hali ilikuwa tete na angeweza kumfuata CEO mwenzake wa Lupaso..
Huko ndani kipindi late Ceo yupo madarakani hali ilikuwa tete jamani.. Wao kwa wao walishanusa hatari ya kusepeshwa kwenda ahera..
Wengi huku hawajawahi kufanya kazi na late Ceo kwa ukaribu.. Ila kama ulishafanya kazi na yule bwana... Alikuwa nusu chizi nusu mzima
Ungodly power zinaendeshwa na feasible Man, Godly power ni hearsay tu ndo maana huwezi kuona matokeo yake ....Hata mimi hua nadhani hivi.
Kuna nguvu kubwa nje ya nguvu tuzijuazo aise.
Its either Godly or Ungodly power. Huwa najiuliza kwa nini hizi ungodly power zina nguvu kubwa sana na za haraka kimatokeo compare to Godly power.
Unaambiwa unahitaji imani kubwa sana kupata matokeo chanya kwa kutumia Godly power, compare na ungodly power.
Au ndio tuwaheshimu wahenga “kizuri chajiuza kibaya chejitembeza”
Ungodly power zinaendeshwa na feasible Man, Godly power ni hearsay tu ndo maana huwezi kuona matokeo yake ....
Utoto uko wapi? Kama hukusoma hiyo shule kanusha.Punguza utoto, katafute watoto wenzio huko Facebook.
Kwani media za kunya zilikuwa zinapewa clues na muandaaji wa mpango? Msijitoe ufahamu.Upo sahihi lakini ukifuatilia wengi humu wanadai ni maadui zake yaani wapinzani, mabeberu, na kina Msoga gang!! Ndio maana nawaza kivipi mtu utoke nje ya system umuue Rais? Ni kitu hakiwezekani maana wanalindwa kiroho na kimwili yaani hata ukija na uchawi wa aina Gani utadakwa tu kwa dark arts.
Na kama kweli system ingemuua issue ingevuja mapema vile? Kiasi media za Kenya zifahamu na hata waTanzania walio nje kama Lissu na Jasusi wa uskochi kufahamu?