Dark days 17/03/20...

Nikiwa mkubwa natamani kuwa kama BT,jamaa ni kazi sana kugundua kama amekasirika au huzuni😎😎,nilimuona wakati anafika msibani Kwa Membe!wale ambao jicho lao la Tatu limefunguka ndiyo humuelewa huyu Mzee!
Huu mwaka ni mrefu sana,natamani uishe mapema!
Kifo Cha Dodo kimetokea purposely,hii nchi haiwezi kutawaliwa na Mwanamke.
 
Niache
 
Kwann unataja majina ya watu mkuu? Why? Dont do that
Futa na mimi nifute. Moderate it kama vipi..

Bt ana hasira balaa.
 
Who is Sasha,,,?¿
 
Hawapo watu wakimyaa kwa sasa, wotee ni waropokajiii tyuuh. By the way BT aondokee mazimaaa atupisheee bhanaaa khaaaa.
 
Wachaaa tusubiri kuona yajayoo, bifu La BT na paka haliishi kamwee.
 
Vitakuja kuibuka hadharani mda c mrefu maana kwenye hiyo mikakati nadhani lazima kuna mmoja ata leak tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…