Dark days 17/03/20...

ChawaWaMama Na nadharia ya Paka PK kula kichwa cha Maembe vipi hii nayo?
 
 

Dah..
 
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI "Kp baadaye kidogo "
Huyu Kp ni nani ning'ate sikio Swahiba
 
Kanuni ya mafia, ukiopewa kazi ya kuua, ukishaua lazima uuawe. Huenda dodo alitumika na sasa anatakiwa aondoke.

Anaenda korea ili kupisha kazi ifanyike halafu unajifanya niliongea nae jana alikuwa mzima.
 
Kumbe mbona deep shiteti ilintema dodo,,,late CEO amefanya mengi mazuri sema akina bt walimnyima fursa za uchumi,,Ila Kama bt angempa connection za uchumi naamini late angekuA best CEO of all the time

Kampun yetu bado Ni changa Sana na Ina miaka 60's tu ya maisha yake,,,so amsha amsha za late CEO zilikua muhimu Sana ili kutuvusha salama
 
Nakuunga mkono comrade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…