Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
πππNdo mtu avae dira jekundu akapande ndege jamani? Kuna watu hawana damu ya kupendeza haata kidogo yaani damu ya kunguni... si mtu hata amchague fundi wake mshauri wa mavazi na rangi za kuvaa jamani?
Kulikuwa na ulazima wa kustaafishwa kwa staili hii (kuachishwa kazi)?Naamini wamemaliza mission kusudiwa.....ila ujio wake na kifo cha Bernard uliinua maswali kichwani.
Masuala ya dini au ulimaanisha MADINI?[emoji23][emoji23][emoji23]
Safari ndefu hio, zaidi ya Massa 9...inabidi ajiachie.Ndo mtu avae dira jekundu akapande ndege jamani? Kuna watu hawana damu ya kupendeza haata kidogo yaani damu ya kunguni... si mtu hata amchague fundi wake mshauri wa mavazi na rangi za kuvaa jamani?
Usihofu yule ni kijanq wetu.Duu kama KP kapata eneo letu kwa style hii basi tumekwisha. [emoji2962]
kwa kweli hakupendezaπππ
Kijana wa nyerere halafu adui wa BT!!Usihofu yule ni kijanq wetu.
Vita yenu hii!Yees. Khanga ile. Halaf sijui nimewahi muona nani anayo home. Kwanza ile rangi ni uchafu. Am not a stylist lakini hapana. Ule ni uchafu. Hata kama ni kutangaza mavazi lile hapana. Puuh mbaka. Kwanza rangi nyekundu siipendi. Kama mganga wa kienyeji
Si unakumbuka Yale ya Monduli bwana wewe?Kijana wa nyerere halafu adui wa BT!!
Akamchukia Mzee na vijana wake sio!!?Si unakumbuka Yale ya Monduli bwana wewe?
Ya ngoswe ndugu yangu. Sisi wengine akina pita na zako tunaambulia yatokanayo TU.Akamchukia Mzee na vijana wake sio!!?
SIDHANI kama 2005 kama kura zingetosha kama mzee angekua hai!!
Nadhani kulikuwa na cold blood ya jamaa na Mzee,SIJUI ALIKUA anamu outshine mzee kwenye nini!!?au weupe wa rangi!!?au kuziona fursa za UCHUMI!!?
Aiseh kazi SANA!
ππππππππππYees. Khanga ile. Halaf sijui nimewahi muona nani anayo home. Kwanza ile rangi ni uchafu. Am not a stylist lakini hapana. Ule ni uchafu. Hata kama ni kutangaza mavazi lile hapana. Puuh mbaka. Kwanza rangi nyekundu siipendi. Kama mganga wa kienyeji
Weweew. Dira aloondoka nalo ndo kashuka nalo hilo2Safari ndefu hio, zaidi ya Massa 9...inabidi ajiachie.
Akikaribia kushuka,anavaa official.
Unadhani kwanini waheshimiwa wananing'iniza suti kwenye viete zao!!!!
Obama safari ndefu angani alikua anavaa hata pensi tu then akikaribia anabadilika.
Mkapa, safari ya kwenda marekani ilivo ndefu alikua anakula mtungi safari ikianza then analala watamshtua ajiandae baadae.
Mkuu naweza kupata link ya hichi kitabu for free nisome!?George Bush alikuja wakati wa utawala wake, unafikiri alikuja kwa kuwa anawapenda watanzania?
Nakushauri utafute kitabu chenye title "Deadly deceits".
Kimeandikwa na Ralph W Mcgehee. Huyu mwandishi kafanya kazi CIA miaka 25.
Basi ajapokelewa officialWeweew. Dira aloondoka nalo ndo kashuka nalo hilo2
Kwa taifa hilo ndo penywwe hapoBasi ajapokelewa official
Bila shaka.Mkuu naweza kupata link ya hichi kitabu for free nisome!?
Pk yupo smart sana, napenda watu wanaotumia akili kuliko nguvuKama naona BT alivokunja sura!!
Angalia trend hii
1.pk akaja tz.
2.jasusi mbobezi akafa.
3.Dodoma ikazinduliwa ikulu.
4.wanajeshi 244 wakafukuzwa kazini Rwanda,na waziri plus mkuu wa majeshi akatenguliwa!
5.Dp world ikachukua Bandari.
6.kumbe Dp world ILIKUA na Bandari kavu Rwanda!
7.Tetesi zinasema ceo wa Bandari tz wa dp world ni mnyarwanda jasusi la majuu!!
Tunaweza unganisha dots tukapata namma kua nani alijipanga kupindua watutsi hadi hayo mageuzi yakafanywa na pk!!!?!!Bt hajashirikiana na kampuni jirani kutaka kupindua wahima wa pk!!?
Najiuliza tu!!
Nimejaribu kuki-download kwenye link ya pdf drive imeshindikana.Mkuu naweza kupata link ya hichi kitabu for free nisome!?