Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Ni usiku but ni tyme nzuri kufikisha ujumbe mzuri nlionao: dark days ni story ambayo ni imaginary tu..... Yaani inazungumzia imaginary company! It is Not a trueMstory [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] it's not real just fictional!

Nlitamani Sana kuiendeleza kwa kuweka last episodes kabla ya kuintroduce the new one but naona tuishie hapo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] since hata flow yake imepotea kutokana na beautiful comments za woote mlioifatilia🥱[emoji2960]

With this statement let's put an end to this story ...... Ingawa discussion zitaendelea but pleeeeeeeease without naming people🥱[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]


Sema sasa............



Hivi mnajua new CEO kapata backup ya maaana that imempa confidence she can win this war????

Na je Hivi mnajua for the first time, born town side for a bit thought the were loosing the war???


kuna jambo laja ................... sema nini......... Ndugu wakigombana ...................

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Nawa love sanaaaaaaa: ACHA ..............IENDELEE

Tukutane December kunajambo letu[emoji102]
Mungu atujaalie uhai na afya tufike Dec
 
The MoNA code yako matata,
Vipi star ni Maembe au?
Jambazi nani huyo?

Mkuu hamna code yoyote hapo.

Mpaka sasa naona mtanange ni 50/50 zaidi.
Mwanzo BT alikuwa star of the movie, kwa hali ilipo sasa sterling kawa jambazi kwa mara ya kwanza, na majambazi kama wamekuwa masterling tayari.

Bandari, wasudani kuna watu wanatafutwa na itapigwa counter upande wowote ule.
Kambi ya BT vs kambi tatu
 
Mkuu hamna code yoyote hapo.

Mpaka sasa naona mtanange ni 50/50 zaidi.
Mwanzo BT alikuwa star of the movie, kwa hali ilipo sasa sterling kawa jambazi kwa mara ya kwanza, na majambazi kama wamekuwa masterling tayari.

Bandari, wasudani kuna watu wanatafutwa na itapigwa counter upande wowote ule.
Kambi ya BT vs kambi tatu
Aaaaaa sawa kiongozi
 
Mkuu hamna code yoyote hapo.

Mpaka sasa naona mtanange ni 50/50 zaidi.
Mwanzo BT alikuwa star of the movie, kwa hali ilipo sasa sterling kawa jambazi kwa mara ya kwanza, na majambazi kama wamekuwa masterling tayari.

Bandari, wasudani kuna watu wanatafutwa na itapigwa counter upande wowote ule.
Kambi ya BT vs kambi tatu
Ninahofia sana kambi ya Bush Star kufungwa tena maana ukihesabu magoli ni Bush Stars 1 na Born to Town Stars 6 halafu dakika ya 78.
 
Mkuu hamna code yoyote hapo.

Mpaka sasa naona mtanange ni 50/50 zaidi.
Mwanzo BT alikuwa star of the movie, kwa hali ilipo sasa sterling kawa jambazi kwa mara ya kwanza, na majambazi kama wamekuwa masterling tayari.

Bandari, wasudani kuna watu wanatafutwa na itapigwa counter upande wowote ule.
Kambi ya BT vs kambi tatu
Mkuu The MoNA hivi kambi ziko tatu au nne?
1. Born To Town Stars, (M. Gang)
2. Bush Stars, (S. Gang)
3. Mkonjani FC ( New CEO Gang)
4. Hii ya 4 ni team gani vile?
 
Ni usiku but ni tyme nzuri kufikisha ujumbe mzuri nlionao: dark days ni story ambayo ni imaginary tu..... Yaani inazungumzia imaginary company! It is Not a trueMstory [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] it's not real just fictional!

Nlitamani Sana kuiendeleza kwa kuweka last episodes kabla ya kuintroduce the new one but naona tuishie hapo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] since hata flow yake imepotea kutokana na beautiful comments za woote mlioifatilia🥱[emoji2960]

With this statement let's put an end to this story ...... Ingawa discussion zitaendelea but pleeeeeeeease without naming people🥱[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125]


Sema sasa............



Hivi mnajua new CEO kapata backup ya maaana that imempa confidence she can win this war????

Na je Hivi mnajua for the first time, born town side for a bit thought the were loosing the war???


kuna jambo laja ................... sema nini......... Ndugu wakigombana ...................

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Nawa love sanaaaaaaa: ACHA ..............IENDELEE

Tukutane December kunajambo letu[emoji102]
Alafu wewe mrembo mbona mnatudrive kwa speed ya 5G kuna mdau nimeona Kasema tuhesabu siku 86 ebu tusanue kidogo matorobali yatakuwa wapi ili tuendelee kujifariji
 
The MoNA issue ya Wasudanise nahisi waliozubaishwa ni vijana hasa kuliko watu wazima au unaonaje Mkuu?

Ni kwa wote mkuu. Hii U-turn ni kwa watu wa kampuni wenye kupiga mayowe ya kupinga kumilikishwa poti ile,.!!! Japo wachache wanajua hili, ila majority hawajawahi kuwa serious na Mali za kampuni.

Bado naona ikija nyingine hii imepoa kwa haraka.
 
Back
Top Bottom