Dark days 17/03/20...

Intro au sio?? Good ntafanya Ivo mpendwa[emoji176]
Mkuu wadau wengi wanahitaji japo utupitishe kidogo kwenye "intro" wakati tukisubiri kufika mwezi Disemba, kwa mapemzi ya Mola wetu. Endapo kutakuwa na "characters" wapya ama walioondoka, pamoja na"new stage/show" mpya basi japo utupe unyunyu kwa mbaaali..
 
Intro au sio?? Good ntafanya Ivo mpendwa[emoji176]
Naona lady Boss ameanza kukiponda kitabu kana kw amba sio kitu wakati ndicho kilichomweka KWA ofisi na kuwa Boss wa KAMPUNI pia KWA duru zinaonyesha kuwa eti aliambiwa asimamie kitabu kipya HADI kipatikane Ili ajaye asiharibu,je we waonaje ni kwamba kapaniki baada ya kuambiwa kuwa kaenda kinyume na maelekezo ya wenye kampuni yao!!?

Vipi mbona anabadili badili mkurugenzi mkuu wa usalama wa KAMPUNI KILA mara HADI kuwa WAWILI KWA space ya muda mfupi!!?je ni ana mashaka!!?

At least nijibu hii!!
 
wwe ndo waajab
Tz yetu ndivyo ilivo, Kila mtu ni waajabu Kwa mwingine, Kila mtu sio mwaminifu, Si Mimi Wala Si wewe, Si yule Wala huyu, hakuna mwenye kuaminika. Hata wewe ni waajabu, hata mwenda zake nae alikua ni waajabu tu, ufe wewe, au Mimi, afe yeye au huyu, wote sawa tu, hakuna aliye logwa Wala aliyeloga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…