Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2960][emoji16][emoji16] my dear kweliiiii[emoji23]
[emoji2960][emoji16][emoji16] my dear kweliiiii[emoji23]
Don't worry
Mkuu wadau wengi wanahitaji japo utupitishe kidogo kwenye "intro" wakati tukisubiri kufika mwezi Disemba, kwa mapemzi ya Mola wetu. Endapo kutakuwa na "characters" wapya ama walioondoka, pamoja na"new stage/show" mpya basi japo utupe unyunyu kwa mbaaali..Intro au sio?? Good ntafanya Ivo mpendwa[emoji176]
Naona lady Boss ameanza kukiponda kitabu kana kw amba sio kitu wakati ndicho kilichomweka KWA ofisi na kuwa Boss wa KAMPUNI pia KWA duru zinaonyesha kuwa eti aliambiwa asimamie kitabu kipya HADI kipatikane Ili ajaye asiharibu,je we waonaje ni kwamba kapaniki baada ya kuambiwa kuwa kaenda kinyume na maelekezo ya wenye kampuni yao!!?Intro au sio?? Good ntafanya Ivo mpendwa[emoji176]
Anasema eti wewe na niguse ninuke eti mlishirikiana kutuletea hii chai,sasa yeye katangulia wewe nyuma yake ,kuna kaukweli kokote kwenye hilo!!?[emoji2960][emoji16][emoji16] my dear kweliiiii[emoji23]
@yoga uishi miaka mingi yenye furaha na amani na mafanikio.[emoji2960][emoji16][emoji16] my dear kweliiiii[emoji23]
[emoji2960][emoji16][emoji16] my dear kweliiiii[emoji23]
Mbona "kagomea ARVs" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duuhhh! Tz nchi ya ajabu sana, boss wa kampuny akifa karogwa kisa madaraka, mala hoi akifa amekufa Kwa Ngoma, kagomea ARVs.
Is not fair
huh... afadhali nimeona waves za ECG.. yani mpaka uchapwe na defibrillator ndo ushtuke...[emoji1787] sio kwa ukimya huu mkuu...[emoji85][emoji2960][emoji16][emoji16] my dear kweliiiii[emoji23]
wwe ndo waajabDuuhhh! Tz nchi ya ajabu sana, boss wa kampuny akifa karogwa kisa madaraka, mala hoi akifa amekufa Kwa Ngoma, kagomea ARVs.
Is not fair
Tz yetu ndivyo ilivo, Kila mtu ni waajabu Kwa mwingine, Kila mtu sio mwaminifu, Si Mimi Wala Si wewe, Si yule Wala huyu, hakuna mwenye kuaminika. Hata wewe ni waajabu, hata mwenda zake nae alikua ni waajabu tu, ufe wewe, au Mimi, afe yeye au huyu, wote sawa tu, hakuna aliye logwa Wala aliyelogawwe ndo waajab