Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Unaweza soma hii thread Mkuu uoneMuhimu ni tuishi maisha ya utakatifu muda wote, maana muda wote watu wanaaga Dunia hata kabla ya huo UNYAKUO,
Muhimu ni kuwa tayari muda wote, taa zetu ziwe zinawaka.
Yesu alisema utapoiona iisrael imerudi kwenye nchiyake ya ahadi basi siku ndo zimeisha
Akili tu mkuu hahahahWatakao nunua tufani haita wadhuru? Manabii wengine wa kuwachunguza....
Asante, nimesoma, Uzi mzuri.Unaweza soma hii thread Mkuu uone
Thread 'Wakristo: vita ya Israel inayoendelea ni Ishara tosha Kuwa wakati wa Kuja kwake mwana wa Adamu (YESU) umekaribia. Tuamke' Wakristo: vita ya Israel inayoendelea ni Ishara tosha Kuwa wakati wa Kuja kwake mwana wa Adamu (YESU) umekaribia. Tuamke
Yule anayewaambia watu wauze mali zao kisha wahame Dar, nadhubutu kumwita ni nabii uchwara, kwenye vipimo vya kuwa nabii anapwaya..Namuona nabii Musa wa Tanzania akiwatahadharisha wakazi wa Dar wauze majumbs Yao coz Kuna tufani inakuja he ni kweli has hapo may 2024!
Usubiri.Yule anayewaambia watu wauze mali zao kisha wahame Dar, nadhubutu kumwita ni nabii uchwara, kwenye vipimo vya kuwa nabii anapwaya..
T
Usubiri.
Uzuri utabiri umetaja Hadi mwezi na mwaka.
12,000 kitoka kila kabila (Namaanisha zile kabila 12 za uzao wa Yakobo)12*12 Elfu, ni hesabu ya Mbinguni, ni Siri juu ya idadi wataoingia.
Kama ilivyo Siri, huwezi kujua idadi ya WATAKATIFU waliookoka waliopo duniani,
Shetani na majeshi yake wangefanikiwa kuijua idadi kamili ya WATAKATIFU waliookoka waishio duniani, wangepata pa kuanzia, lakini wamepigwa chenga.
Ni ule msikiti wa yerusalemAsante, nimesoma, Uzi mzuri.
Inaongelea chukizo la uharibifu kama Ishara ya kurudi Kwa Yesu.
Mathayo 24 mengi yameandikwa humo.
Watu wanachanganya DHIKI ya mthayo 24, na DHIKI kuu ya Ufunuo wa Yohana.
DHIKI ya my 24 ni kabla ya UNYAKUO, na DHIKI kuu ya Ufunuo wa Yohana ni baada ya UNYAKUO, WATAKATIFU hatutakuwepo duniani .
2023 na kuendelea tutapitia DHIKI hiyo. Mengi mazito yanakuja, na watakufa wengi sana wasiojitakasa,magonjwa, matetemeko,vimbunga,maandamano,vita, nk nk nk
Wakati wachawi na waovu walitembea na alama Yao ya 6.. WATAKATIFU pia wanayo alama vichwani mwao.
Mungu atusaidie.
Amen.
Ndio, Kabila 12*12*1000 ni Siri, Kwa Wayahudi, na hesabu hiyo hiyo 12*12*1000 pia Kwa watakatifu waliomwamini Yesu Ulimwengu mzima tangu anahubiri Hadi siku ya HUKUMU, hata milele.12,000 kitoka kila kabila (Namaanisha zile kabila 12 za uzao wa Yakobo)
Ubarikiwe sana kwa Kusoma huo ujumbe.Asante, nimesoma, Uzi mzuri.
Inaongelea chukizo la uharibifu kama Ishara ya kurudi Kwa Yesu.
Mathayo 24 mengi yameandikwa humo.
Watu wanachanganya DHIKI ya mthayo 24, na DHIKI kuu ya Ufunuo wa Yohana.
DHIKI ya my 24 ni kabla ya UNYAKUO, na DHIKI kuu ya Ufunuo wa Yohana ni baada ya UNYAKUO, WATAKATIFU hatutakuwepo duniani .
2023 na kuendelea tutapitia DHIKI hiyo. Mengi mazito yanakuja, na watakufa wengi sana wasiojitakasa,magonjwa, matetemeko,vimbunga,maandamano,vita, nk nk nk
Wakati wachawi na waovu walitembea na alama Yao ya 6.. WATAKATIFU pia wanayo alama vichwani mwao.
Mungu atusaidie.
Amen.
Ntapandisha Uzi nijaribu kuelezea kuhusu Nyikani Kwa kirefu, labda utaelewa,Ametaja kuanzia 1 Aprili, 2024 wakati tarehe hiyo ni siku ya waongo duniani.
Huyo nabii wa kwenye channel ya Unyakuo TV amewahi kutoa unabii upi kwa taifa na ukatimia?
Huwa wanaondolewa...kabla ya tukio🤣🤣🤣Utasababisha trafiki waanze kukagua magari yote yanayotoka hapo.
Sawa asante kwa maelezo.Ntapandisha Uzi nijaribu kuelezea kuhusu Nyikani Kwa kirefu, labda utaelewa,
Kwa kifupi, Israeli halisi Si Ile ya Mashariki ya kati. Nyikani ndiyo Israel halisi ya Rohoni.
Waisraeli halisi Wana wa Ibrahimu Kwa Imani ni walokole, waliookoka, WATAKATIFU walioko duniani.
Ukristo ulioenzwa Kwa mfumo wa Dini kupitia waroma ni WA mchongo.
Waisraeli halisi walitawanyika Dunia nzima baada ya mateso Yale Kwa Kanisa la kwanza,
2023 na kuendelea, mateso hayo hayo, yakichagizwa na majanga yatalikusanya tena Kanisa.
Mahali salama Dunia nzima patakuwa hapa Nyikani,
Ndipo sasa ujue, Mungu anaandaa Nchi hii Kwa ajili ya kupokea watakatifu wake.
Atainuka Mtawala atakayeandaa jambo Hilo kubwa na atakuwa Mlawi. Hayo yatatukia wakati DHIKI Ile ya Mathayo 24 ikiendelea.
Nia Hasa ya mapigo hayo ya may 2024, ni wote wastuke na kusikia maelekezo juu ya nini Cha kufanyika.
Kukusanywa Kwa Kanisa halisi ni kuwatoa wote Kutoka katika dini zao na warudi kuabudu Kwa UMOJA, na kusanyiko kuu litakuwa siku ya sabato,kama ilivyo Kwa Wayahudi hata sasa.
IBADA itakuwa moja. Na wengi watakuja hapa, Mahali salama.
Wakati huo Wayahudi, Russia,waarabu na mataifa mengine yatakuwa yakipigana vita kugombea hekalu ya Suleiman,
Mpinga kristo ndo atawajengea na wataungana kuabudu siku moja ya jumapili.
Ndipo wote wataompinga Dunia nzima watakimbilia hapa Nyikani.
Ndipo tunapoelekea.
Ull surely see!!!
Alisharudi ameunganisha Manyara na SingidaIndia imekuwa India mwambieni asirudi kwenye hiyo ndege arudi na usafir mwingine ohooo shauri yake
Wako Israel Wachache, na wengi wametapakaa mabara yote, ni wengi sana hesabu Yao aijua Mungu.Sawa asante kwa maelezo.
Vipi Waisraeli wa kimwili wale makabila 12 wana wa Yakobo, kwa sasa wako nchi ipi?
1. Kama wachache wako kwenye ardhi ile ya Israel na wapalestina na wengine mabara mengine, ila watu husema kwenye ile ardhi ya Israel hamna waisraeli original, vp kuna ukweli wowote juu ya hilo?Wako Israel Wachache, na wengi wametapakaa mabara yote, ni wengi sana hesabu Yao aijua Mungu.
Hawafanani na wazungu au waarabu, ni WA kipekee.
Huhitaji Picha kusome story ya Picha kwenye Bible.1. Kama wachache wako kwenye ardhi ile ya Israel na wapalestina na wengine mabara mengine, ila watu husema kwenye ile ardhi ya Israel hamna waisraeli original, vp kuna ukweli wowote juu ya hilo?
2. Umesema Waisraeli ni wa kipekee vipi unaweza kutuma picha ya waisraeli OG?
Au hapo kidogo utapata Picha na ukisoma kumbukumbu LA torati 28. Utaiona pichaView attachment 27837121. Kama wachache wako kwenye ardhi ile ya Israel na wapalestina na wengine mabara mengine, ila watu husema kwenye ile ardhi ya Israel hamna waisraeli original, vp kuna ukweli wowote juu ya hilo?
2. Umesema Waisraeli ni wa kipekee vipi unaweza kutuma picha ya waisraeli OG?
Waisraeli asilimia zaidi ya 60 yaani karibu wote wanasapotia huo uovu yaani yaani wamejaa kila Sehemu hadi jeshini.yaani hawana tofauti na Sodoma na gomora.Israel ni mtoto mtukutu,
Kumbuka pia Si wote wanasupport UOVU huo,
AHADI Yao na Mungu Iko pale pale ukumbuke.
Wataokolewa Kwa moto mkali.