Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Sawa asante sana ngoja nisome maneno hayoHuhitaji Picha kusome story ya Picha kwenye Bible.
ANZIA mwanzo 13:1 KJV, nenda wimbo ulio bora 1:5 au 5:11 pia nenda Ezekiel 8:3 pia nenda zephania 3:10 nenda ufunuo 3:9 au 2:9 pia nenda 1:15 ufunuo. Pia nenda judges 16:13 KJV.
Ukisoma mstari yote hiyo usijue ni Akina Nani OG WA Israel then utakuwa kidogo umefunguka.... Utakuwa unaelekea
Nenda kawaangalie wale Red indians, ndo wanafanana sana na Waisraeli OG.1. Kama wachache wako kwenye ardhi ile ya Israel na wapalestina na wengine mabara mengine, ila watu husema kwenye ile ardhi ya Israel hamna waisraeli original, vp kuna ukweli wowote juu ya hilo?
2. Umesema Waisraeli ni wa kipekee vipi unaweza kutuma picha ya waisraeli OG?
Kwa kutumia ushahidi gani?Nenda kawaangalie wale Red indians, ndo wanafanana sana na Waisraeli OG.
Si weusi Wala Si wazungu, ni kati ya hapo.
Yesu pia ni mwisrael OG, ukifanikiwa kumwona utathibitisha Hilo.
Nenda kawaangalie wale Red indians, ndo wanafanana sana na Waisraeli OG.
Si weusi Wala Si wazungu, ni kati ya hapo.
Yesu pia ni mwisrael OG, ukifanikiwa kumwona utathibitisha Hilo.
The same reason waliamua kuwafanya babu zetu watumwa. Au makaburu kuwaua south Africans. Ni mashetaniHivi kwanini walikuwa wana waua hawa red indians?
Upo Mlima Sayuni? I mean wewe ni mavuno yaliyomo mlima Sayuni?Zamani sana
Na dunia haina habari.
Makanisa na yenyewe yapobize na mamb ya kidunia atapokuja watakuwa wamelala na hawana mafuta
Na atanyakua watu wakati huo ibada za kuserebuka zinaendelea kama kawaida makanisani.
Kama maria alivyozani yupo na yesu kumbe alimuacha hekaluni ndo makanisa yatavyodhani yapo na yesu kumbe kitaambo walimtupa nje ya kanisa anagonga hodi
Israeli ndo saa ya Dunia.Duuh, yani tumetoka kwenye mishe za born town mpaka Israel?
Uzi ushavurugikaDuuh, yani tumetoka kwenye mishe za born town mpaka Israel?
Kuwa hot huu uzi hadi yoga aje atiririkeUzi ushavurugika
Yoga kabakiza kutoa ahadi hewa tu na kutokomea kusikojulikanaKuwa hot huu uzi hadi yoga aje atiririke