Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Huhitaji Picha kusome story ya Picha kwenye Bible.
ANZIA mwanzo 13:1 KJV, nenda wimbo ulio bora 1:5 au 5:11 pia nenda Ezekiel 8:3 pia nenda zephania 3:10 nenda ufunuo 3:9 au 2:9 pia nenda 1:15 ufunuo. Pia nenda judges 16:13 KJV.
Ukisoma mstari yote hiyo usijue ni Akina Nani OG WA Israel then utakuwa kidogo umefunguka.... Utakuwa unaelekea
Sawa asante sana ngoja nisome maneno hayo
 
1. Kama wachache wako kwenye ardhi ile ya Israel na wapalestina na wengine mabara mengine, ila watu husema kwenye ile ardhi ya Israel hamna waisraeli original, vp kuna ukweli wowote juu ya hilo?
2. Umesema Waisraeli ni wa kipekee vipi unaweza kutuma picha ya waisraeli OG?
Nenda kawaangalie wale Red indians, ndo wanafanana sana na Waisraeli OG.

Si weusi Wala Si wazungu, ni kati ya hapo.

Yesu pia ni mwisrael OG, ukifanikiwa kumwona utathibitisha Hilo.
 
Dunia imejaa maarifa mengi sana. Kila mtu anaamini hili ni kweli kuliko la yule. Ukitumia uwezo ulio nyuma ya akili ya kibinadamu utagundua, Mungu anaongelewa kwa namna ya akili zaidi ya kibinadamu.

Ukweli utabaki ukweli siku zote na ulimwengu una hiyo kweli.
 
Zamani sana
Na dunia haina habari.
Makanisa na yenyewe yapobize na mamb ya kidunia atapokuja watakuwa wamelala na hawana mafuta
Na atanyakua watu wakati huo ibada za kuserebuka zinaendelea kama kawaida makanisani.
Kama maria alivyozani yupo na yesu kumbe alimuacha hekaluni ndo makanisa yatavyodhani yapo na yesu kumbe kitaambo walimtupa nje ya kanisa anagonga hodi
Upo Mlima Sayuni? I mean wewe ni mavuno yaliyomo mlima Sayuni?
 
Bashite is a wildcard kwa CCM. Kwa hali waliyonayo sasa, ushawiahi wao kanda ya ziwa ni mdogo kupita kiasi. Hii ni kafara waliyotakiwa kuitoa ili kurudisha ushawiahi wao kwenye hii kanda yenye wapiga kura wengi.

And most importantly, Bashite alikua kiungo mchezeshaji wa Sukuma gang. Kumhamisha kambi, ni kuidhoofisha kabisa hii gang iliyokua inatamani kurudi nyumba nyeupe!

It's not love, it's not friendship. It's just political science!
 
Back
Top Bottom