Dark days 17/03/20...

Shukrani !!
Nikisema nimeelewa moja kwa moja Nitakuwa muongo, ila umenifungua Njia wapi pa Kugusa kama nitataka kutafiti kuhusu hili. Nadhani nitalitumia Andiko lako kama "Checklist" wakati najielimisha na Kudigest kila neno.

Kwa uelewa wangu ni Kuwa Muungano upo hadi leo kwa kuwa CCM wanataka uwepo, Wakiuchoka wao basi utakufa.
Je wanapata nini ambacho sie hatukioni?

As siku Zinaenda CCM inapoteza Nguvu kama taasisi na Kuzalisha "chawa" wa Mwenyekiti. Hivyo atakachowaza mwenyekiti ndio final.
Je tutarajie atakuja tokea "Mwehu" asiyejali legacy za watangulizi wake na kuvunja?
 
Haya Series ya Dec 1
 
Yaani issue sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…