Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Acheni kumpa sifa za kichawa hizo, SSH hajawah kuwa TISS bwana hata kama mnajifanya mnajua mambo ya usalama ila msitudanganye sasa. Usalama gani anashndwa kuchakata hata taarifa ndogo ndog tu za mikataba.Samia aliianza kazi katika Idara nyeti enzi za Mwalimu..na post yake ya kwanza ilikuwa ni kuwa Katibu Muhtasi wa Rais wa Zanzibar kipindi hicho Aboud Jumbe Mwinyi..
Afisa wa TRA mwny dhamana ya kuhakikisha kodi inakusanywa ipasavyo ndio anamlaghai mfabiashara atoe rushwa ili apate yeye na serikali ikose. Huyu afisa kasomea kabisa elimu ya kodi.Acheni kumpa sifa za kichawa hizo, SSH hajawah kuwa TISS bwana hata kama mnajifanya mnajua mambo ya usalama ila msitudanganye sasa. Usalama gani anashndwa kuchakata hata taarifa ndogo ndog tu za mikataba.
Maliza mifano yote ila kuniaminisha kwamba SSH ni TISS siwez kuamini hata Ungekuja na Mifano lukukiAfisa wa TRA mwny dhamana ya kuhakikisha kodi inakusanywa ipasavyo ndio anamlaghai mfabiashara atoe rushwa ili apate yeye na serikali ikose. Huyu afisa kasomea kabisa elimu ya kodi.
Unadhani kwamba kiuhalisia huyo namba moja nayeye hana mbanga ambazo tungezjua ingekua nongwa kama kiongozi wa nchi? Elewa kontentMaliza mifano yote ila kuniaminisha kwamba SSH ni TISS siwez kuamini hata Ungekuja na Mifano lukuki
Inaonekana hana uchungu na mali za upande wa nyikaniMaliza mifano yote ila kuniaminisha kwamba SSH ni TISS siwez kuamini hata Ungekuja na Mifano lukuki
Bado sio hoja maana hiyo ni mojawapo ya kazi za walinzi kutoka idara ya usalama wanaomzunguka, na isitoshe kifo cha kiongozi aliyepita kilikuw na maswali mengi sana,Ila inaonyesha ni mkipepeo kwa sababu kuna visa viwili kavifanya inaonekana huenda alikuwa akitumiwa kwenye mission kadhaa nyuma ya pazia,
1. Kwenda na kiti chake kwenye msiba, hata kule Butiama kuingia na kiti chake kwenye nyumba ya ibada,
Inaonyesha umafia mwingi katumika anaujua nje ndani.
Ila inaonyesha ni mkipepeo kwa sababu kuna visa viwili kavifanya inaonekana huenda alikuwa akitumiwa kwenye mission kadhaa nyuma ya pazia,
1. Kwenda na kiti chake kwenye msiba, hata kule Butiama kuingia na kiti chake kwenye nyumba ya ibada,
Inaonyesha umafia mwingi katumika anaujua nje ndani.
Muda bado upo , nasubiri mpk December 31, saa 23:59 , ndio nitajua December imeisha kwa sasa nasubiri
Wanasema Mvumilivu hula ndizi mbivuMuda bado upo , nasubiri mpk December 31, saa 23:59 , ndio nitajua December imeisha kwa sasa nasubiri
Uvumilivu ni muhimu sanaWanasema Mvumilivu hula ndizi mbivu
The clock is ticking
Ngoja tumpe muda japo nakumbuka alihaidi angeshusha EP mpya kabla ya 15/12/2023Uvumilivu ni muhimu sana
Kumbuka kwenye post za Yoga, anamtambulisha enzi zile alikuwa ni Deep informerBado sio hoja maana hiyo ni mojawapo ya kazi za walinzi kutoka idara ya usalama wanaomzunguka, na isitoshe kifo cha kiongozi aliyepita kilikuw na maswali mengi sana,
Hiyo tu ilitosha hata wew hapo ungekuw kiongozi lazima ungejihami kwa kila namna popote pale, hiyo hat haiitaji kozi ya kusoma kutoka CIA wala MOSSAD,.... ili kujilinda kwa namna zote zilizo ndan ya uwezo wako.
Umenikumbusha hivi mahakama ya mafisadi iliishia wapi?Kumbe , so kwenye kile kipande cha wimbo anaeonekana ni yeye?
Sasa nami aniteue kitengo cha kunyonga mafisadi , nikiwanyonga angalu 3 kwa mfano baada ya mahaka toa hukum tutaeshimiana
Ipo pale simu 2000Umenikumbusha hivi mahakama ya mafisadi iliishia wapi?
Kuna kesi yoyote inaelendela ya fisadi ?Ipo pale simu 2000
Ndio maana Mimi huwa namuona mama kama Recrato kwenye Uzi was Tumia akili kuhusu kitabu!Samia aliianza kazi katika Idara nyeti enzi za Mwalimu..na post yake ya kwanza ilikuwa ni kuwa Katibu Muhtasi wa Rais wa Zanzibar kipindi hicho Aboud Jumbe Mwinyi..
Yu Wapi yoga Jamani Ametekwa
Maana leo tumeanza Sehemu ya pili ya mwezi wa 12 bado haonekani
Duh afu inawezekana kabisa aisee...Yoga kacheleweshwa na matukio aliyokua anatarajia yatatokea Hayajatokea!!uliona juzi alivopost Ile bendera na machozi wakati huo Kila mmoja alikua anauliza Bamba mbili alipo,akaonekana Sasa ataandika Nini Sasa !?wakati alichokua anasubiri kuandika Bado hakijatokea!!
Kigogo kishapost kuhusu January 2024 kutokea Kwa tukio Fulani labda muda huo ndio yoga atapost!!
Lakini former Branch manager ambae amekua aki make headlines kapoa Sana na haonekani Yuko wapi!!?
Au ile kampeni aliokua anamsafishia mama njia IME be blocked!!?
Mwenye info atupenyezee!!