Mkuu fafanua hp kidgoArea51 Kule america ikiwa na aliens inasemekana ndio DS Yao,kwasasa ni karibu nchi zote Duniani zina hiyo DS ya upande was pili!ni hapa kwetu TU ndio zipo dalili Fulani za kuwa na DS ya juu ya universe alipo masihi!ndipo patakua kimbilio la mataifa yote Duniani ambao hawatotaka kuwa chini ya utawala was mnyama joka Lucifer!
Kibiblia Nchi ya ziwa nyanza ni Hii ambayo itakua kimbilio la mataifa yote!!
Mkuu
Halijawashinda, just watch and enjoy the game.Sitasahau kule kuahirishwa kwa kura ya maoni enzi zile kutokana na waraka uliotoka kwa wazee wa liturgy, ndipo nilipojua nguvu yao ni ya aje hapa kwetu, sijajua ni kwa nini hili la juzi liliwashinda, in short wao ni moja wapo ds maana zipo ds zaidi ya moja ambazo invisible, isisahaulikena wazee wa mzizima nao moja wapo wa ds.
Hii ni kweli Mkuu kuna Manabii nawaheshimu sana, walizungumza juu ya unabii wa Tanzania kuongozwa na mtumishi wa Mungu na madhabau ya kuzimu itaondolewa rasmi Ikulu ya Tanzania na Mungu atasimika madhabau takatifu juu ya taifa la Tanzania.Mkuu
Katika zama hizi za mpinga kristo anapoenda kushika hatamu Duniani kote,IPO nchi Moja iliyoteuliwa ambayo Mungu atamsimamisha mtumishi wake ili kusimamia utawala was kimungu katika nchi hiyo!
Yaani nchi hiyo ndio pekee mpinga kristo atashindwa kuitawala ikiwa na mamlaka ya kiungu,ndipo watakatifu wote wa Dunia wamwabuduo mungu katika roho na kweli watakimbilia ndio nchi hii ambayo Mungu anaenda kusimika utawala wake!!
Ataenda kusimama mtumishi was mungu kama kiongozi katika nchi hii nae ataitengeneza kuwa makusanyo ya watakatifu wote kabla ya kanisa kunyakuliwa!!
Duru za maandishi na kinabii kwasasa zinasomeka hivyo!mvurugano utakaojitokeza utamuibua mtumishi kuwa kiongozi!ngoja mnyukano kwanza uendelee!!
Yaani +255?Mkuu
Katika zama hizi za mpinga kristo anapoenda kushika hatamu Duniani kote,IPO nchi Moja iliyoteuliwa ambayo Mungu atamsimamisha mtumishi wake ili kusimamia utawala was kimungu katika nchi hiyo!
Yaani nchi hiyo ndio pekee mpinga kristo atashindwa kuitawala ikiwa na mamlaka ya kiungu,ndipo watakatifu wote wa Dunia wamwabuduo mungu katika roho na kweli watakimbilia ndio nchi hii ambayo Mungu anaenda kusimika utawala wake!!
Ataenda kusimama mtumishi was mungu kama kiongozi katika nchi hii nae ataitengeneza kuwa makusanyo ya watakatifu wote kabla ya kanisa kunyakuliwa!!
Duru za maandishi na kinabii kwasasa zinasomeka hivyo!mvurugano utakaojitokeza utamuibua mtumishi kuwa kiongozi!ngoja mnyukano kwanza uendelee!!
Hapa hapa!
Nimekaa temeke miaka 5 now nimehama mkuu mitaa yangu ilikuwa ni pale chuo cha bandariHapa hapa!
Hebu nenda Temeke pile,kamuone yule Benedict victor atakupa mchongo hapo The rupture ministry,kanisa la unyakuo!!
Ana madini kiasi msikilizie tuone!
YouTube unyakuo TV!
Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINI hivi member wa Ds sheria za nchi zinamgusa?Nadharia mbili au tatu;-
1.Mapenzi ya Mungu muda ulifika wa kuitwa kama ilivyo ada ya Kila mja!
2.Ni member wa wajenzi huru Muda wa kwenda kutumika ulimwengu wa pili ulifika hivyo akalipe fadhila ya kukaa kiti Cha juu,tetesi eti aliwahi kuwa mwenyekiti was hiyo taasisi!
Inasemekana Bado Hadi sasa ulimwengu was pili ndio unaamua kiti kikaliwe na nani,Huku tunapiga kura kuhalalisha maamuzi ya huko chini,trend inaonekana mambo yata change kuanzia hapo mbele ikiwa unabii was Dar kuangamia ukitimia ni rasmi kit kitakua chini ya Mamlaka ya juu sio ya chini tena!!
3.kwenye Ile sequence and series ya kama inavyoaminika kuhusu late CEO ilikua lazima Shina liondolewe ndio matawi ya yafate !yaani kipipa aende kwanza halafu Simba wa yuda afate ki protokali,late CEO angeenda halafu kipipa awepo aiseh Hali sijui ingekuaje!!
Pia yule jasusi was kihehe was Tosa maganga nae ilibidi aende coz angeshtukia mchongo au alikua kipenzi Kwa late CEO!!!
Nadhani ,uelewa huru huu!!
Mkuu itakuwa rahisi Ds iliyo chini Lucifer kukubali kuachia utawala na utawala wa juu kuweza kumiliki?Nadharia mbili au tatu;-
1.Mapenzi ya Mungu muda ulifika wa kuitwa kama ilivyo ada ya Kila mja!
2.Ni member wa wajenzi huru Muda wa kwenda kutumika ulimwengu wa pili ulifika hivyo akalipe fadhila ya kukaa kiti Cha juu,tetesi eti aliwahi kuwa mwenyekiti was hiyo taasisi!
Inasemekana Bado Hadi sasa ulimwengu was pili ndio unaamua kiti kikaliwe na nani,Huku tunapiga kura kuhalalisha maamuzi ya huko chini,trend inaonekana mambo yata change kuanzia hapo mbele ikiwa unabii was Dar kuangamia ukitimia ni rasmi kit kitakua chini ya Mamlaka ya juu sio ya chini tena!!
3.kwenye Ile sequence and series ya kama inavyoaminika kuhusu late CEO ilikua lazima Shina liondolewe ndio matawi ya yafate !yaani kipipa aende kwanza halafu Simba wa yuda afate ki protokali,late CEO angeenda halafu kipipa awepo aiseh Hali sijui ingekuaje!!
Pia yule jasusi was kihehe was Tosa maganga nae ilibidi aende coz angeshtukia mchongo au alikua kipenzi Kwa late CEO!!!
Nadhani ,uelewa huru huu!!
Hebu ingia kwanza unyakuo Tv,Kuna videos nyingi sana za kifo Cha mungu wa Tz yaani Dragon ambae alikua anaweka utawala!na sasa kiroho eti nchi Haina kiongozi hadi sasa!!Mkuu itakuwa rahisi Ds iliyo chini Lucifer kukubali kuachia utawala na utawala wa juu kuweza kumiliki?
Hebu ingia kwanza unyakuo Tv,Kuna videos nyingi sana za kifo Cha mungu wa Tz yaani Dragon ambae alikua anaweka utawala!na sasa kiroho eti nchi Haina kiongozi hadi sasa!!
Zote ni nadharia lakini tusongapo mbeleni tutakuja kuona pole pole!
Vita vya dragon kuachia kiti haikua rahisi!
Ngoja tusubiri!2025 tutaanza kupata majibu!
Sawa baada ya mwaka mpya kuanza nitafanya hivyo kiongoziHebu ingia kwanza unyakuo Tv,Kuna videos nyingi sana za kifo Cha mungu wa Tz yaani Dragon ambae alikua anaweka utawala!na sasa kiroho eti nchi Haina kiongozi hadi sasa!!
Zote ni nadharia lakini tusongapo mbeleni tutakuja kuona pole pole!
Vita vya dragon kuachia kiti haikua rahisi!
Ngoja tusubiri!2025 tutaanza kupata majibu!
Mkuu hivi nabii kuhusu hatma ya uongozi Tanzania zinatoka katika chanzo kipi cha habari? Nini kuhusu uhakika wa chanzo hiki? Ikulu ya Tanzania imekuwa ikikaliwa na marais wa madhehebu ya Kikatoliki upande wa Wakristo na Kishia upande wa Waislamu. Je! Hawa wote wana nadhiri ya madhabahu ya kuzimu? Hii lugha ya madhabahu huongelewa sana na walokole.Hii ni kweli Mkuu kuna Manabii nawaheshimu sana, walizungumza juu ya unabii wa Tanzania kuongozwa na mtumishi wa Mungu na madhabau ya kuzimu itaondolewa rasmi Ikulu ya Tanzania na Mungu atasimika madhabau takatifu juu ya taifa la Tanzania.
Lakini pia Kenya wana madhabau ya kuzimu ambayo itakuja kuondolewa na Rais Mwanamke!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kiongozi The MoNA kwenye hii Ds ndani ya Ds layer ipi yenye nguvu kushinda layer nyingine?
Mkuu The MoNA shukurani sanaDs yote ina nguvu lkn yupo ds mkuu. Ulimwengu unaongozwa na energy mbili (positive or negative) positive is more powerful and peaceful energy unlike negative energy.
Hii positive energy (God the most highest one) ndiye mwenye mamlaka kamili. Hivyo ulimwengu wake ndio wenye nguvu japo mwenye ulimwengu negative amepewa mamlaka ya hapa duniani.
Kwa hiyo Ds zipo zenye mamlaka kutoka (positive or negative). Ila tulipo sasa ds negative inatawala dunia na kwa mamlaka waliyopewa kazi yao ni uharibifu mtupu.
Negative energy tuite (mamlaka ya chini) wanataasis zao za kuongoza dunia, inatumia watu kufanikisha mambo yake. Kwa hiyo mamlaka ya chini ndiyo ina nguvu na huwatumia watu kupitia watu ndio wanaanzisha ds ndani ya ds ili kufikia walio wengi
Wanasheria zaona viwango vikali zaidi katika operation zao!Master NAMBA MOJA AJAYE NCHINI hivi member wa Ds sheria za nchi zinamgusa?
Kwamba akifanya kosa sheria zinaweza kumwajibisha na kumfunga kweli?
Mkuu hivi nabii kuhusu hatma ya uongozi Tanzania zinatoka katika chanzo kipi cha habari? Nini kuhusu uhakika wa chanzo hiki? Ikulu ya Tanzania imekuwa ikikaliwa na marais wa madhehebu ya Kikatoliki upande wa Wakristo na Kishia upande wa Waislamu. Je! Hawa wote wana nadhiri ya madhabahu ya kuzimu? Hii lugha ya madhabahu huongelewa sana na walokole.
Jamani naomba mniwie radhi kwa kuwa kama Thomaso aliyetia mashaka kuhusu habari za ufufuo wa Yesu Kristo. Napata mashaka makubwa kuhusu unabii kuhusu majanga yatakayolikuta Jiji la Dar es Salaam ifikapo mwezi Mei mwaka 2024 na kuinuliwa kwa rais ambaye atakuwa mlokole (kwa lugha ambayo ni rahisi kueleweka).
Amewahi kutoa unabii wowote wa kitaifa ukatimia?Hebu mtafute Boniface victor na unabii wake was mwezi wa Tano mwakani!you tube unyakuo TV!amechapisha na vitabu vya kuangamia Dar mwezi was Tano mwakani!
Nataka nione hiyo kama muhuri wa hicho kiti kama kweli kimetwaliwa na universe huko alipo masihi!
Moto kariakoo!
Wewe ni mtumishi,Mkuu hapo namba mbili sidhani kama itatimia. Dar haiwezi kuangamia kwasababu moja tu,Dar ni lango la nchi. Dar inao watu wa rohoni ambao pia nao wana kibali,wana macho ya kuona vitu vya rohoni na kuvizuia.
Dar ikiangamia maana yake uchumi wa nchi utayumba. Nchi itatikisika.
Sipingi unabii. Lengo la unabii huwa ni kuwatayarisha watu wawe makini na kutubu.Watu wakitubu Mungu huwa anaghairisha yale mapigo ambayo alikuwa ayatoe.
Wakati watu wanatubu huwa hawaji hadharani bali kila mtu au kila aliyeandaliwa huwa anatimiza wajibu wake. Hata kama ni mmoja katika nchi huwa anasikilizwa ilimradi awe ni mwenye haki na amepata kibali machoni pake.
Kuna watu wao kazi yao ni kutoa tahadhari, halafu kuna watu wao ni kuchukua hatua juu ya hiyo tahadhari, na kuna watu ambao huwa wanazuia hilo jambo ambalo lingetokea. Na kila mmoja huwa anaongea kwa nafasi yake.
Ila tu mambo ni moto,kuna yanayopangwa lakini yanashindikana kupangika kwasababu wapo wanaoyazuia ambao hawaonekani wala kujulikana mpaka hapo itakapoamriwa.
Na pia huku hawa DS wapo na wanapeleka habari zote kwenye vikao vyao. Uzuri huwa hawapuuzii taarifa zozote zile zinazotolewa ambazo huwa zinahusiana na uhai wa Kampuni. Wanazifanyia kazi na kuzitafutia majibu yake.
Kwahiyo tuombe Uzima hadithi ifike mwisho na kwa amani.
Mkuu bado natamani kumtambua kwa kina nabii Boniface Victor, huduma yake ya unabii, na mamlaka aliyonayo kutoa jumbe mbalimbali za kinabii. Nasema hivyo kwa sababu wito wa nabii wa kweli ni suala ambalo linatiliwa mkazo mkubwa sana katika maandiko matakatifu.Mkuu hapa ishu sio ulokole Wala udini hapa ni kile kinachosikika KATIKA Vinywa vya watumishi manabii sio Tanzania pekee Bali duniani kite!
Ishu ya kuangamia Kwa dar sio ya mtu mmoja Kuna vinywa vya manabii zaidi ya wawili Tena ndani na nje ya nchi!
Ishu ya kuibuka Kwa mtawala mtumishi au mchungaji TANZANIA imesemwa Sana na manabii ndani na nje ya nchi!!
Wakristo was kikatoliki na waislam ambao WAMEKUA VIONGOZI kiroho wanatumiaWanatumia NGUVU YA upande wa pili!!!