Mkuu wewe!!
Sidhani kama nitakujibu!
Mawazo yangu ya kinadharia:-
Deep state imeanza kabla hata ya uhuru yaani enzi za ukoloni!
Wakati wanaachia nchi wakoloni waliiachia chini ya uongozi wa kanisa kubwa!huko ndipo chimbuko la ujasusi wote Duniani!
Why!!?kwasababu kanisa ndio mamlaka pekee ilioaminika kuandaa watawala kielimu na maadili ndipo tulipowapata kina Nyerere na co!
Maafisa was kwanza was idara nyeti walifunzwa vilivyo na seminary kielimu,na kupata mafunzo wa kijeshi ndani na nje ya nchi!kama kina Emilio mzena,kina Augustine mahiga,Benard membe na wengine wengi sana!!genesis ya deep state no hara kabla ya ukoloni Baada ya uhuru utaratibu uliendelea kuandaa vijana Hadi leo wanaandaliwa!
Tiss ni taasisi visible yenye ofisi zake ambazo zipo kuanzia st.peters na nyinginezo na hao wapo Kila sehem nchini!
Toss na Ds ni taasisi mbili tofauti DS sio visible kama Tiss lakini Kuna uwezekano member was toss akawa member was D's ndani ya Ross Kwa kujua au kutojua!!
Kiongozi was Ds ni insible yaani haonekani kabisa kiutendaji lakini D's inafanya kazi Hadi kimataifa ikishirikiana ki operation na Taasisi za nje kama CIA,NIC,M16,MOSSAD n.k!
Tumia akili kwenye Uzi was kitabu anasema "zibaki serikali mbili sio tatu kama mashirika ya kimataifa ya kijasusi yalivyo fanya utafiti!!
Tiss wao ni visible ambao kiongozi wao ni Rais,katibu mkuu kiongozi,Mkurugenzi was usalama wataifa na waziri was utumishi na operation zake zinaratibiwa chini ya office ya Rais lakini DS operation zake hata Rais hawezi kujua na anawajibika kwao Kwa kufuata maelekezo yao!!
D's Kwa Tanzania Boss wake no mashirika ya kijasusi ya marekani CIA,MOSAD,NIC,M16n.k!
D's Ina nguvu kuliko Tiss,coz operation za D's ni ujasusi wa kidola ambao haufuati amri ya Rais wa TZ,Bali Mashirika makunwa ya kijasusi ya kimataifa hasa Russia na USA na Uingereza!!
De Levi's na samurai Wana sema kila depertment ya D's Ina watu zaidi ya 200!
Nimeandika ninavoelewa!