Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Wewe ni mtumishi,

Hupaswi kuishi Kwa dhana.

Roho mtakatifu yupo, Muulize atakujibu ikiwa ni Kweli Dar itaangamia au la!!

Mimi niliuliza na nikajibiwa. Nasubiri kusikia Kutoka kwako pia.
Mimi kuwa mtumishi haimaanishi ninayajua mambo yote ya rohoni au mambo yote ya Mungu. Au kwamba mimi niko juu ya yule aliyetoa unabii. Hapana kila mmoja anasimama kwenye nafasi yake kama nilivyosema kwenye comment yangu.

Na siyo kila kitu ninachokizungumza ni cha rohoni nilichoambiwa na Mungu.Vitu vingine ni uelewa na uzoefu tu.

Siyo kila mtumishi anaweza kuuliza juu ya jambo fulani akaambiwa, kuna muda unaomba ila Mungu anakaa kimya. Ila jibu unalipata kwa mwingine. Kama wewe umeshaambiwa basi umepata neema ambayo kwangu haijanifikia.

Labda wewe utuambie umeambiwa nini juu ya kuangamia kwa dar nzima.
 
Mimi kuwa mtumishi haimaanishi ninayajua mambo yote ya rohoni au mambo yote ya Mungu. Au kwamba mimi niko juu ya yule aliyetoa unabii. Hapana kila mmoja anasimama kwenye nafasi yake kama nilivyosema kwenye comment yangu.

Na siyo kila kitu ninachokizungumza ni cha rohoni nilichoambiwa na Mungu.Vitu vingine ni uelewa na uzoefu tu.

Siyo kila mtumishi anaweza kuuliza juu ya jambo fulani akaambiwa, kuna muda unaomba ila Mungu anakaa kimya. Ila jibu unalipata kwa mwingine. Kama wewe umeshaambiwa basi umepata neema ambayo kwangu haijanifikia.

Labda wewe utuambie umeambiwa nini juu ya kuangamia kwa dar nzima.
Ndo nasema Kwa watumishi tulio na Roho mtakatifu,Roho wa Yesu,tuna uwezo wa kuuliza tukajibiwa au kuomba uthibitisho wa unabii.

Hivyo, uliza Kisha njoo na majibu sahihi.

Bt kusema hudhani ilhali Kuna watu wanaoishi mji huo na hawajui wafanye nini,bila wewe kupata uhakika utakaowasaidia hiyo Si sawa kumwambia hudhani.
 
Mimi kuwa mtumishi haimaanishi ninayajua mambo yote ya rohoni au mambo yote ya Mungu. Au kwamba mimi niko juu ya yule aliyetoa unabii. Hapana kila mmoja anasimama kwenye nafasi yake kama nilivyosema kwenye comment yangu.

Na siyo kila kitu ninachokizungumza ni cha rohoni nilichoambiwa na Mungu.Vitu vingine ni uelewa na uzoefu tu.

Siyo kila mtumishi anaweza kuuliza juu ya jambo fulani akaambiwa, kuna muda unaomba ila Mungu anakaa kimya. Ila jibu unalipata kwa mwingine. Kama wewe umeshaambiwa basi umepata neema ambayo kwangu haijanifikia.

Labda wewe utuambie umeambiwa nini juu ya kuangamia kwa dar nzima.
Ukiingia kwenye channel yake, pia ameweka shuhuda za watu wengine waliothibitishiwa ujumbe huo huo.

Sasa issue ya dar ilivyo kubwa kuangamizwa yote ni issue serious.

Mimi niliuliza nikajibiwa, uliza nawe utajibiwa na baada ya hapo tuwasaidie ndugu na jamaa wa mji huo kupuuza, ikiwa Si Kweli, au kuwasisitiza wahame ikiwa ni Kweli.

UBARIKIWE.
 
Ukiingia kwenye channel yake, pia ameweka shuhuda za watu wengine waliothibitishiwa ujumbe huo huo.

Sasa issue ya dar ilivyo kubwa kuangamizwa yote ni issue serious.

Mimi niliuliza nikajibiwa, uliza nawe utajibiwa na baada ya hapo tuwasaidie ndugu na jamaa wa mji huo kupuuza, ikiwa Si Kweli, au kuwasisitiza wahame ikiwa ni Kweli.

UBARIKIWE.
Amen.Sawa hamna shida mtumishi wa Mungu acha na mimi nilifanyie kazi halafu nitakachoambiwa na kuonyeshwa nitarudi hapa hapa na kukisema.

Mwezi wa tano ni mbali ila kwa maombi ni karibu sana.Kwa Mungu halishindikani jambo lolote.
 
Mkuu bado natamani kumtambua kwa kina nabii Boniface Victor, huduma yake ya unabii, na mamlaka aliyonayo kutoa jumbe mbalimbali za kinabii. Nasema hivyo kwa sababu wito wa nabii wa kweli ni suala ambalo linatiliwa mkazo mkubwa sana katika maandiko matakatifu.

Hii ndiyo maana Neno la Mungu kutoka kinywani kwa Yesu Kristo mwenyewe linatupa tahadhari kuhusu kutokea kwa manabii wengi wa uongo katika siku za mwisho wa dunia, ambao yumkini wataweza kuwapotosha hata wateule wa Mungu.

Aidha, maandiko haya yanaweka wazi kuhusu jinsi mtu alivyokabidhiwa jukumu la kuwa nabii. Tunaona kuwa nabii hajitumi mwenyewe na kuanza kujishuhudia yeye mwenyewe, wala hatumwi na mtu mwingine, bali anatumwa na Mungu mwenyewe.

Maandiko matakatifu hujitetea yenyewe wala hayahitaji falsafa ama simulizi za kimapokeo. Kwa kuwa msingi wa Neno la Mungu hupatikanika katika Neno lenyewe, na pia hupatanishwa kupitia katika Neno hilo hilo.

Ukirejea katika Waebrania 8:1-13 tunaona kuwa Agano la Kale lilikuwa na mapungufu tena ni kuukuu ndiyo maana likaja Agano Jipya. Mimi nafikiri unabii uhusuo kizazi cha sasa unapaswa kujengwa ndani ya Agano Jipya ama nyakati za uwepo wa kanisa, na wala si kupitia Musa na manabii wa kale ambao ujumbe wao ulilenga zaidi kabila 12 za wana wa Israeli na kwa kipekee sana uliwalenga Wayahudi milki ya ufalme wa Yuda.

Baraka na laana zilizopo katika Kitabu cha Kumbukumbu la Torati Sura ya 28 ni za Agano la Kale, tena zenye kuwahusu watu wa kabila 12 za wana Israeli ambao waliishi kupitia matendo ya sheria. Hizo haziwahusu watu wa mataifa kwa kuwa kupitia Agano Jipya wao huishi kupitia rehema kutoka kwa Bwana Yesu Kristo, kwa hiyo basi hawafungwi na sheria hizo za torati na manabii wa kale.
Uzi ushakengeuka
 
Mkuu wewe!!

Sidhani kama nitakujibu!

Mawazo yangu ya kinadharia:-

Deep state imeanza kabla hata ya uhuru yaani enzi za ukoloni!

Wakati wanaachia nchi wakoloni waliiachia chini ya uongozi wa kanisa kubwa!huko ndipo chimbuko la ujasusi wote Duniani!

Why!!?kwasababu kanisa ndio mamlaka pekee ilioaminika kuandaa watawala kielimu na maadili ndipo tulipowapata kina Nyerere na co!

Maafisa was kwanza was idara nyeti walifunzwa vilivyo na seminary kielimu,na kupata mafunzo wa kijeshi ndani na nje ya nchi!kama kina Emilio mzena,kina Augustine mahiga,Benard membe na wengine wengi sana!!genesis ya deep state no hara kabla ya ukoloni Baada ya uhuru utaratibu uliendelea kuandaa vijana Hadi leo wanaandaliwa!

Tiss ni taasisi visible yenye ofisi zake ambazo zipo kuanzia st.peters na nyinginezo na hao wapo Kila sehem nchini!

Toss na Ds ni taasisi mbili tofauti DS sio visible kama Tiss lakini Kuna uwezekano member was toss akawa member was D's ndani ya Ross Kwa kujua au kutojua!!

Kiongozi was Ds ni insible yaani haonekani kabisa kiutendaji lakini D's inafanya kazi Hadi kimataifa ikishirikiana ki operation na Taasisi za nje kama CIA,NIC,M16,MOSSAD n.k!

Tumia akili kwenye Uzi was kitabu anasema "zibaki serikali mbili sio tatu kama mashirika ya kimataifa ya kijasusi yalivyo fanya utafiti!!

Tiss wao ni visible ambao kiongozi wao ni Rais,katibu mkuu kiongozi,Mkurugenzi was usalama wataifa na waziri was utumishi na operation zake zinaratibiwa chini ya office ya Rais lakini DS operation zake hata Rais hawezi kujua na anawajibika kwao Kwa kufuata maelekezo yao!!

D's Kwa Tanzania Boss wake no mashirika ya kijasusi ya marekani CIA,MOSAD,NIC,M16n.k!

D's Ina nguvu kuliko Tiss,coz operation za D's ni ujasusi wa kidola ambao haufuati amri ya Rais wa TZ,Bali Mashirika makunwa ya kijasusi ya kimataifa hasa Russia na USA na Uingereza!!

De Levi's na samurai Wana sema kila depertment ya D's Ina watu zaidi ya 200!

Nimeandika ninavoelewa!
In short bado we are not a free country.
If I we chose they one they don't want. They will take him/her out.
Ni Bara LA asali na maziwa but kulamba na kunyonya si haki YETU.
 
Area51 Kule america ikiwa na aliens inasemekana ndio DS Yao,kwasasa ni karibu nchi zote Duniani zina hiyo DS ya upande was pili!ni hapa kwetu TU ndio zipo dalili Fulani za kuwa na DS ya juu ya universe alipo masihi!ndipo patakua kimbilio la mataifa yote Duniani ambao hawatotaka kuwa chini ya utawala was mnyama joka Lucifer!

Kibiblia Nchi ya ziwa nyanza ni Hii ambayo itakua kimbilio la mataifa yote!!
Naweza Pata andiko hapo kwenye nchi ya Nyanza.... Maana nadhani walibadili ziwa nyanza kuwa Victoria..... Au walitaka kutusaulisha....
 
Uzi ushakengeuka
Mkuu huogopi kusikia habari kuwa Dar na wakazi wake wote watapotezwa ifikapo Mei 2024? Ni vyema mtu kutokupuuzia, na ni vyema zaidi pia kuchunguza vianzo vya habari hii kama ni vya kweli na vyenye kuaminika.

Siku za Nuhu kulikuwa na ukaidi mwingi kama huu, katikati ya muda ambao watu walitingwa na mambo mengi ya anasa za kidunia, wito wa nabii ukapuuziwa, na watu wote waliangamia isipokuwa wale wateule wachache tu.
 
Mkuu huogopi kusikia habari kuwa Dar na wakazi wake wote watapotezwa ifikapo Mei 2024? Ni vyema mtu kutokupuuzia, na ni vyema zaidi pia kuchunguza vianzo vya habari hii kama ni vya kuaminika.

Siku za Nuhu kulikuwa na ukaidi mwingi kama huu, katikati ya muda ambao walitingwa na mambo mengi ya anasa za kidunia, wito wa nabii ukapuuziwa, na watu wote waliangamia isipokuwa wale wateule wachache tu.
Na wewe unaamini huo upuuzi?
 
Back
Top Bottom