Dark days 17/03/20...

Ww tupe madini wenye akili tutabaki na story yetu hao wanao tumia fuvu kufikiri Acha wateseke wakali wa code tunajua what's was done.
 
Mathew 24:7

For Nation shall rise against Nation, and Kingdom against kingdom, and shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.

Kwa maana Taifa litaondoka kupigana na Taifa, na ufalme kupigana na ufalme, kutakuwa na njaa, na Matetemeko ya nchi Mahali Mahali.

Na hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu.
 
Uzi mmeugeza unekua wa dini.....si sawa
 
Umenikumbusha wale majasusi 12 walioenda kuichunguza kanani 🀣

Biblia inasema hao majasusi waliingia kwa kahaba kama wateja japo hawakumkula ila walipewa hifadhi wakapiga kazi ya kijasusi pasipo mashaka 😁
Naam na hiyo hiyo biblia hapo ikamtambulisha huyo agent wa kike aliyefanikisha misheni na wakamfavor
 
Kwa mantiki hiyo mzee wa dokezo alitukosea sana,na kwa kawaida shukrani ya punda ni mateke.Omba Mungu teke lake lisikukute eneo hatarishi,vinginevyo atakupeleka paradiso wakati hafai hata kuchinjwa ili waombolezaji wapate kitoweleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…