Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Soon my friend, kuna kijigroup cha watu hapa bwana kime catch feeling kina relate na vitu vyao wanavyotaka!![emoji23][emoji23]

Afu ushamba nyie yaani unakuja pm unasema eti we are watching you carefully [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeee!!

Em tulieni bwana tusome tu!! [emoji23][emoji23]

Huyo mzee mnamtaja hapa kuwa na muonea na kumchafua hakuna mahala ametajwa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Ww tupe madini wenye akili tutabaki na story yetu hao wanao tumia fuvu kufikiri Acha wateseke wakali wa code tunajua what's was done.
 
Mathayo 24 imesema mtasikia habari za vita na matetemeko, na haijasema Mungu ataangamiza miji. Huu unabii unaosema kuwa Mungu ataangamiza Dar hautakuja kutokea, kama na natural disaster tahadhari inabidi itolewe kwa mikoa yote ya Pwani. Ila kwa Mungu ninayemjua hataangamiza Dar. Nakuhakikishia unabii wa kuangamiza Dar hautatimia, mwezi wa Tano sio mbali.
Mathew 24:7

For Nation shall rise against Nation, and Kingdom against kingdom, and shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.

Kwa maana Taifa litaondoka kupigana na Taifa, na ufalme kupigana na ufalme, kutakuwa na njaa, na Matetemeko ya nchi Mahali Mahali.

Na hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu.
 
Mathew 24:7

For Nation shall rise against Nation, and Kingdom against kingdom, and shall be famines, and pestilences, and earthquakes, in divers places.

Kwa maana Taifa litaondoka kupigana na Taifa, na ufalme kupigana na ufalme, kutakuwa na njaa, na Matetemeko ya nchi Mahali Mahali.

Na hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu.
Uzi mmeugeza unekua wa dini.....si sawa
 
Umenikumbusha wale majasusi 12 walioenda kuichunguza kanani 🤣

Biblia inasema hao majasusi waliingia kwa kahaba kama wateja japo hawakumkula ila walipewa hifadhi wakapiga kazi ya kijasusi pasipo mashaka 😁
Naam na hiyo hiyo biblia hapo ikamtambulisha huyo agent wa kike aliyefanikisha misheni na wakamfavor
 
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI asante sana mkuu kwa torch yako gizani,
Ila Eva hana shukurani,
Naweza kukubaliana na Veronica France wa 2021,
Mzee wa Dokezo nasikia aliwakatalia team late ceo kuweka mtu wao, hivyo bila ya mzee wa dokezo Eva asingekaa pale kileleni,
Halafu anakuja mtu kutoa zawadi yenye nia ovu ndani yake, hana shukurani habebeki.
Kwa mantiki hiyo mzee wa dokezo alitukosea sana,na kwa kawaida shukrani ya punda ni mateke.Omba Mungu teke lake lisikukute eneo hatarishi,vinginevyo atakupeleka paradiso wakati hafai hata kuchinjwa ili waombolezaji wapate kitoweleo.
 
Back
Top Bottom