Dark days 17/03/20...

Ushaambiwa ni hadithi, hivi mbona mnakaza mafuvu kiasi hicho,
Tuleteeni zenu basi
 
Jamaniiii!! [emoji23][emoji23][emoji23] haya ndugu yangu!! Tumepindisha tena!! Sawaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwajui mashabiki jukwaani? anasahihisha kila mpira kuwa hukulenga umepindisha, mwache aingie uwanjani aandike hata yanayojiri codes yoyote hajui lolote ni sawa na kukosa penati wakati kipa hayupo, ngoja walete iliyonyooka
 
Siasa ni ya kisee sn😅..nimeshuhudia sn aliyekuwa minister wa mambo ya nga'ambo enzi za Mr tabasamu akija Kwa babu yangu kufanya vikao vya usiku,alafu unakuja kusikia wanapita bila kupingwa,eti hakuna wa kugombea kushindana nae ktk mbio za pale mjengoni.

Wanaibuka na Kura Kama zote, hawajapingwa eti😅

Hawa watu wa siasa bana me sijawahi kuwaamini hata siku moja,na sitakuja kumwamini yeyote,ni wahuni sn😅
 
Uzi uko wapi
 
Uzi uko wapi
Mtunzi Tumia akili Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'
 
Shukran
 
Nimekuelewesha hapo vizuri, Kama bado visasi vinaendelea basi vitakuja kulipwa kwa kuwa hao hawatalive long.
Katiba mpyaaaa...

Sema mimi nampenda born town sana na show zake[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91] born town mwamba sana.... me napendaaga mzee akiwa mhuni hivi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
leo mimi mjinga sana hili gazeti limenifanya nimnase kibao mlinzi ananilazimisha nitoke nje mda wa kazi umeisha hajui kuwa natumi PC ya ofisi yenye WiFi 😄😄😄😄.


wikiendi tamu sema wambea mnaujaza uzi kwa koment zenu za kuungaunga dot mnasahau kuwa hili ni gazeti la SANI.



HADITHI YETU INATUFUNDISHA NINI?


😄


tusiwe wambea.
 
Kuna apartments Morocco square zinauzwa Bei Chee, Kama huna uwezo wa kununua basi ww utakua punguani kusifia wanaccm

 
Huyo yoga nadhani ni mtu nyuma ya mtu
 
@miss pablo kasema anampenda Born town wewe unampa nyumba za CCM kwani hana? mpaka unamuita punguani? nyumba za kuazimana mbuzi na Nazi mwache ampende kidume
Jamaa fala kweli... nani anataka msongamano wa mjini kwanza? na hata katika movies napendelea kuangalia ni zile zinahusiana na intelligence. Hivi kweli mtu anakua smart naastermind wa mambo makubwa hivi kwanini usimpende? Na simpendei kisiasa. Nimezikubali show zake[emoji23][emoji23] hakika bush stars wana la kujifunza. Mjini ni akili.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Jamaa kairukia Mada na kutubadilisha kuweka tangazo la NHC ukapange
ungemjibu wewe unalo ghorofa unatafuta wapangaji
Born town hata mm namkubali bila yeye ungekuta hata Jamii Forums imefungwa
Tweeter ilifungiwa kabisa na wengine hata VPN hatukua nazo leo tunapumua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…