Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Wakuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI, The MoNA, msakaa jr, TUJITEGEMEE, yoga, Je Mzee wetu EL alikuwa ni member wa deep state?
Vipi Deep state member wao akifa kwenye mazishi kuna ishara yoyote yaweza kuwatambulisha?
Maana huku kwingine huwa tunaona jeneza limefunikwa bendera ya taasisi, chama, taifa nk nk.
Hao wastaafu Huwa wanakua kwenye Baraza la usalama wa taifa!

Maoni yao huhitajika kwenye maamuzi mtambuka!!

Kuhusu mazishi Yao Sina experience labda itakua hivyo kama wakubwa wengine!!
 
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI sawa, vipi ukiachilia mzee kuwa kwenye baraza la usalama wa taifa, vipi upande wa Deep state?
Member was deep.state ni WA kufikirika sana.yaani.ninmfumo.ndani ya mfumo!japo ni Wana usalama.lakin no ngumu kuwajua Moja kwa moja kwamba ni huyu au yule coz sio wanausalama wote no member was the state!!

Labda BT anaweza kuwa walau coz ni member waliofuzu iliyokuwa inaitwa kijitonyama!

Kuhusu Mzee ni hamsin kwa hamsini!!
 
Member was deep.state ni WA kufikirika sana.yaani.ninmfumo.ndani ya mfumo!japo ni Wana usalama.lakin no ngumu kuwajua Moja kwa moja kwamba ni huyu au yule coz sio wanausalama wote no member was the state!!

Labda BT anaweza kuwa walau coz ni member waliofuzu iliyokuwa inaitwa kijitonyama!

Kuhusu Mzee ni hamsin kwa hamsini!!
Aaaaaa sawa Master, shukurani sana,

pamoja na kwamba hawa viongozi huwa kwenye baraza la usalama wa taifa,

nilikuwa nikidhani watu hawa wakistaafu automatic wa nakuwa members wa DS
1. Rais JMT akistaafu, Makamu wa rais, waziri mkuu, Spika, Cdf, Mkurungezi mkuu wa usalama wa taifa, IGP, Jaji mkuu, Gavana wa bank kuu, Mwanasheria mkuu, nk nk.
 
Member was deep.state ni WA kufikirika sana.yaani.ninmfumo.ndani ya mfumo!japo ni Wana usalama.lakin no ngumu kuwajua Moja kwa moja kwamba ni huyu au yule coz sio wanausalama wote no member was the state!!

Labda BT anaweza kuwa walau coz ni member waliofuzu iliyokuwa inaitwa kijitonyama!

Kuhusu Mzee ni hamsin kwa hamsini!!
Hiyo iliyoitwa kijitonyama ndio ikoje?
 
Kwanini haudhani kuwa wewe ndiyo hujui maana yake Chief?
Bhasi ngoja nikusaidie mkuu tusiende mbali sana...

Kasome PGO,Penal Code, sheria ya Rushwa na sheria ya TISS sana sana ya hivi karibuni mwka 2023..
Kwa Tanzania watu waliopewa Jukumu la kutekeleza majukumu ya Kushikilia,Kuzuia au Kuhoji Raia kwa nia ya kutekeleza sheria (Law enforcers) Ni Polisi,TISS,PCCB (Kwa makosa maalumu ya Rushwa tu).. Mgambo japo na wao kwa sheria ya the PEOPLE'S MILITIA(POWER OF ARREST) ACT ya mwaka 1975..

Hivyo hivyo Ukisoma Sheria ya TISS ya mwaka 2023 ina Power to arrest kama ilivyopewa People's Militia (Mgambo)..
Tusome sheria jamani..
Ambaye hajapewa Power tu arrest Legally ni JWTZ,na Majeshi.mengine zimamoto nk..

Sijui kama umenielewa?
 
dah Sad Kwa kweli Mtu kutokujua Maana Ya Palmoni פלמוני na akajiita mkristo ..
Palmoni ni sawa na Gematria au kwa Kwa Kigreek Numerology Mkuu...
Biblia imejaa Palmoni ,Gematria na Numerology ambayo ni kama Code mnatakiwa kuifungua..

Kwakuwa huu ni uzi wa watu nenda kwenye uzi wako nitakuandikia huko

Umekosea. Ni vizuri ukajua kwamba kuna vitu huvijui vizuri.

Kasome Daniel 8:13 kwenye old King James Version bible, ile ambayo sometimes ina Hebrew words au explanations on the margin, utaona hilo jina Palmoni, the Wonderful Numberer or the Numberer of Secrets.

Hao watu wanaojifanya kuelezea numerology na gematria, wametoa hilo jina Palmoni from Daniel 8:13.
 
Umekosea. Ni vizuri ukajua kwamba kuna vitu huvijui vizuri.

Kasome Daniel 8:13 kwenye old King James Version bible, ile ambayo sometimes ina Hebrew words au explanations on the margin, utaona hilo jina Palmoni, the Wonderful Numberer or the Numberer of Secrets.

Hao watu wanaojifanya kuelezea numerology na gematria, wametoa hilo jina Palmoni from Daniel 8:13.
Mkuu kwa bahati kidogo Nilibahatika kujua Lugha kadhaa na kuzisoma pia Na Hebrew ikiwa ni moja wapo..
So nashukuru Sana kwa maelezo yako..
Ila Maana halisi ninaijua kwakuwa Lugha halisi ninaijua pia..
Asante mkuu
 
Hapo uliposema ufalme wa roho ya nabii wa uongo ni marekani nikalinganisha ela Yao ilivyochorwa piramidi na jicho vitu vyenye kuonyesha imani za giza, ukichangia na jinsi taifa Hilo lilivyosambaza duniani kote utamaduni wake na maharibifu kuanzia silaha za maangamizi, magonjwa, televisheni ,sinema,muziki, umaskini, tehama ya mambo mabaya , ushoga,kubadilisha jinsia, nk Naona Kama inaleta maana.

Chukulia mfano Tanzania kabla ya 1994 na baada ya 1994 utaelewa maanake.

Jambo lingine

Soma Mathayo 12:
1.Wakati huo Yesu alipitia kwenye mashamba ya ngano siku ya sabato. Wanafunzi wake walikuwa na njaa, wakaanza kuvunja masuke ya ngano na kula. 2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili wakam wambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanya siku ya sabato.”

3 Yesu akawajibu, “Hamjasoma walichofanya Daudi na wafuasi wake walipokuwa na njaa? 4 Waliingia katika nyumba ya Mungu wakala mkate uliowekwa wakfu, jambo ambalo halikuwa halali kwao kufanya isipokuwa makuhani peke yao. 5 Au hamjasoma katika sheria kwamba siku ya sabato makuhani huvunja sheria ya sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia? 6 Nawaambieni wazi kwamba, aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa. 7 Na kama mngalifahamu maana ya maneno haya, ‘Ninataka rehema wala si sadaka ya kuteketezwa;’ msingeliwalaumu watu wasio na hatia, 8 kwa maana Mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato.”

Yesu Anamponya Mtu Aliyepooza Mkono

9 Yesu alipoondoka hapo, aliingia katika sinagogi lao. Huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono . 10 Wakitafuta sababu ya kumsh taki, wakamwuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?” 11 Yesu akawajibu, “Ni nani kati yenu ambaye kondoo wake aki tumbukia shimoni siku ya sabato hatamtoa? 12 Mtu ana thamani kubwa sana kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya sabato.”

13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akau nyoosha, nao ukapona ukawa mzima kama ule mwingine. 14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje wakashauriana jinsi ya kumwangamiza

Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu

15 Lakini Yesu akiyafahamu mawazo yao, aliondoka mahali hapo. Na watu wengi walimfuata naye akawaponya wote. 16 Akawa kataza wasimtangaze. 17 Hii ilikuwa ili yatimie maneno aliyosema nabii Isaya: 18 “Mtazameni mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu ambaye moyo wangu unapendezwa naye. Nitaweka Roho yangu juu yake , naye atatangaza haki kwa watu wa mataifa. 19 Hatabishana wala hatapiga kelele, sauti yake haitasikika mitaani. 20 Hataponda unyasi uliochubuliwa wala hatazima mshumaa unaokaribia kuzima, mpaka atakapoifanya haki ipate ushindi; 21 na watu wa mataifa wataweka tumaini lao katika jina lake.”

Wayahudi na waisraeli hawakutambua kuwa Yesu ni mkuu kuliko Abraham na moshe( moses) na hawakutambua mafundisho ya Yesu ( Injili takatifu) , hawakutambua ni mwana wa Mungu akaae mkono wa kuume wa Mungu Baba , hawakutambua ni mkuu kuliko sabato , hawakutambua ni messiah aliyekuja kuwaokoa na kuokoa ulimwengu, hawakutambua kuwa ni hakimu mkuu atayehukumu ulimwengu siku ya mwisho .

Yesu alipokufa pale msalabani Yerusalem pazia la hekalu kuu lilipasuka katikati kuanyesha nyakati mpya kuanza ambapo ni agano jipya .

Baada ya Miaka michache tangu Yesu kupaa mbinguni hekalu takatifu liliteketea kutimiliza utabiri wa Yesu .

Miujiza ya Bwana Yesu Kristo siku ya sabato, ili lenga kuconfirm the seventh day sabbath na kuitumia ipasavyo, na kuonyesha kwamba sabato ni siku ya worship, preaching, prayer, God's mercy/grace, God's work, God's truth/covenant, God's kingdom, God's redemption/salvation, na a memorial of creation.

Miujiza ya Bwana Yesu Kristo, haikulenga kuitengua au kuibadilisha sabato ya siku ya saba.

Agano jipya halijabadilisha amri kumi, wala sabato ya siku ya saba. Agano jipya limebadilisha ceremonial law of Moses na sio moral law.
 
TISS haihusiki na enforcement kwa mujibu wa SHERIA.

Kama ulivyosema, ni kutoa alert . Na uwasilishwaji wa security alert una ngazi, je una report wapi.

Senior wako unaweza kuwasilisha, yeye akaikalia…. Ndiyo shida.

muhimu kufanya majukumu yako.

Enzi ya JK taarifa nyingi alikuwa anaweka kwa makabati yake na kuzipotezea.

Hata hili la Uteuzi wa wageni, sio geni kwa mamlaka za uteuzi , Files zipo, na hata GS Agency wanafanya kazi yao.

Utaona wanafanya vetting hadi vijijini wanapo claim ni kwao . Wanakuja na Solid findings na kuwasilisha REPORT .

Suala la report imefanyiwa kazi au hapana sio tena la ki intelligence

Nataman siku moja TZ , iwe chini ya chama kingine….. some how some where ….. CCM wameharibu snaa nchi na wamejiwekea mfumo fulan hivi wa ulaji hatari

In honest way , kwa kutumia CCM hatutoboi, tatizo kubwa ninaloliona and CCM take advantage ni TZ hakuna upinzani serious …

hawa jamaa wote ni njaa wakipewa bahasha za kaki wana poteana

Hatuna upinzani hii ndio shida, VIJANA wanatamani sana kuipiga chini CCM
Report kutofanyiwa kazi ni part ya intelligence failures.....
 
Back
Top Bottom