Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
The company is Revolution party (RP)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni upuuzi wenu. Tafuteni jukwaa la dini ba.ta ninyi!Umekosea. Ni vizuri ukajua kwamba kuna vitu huvijui vizuri.
Kasome Daniel 8:13 kwenye old King James Version bible, ile ambayo sometimes ina Hebrew words au explanations on the margin, utaona hilo jina Palmoni, the Wonderful Numberer or the Numberer of Secrets.
Hao watu wanaojifanya kuelezea numerology na gematria, wametoa hilo jina Palmoni from Daniel 8:13.
Vatican Ina majibu ya yote!Kifo na ugojwa vyote ni mipango ya Mungu
Duuuuh, sijaambulia kitu,Vatican Ina majibu ya yote!
Mtu wetu yupo huko hope hatokuja na hati hiyo ya mwenyewe!!
Hofu inaweza kuhalalisha kifo? Hayo maneno ya ufalme ni kuhalalisha uhalifu wao tu,kosa kubwa ni kukata mirija Yao.Mwanzoni nilianza kumuonea huruma Mr. Late lakini nilipofika hapo kwenye tukio la Mzee baba Sema Sema huruma yangu kwa The Late ikaisha.
Mwandishi upo vizuri.. Iwe kweli Mr. Late alifanyiwa uhuni au alivuta naturally naona Kampuni imeokolewa kwa kiasi fulani. Ni bora hapa kampuni ilipo kuliko kule ambako ingekuepo
Kuabudiwa na kutaka kutengeneza utawala wa kifalme ni moja ya mambo ya kipuuzi sana ambayo hayapaswi kupewa nafasi hata kidogo.
Nadhani walijaribu au walishafanya research ambayo ilileta majibu chanya so Wazungu ikabidi wazuie mchakato usiendele. Maana DOLA inazunguka kwa mafuta ya SAUDIAMkuu Asante na kingine naomba kuuliza mkuu AggerFirminho Hivi Somalia ya Mogadishu na ile Somaliland zimewahi kuchimba mafuta?
Kitu Cha ovyo kikisemwa Kwa kizungu kinakuwa cha maana.kwanini usitumie kiswahili?
Acheni upuuzi wenu. Tafuteni jukwaa la dini ba.ta ninyi!
Elvis Musiba ni mtunzi mahili wa vitabu na wili gamba ni mtu wake wa kuumba,huyo cypriani ni mfanyakazi wa kutwa,Elvis Musiba ndio nani? Ana undugu na Cyprin Musiba?
Je naibu waziri mkuu?????
Hii kitu imebeba ukweli fulani hv ,ahsante kwa kutuongezea infoAlternative story ya kukatwa kwa Edo July 2015
30/12/2005 – JK alimteua Edo (Mlutheri) kuwa Waziri Mkuu. This was nothing new as Fredrick (Mlutheri) alishakuwa PM for 10 years. JK alitaka Edo (Mprotestanti) awe mrithi wake wa urais. JK alidhamiria hivyo huku akijua kwamba system ya TZ huwa haipendi kua na rais Mprotestanti. 26/6/2006 - JK...www.jamiiforums.com
Wakuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI, The MoNA, msakaa jr, TUJITEGEMEE, yoga, Je Mzee wetu EL alikuwa ni member wa deep state?
Vipi Deep state member wao akifa kwenye mazishi kuna ishara yoyote yaweza kuwatambulisha?
Maana huku kwingine huwa tunaona jeneza limefunikwa bendera ya taasisi, chama, taifa nk nk.
Aaaaaa sawa mkuu The MoNA shukuraniNafikiri yes ni miongoni mwao. Japo sio deep state ile dark one. Ni hii hii ya kina born town inasumbua wasakata tonge. Na yeye ndio amemsaidia sana BT kwa namna moja au nyingine.
Watu kama yeye wenye umri mrefu kimadarak kuanzia chamani na nchini kuna vingi wanavijua hivyo ilia kulinda hiyo lazima washirikishwe mambo ya kichama na kinchi kwa namna moja au nyingine kwani kuna uzoefu wanao tayari hata mambo ya kifedha atakuwa vzuri kushiriki.
Sidhani kama wana ishara zozote zionekanazo. Nafikiri wengi huzikwa kwa heshima anayojulikana na adhira, kama ni mtu wa chama atazikwa kichama na kama alifika level kubwa za kinchi watafanya vivyo hivyo.
Edo ishara walizionyesha kbsa..Nafikiri yes ni miongoni mwao. Japo sio deep state ile dark one. Ni hii hii ya kina born town inasumbua wasakata tonge. Na yeye ndio amemsaidia sana BT kwa namna moja au nyingine.
Watu kama yeye wenye umri mrefu kimadarak kuanzia chamani na nchini kuna vingi wanavijua hivyo ilia kulinda hiyo lazima washirikishwe mambo ya kichama na kinchi kwa namna moja au nyingine kwani kuna uzoefu wanao tayari hata mambo ya kifedha atakuwa vzuri kushiriki.
Sidhani kama wana ishara zozote zionekanazo. Nafikiri wengi huzikwa kwa heshima anayojulikana na adhira, kama ni mtu wa chama atazikwa kichama na kama alifika level kubwa za kinchi watafanya vivyo hivyo.