Dark days 17/03/20...

Acheni upuuzi wenu. Tafuteni jukwaa la dini ba.ta ninyi!
 
Hofu inaweza kuhalalisha kifo? Hayo maneno ya ufalme ni kuhalalisha uhalifu wao tu,kosa kubwa ni kukata mirija Yao.
 
Acheni upuuzi wenu. Tafuteni jukwaa la dini ba.ta ninyi!

 
Hii kitu imebeba ukweli fulani hv ,ahsante kwa kutuongezea info
 

Nafikiri yes ni miongoni mwao. Japo sio deep state ile dark one. Ni hii hii ya kina born town inasumbua wasakata tonge. Na yeye ndio amemsaidia sana BT kwa namna moja au nyingine.

Watu kama yeye wenye umri mrefu kimadarak kuanzia chamani na nchini kuna vingi wanavijua hivyo ilia kulinda hiyo lazima washirikishwe mambo ya kichama na kinchi kwa namna moja au nyingine kwani kuna uzoefu wanao tayari hata mambo ya kifedha atakuwa vzuri kushiriki.

Sidhani kama wana ishara zozote zionekanazo. Nafikiri wengi huzikwa kwa heshima anayojulikana na adhira, kama ni mtu wa chama atazikwa kichama na kama alifika level kubwa za kinchi watafanya vivyo hivyo.
 
Aaaaaa sawa mkuu The MoNA shukurani
 
Edo ishara walizionyesha kbsa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…