Vipi kuhusu wachina, wahindi, wajapani n.k??? Tumepewa akili na maarifa tutumie vizuri na siyo kuendeshwa na mihemko, papara na hisia za kidini!Waarabu ni watoto was japhet na wazungu ni watoto was Shem,weusi ni.watoto wa Ham!source Book of enoch!
Hujui lolote, katafute vitabu hivi MORAL AND DOGMA, ASHKEINAZI JEW.Israel kwenye biblia walitabiriwa kwenda ulaya kama adhabu na watarudi sasa unavyosema wale sio wayahudi unatumia kigezo kipi
Wanasema wale ni wayahudi sababu dna zao zinafanana wenzako wanatumia dna wewe unatumia hisia
Inapendeza ukampa summary ili apate shauku ya kuvitafutaHujui lolote, katafute vitabu hivi MORAL AND DOGMA, ASHKEINAZI JEW.
Aende akasome mwenyewe, asipende kusomewa.Inapendeza ukampa summary ili apate shauku ya kuvitafuta
Nyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilazaDah hv huyo kijana WA Mr . New culture ambaye alimchallenge Sana Mr. New culture lkn Nia yake ikaishia kwenye graveyard NI Nani huyo?
Hata wewe umekosea boss!! Kijana wa new culture aliyemchallenge na akaishia kwenye graveyard ni mtu wa Musoma maarufu kwa CWNyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilaza
Atoke km humu JF hasa huku intelligenceNyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilaza
Hadi desemba 2025 ndio Uzi on!!
Hidaya binti Hizaya , sasa kaacha ubaya, kawa kama kiazi Ulaya. ,π©Hidaya on the way.
[emoji2956][emoji2956]Hii thread ninachoipendea huwa ipo katika nyanja zote, kidini kihistoria kimedani kijasusi kiasiasa na kimaendeleo, tunampongeza mwanzisha mada na haswa wachangiaji ambao tupo hapa tokea siku ile uzi huu ulipo anzishwa.
Huu uzi utadumu na kudumu na utakuwa marejea na hata ushahidi hapo kesho, kesho sio mbali ipo siku ukweli utajidhirisha.