Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Kwa nini Mkuu Resilience unadhani huyu Yoga si Samia?Niliwahi hisi hivyo!lakini sidhani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini Mkuu Resilience unadhani huyu Yoga si Samia?Niliwahi hisi hivyo!lakini sidhani!
Yule Mzee alitumika kuinadi Dp world kipindi kile!Trump mwenyewe sub kongwe
Mboni Kali sana imetumika
Is never expected mzee wa 80 kutumika Kama Kivuko
Eti members wa JF. Je wewe hapo sasa hivi unachat kupitia social media ipi?Members wa JF mnapenda stori za uongo na kweli, ili mradi muambiwe kuna Code imewekwa.
Mimi nakupenda vipi IPO nafasi ya upendeleo moyoni mwako unihifadhi...?😂😂 Hints:
👉One switched side quickly 😂 sababu ya UCEO wa main company 2025
But both Their time is up!
For the two upcoming weeks.... That company will be in a bumpy road!! 😂😂😂
Na nilisahahu anyways ........ both of them are sponsered by one big institution under one man. Its game of cheese by a single man and u know him right?? 👍
WamebadilishaHii heading ilibadilishwa au uvivu wangu!
Ndio maana nikaona kama sio sawa.Wamebadilisha
"Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!" {yoga 20/03/2022}Kigugumizi on flick.......🤣🤣🤣
Kuhusu hili Mme sema hapa ... ngoja nimkaribishe mzeee ......🤣
Mzee: kwanza wachawi wamesha kufa (unamjua mchawi?) 🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee tena: kuhusu UCEO Tukiamuaaa hata sasa ......... Naomba ........... Nyie Vijana msije na mabango ...🤣 Tunaogea mambo mazito mtulie kwanza .....🤣
🤣🤣 Ila Huu mwaka huuu wapendwa Kuna Raha sana!!
Hii heading ilibadilishwa au uvivu wangu!
Uchonganishi huu sasa...Hii ya zamani sanaNaona ngoma bado mbichi BT vs kp
View attachment 3220911
Najua ni ya zamani.Uchonganishi huu sasa...Hii ya zamani sana
na sisi pia tunabeba vinyongo! huyo PK kitanuka tu tenaNajua ni ya zamani.
Lakini wenzetu hutunza hasira & chuki kwa muda mrefu.
Huwa wanarithisha hadi vizazi vyao