myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Utamu unaendelea..Bonus chapter
"The lost pages in the CEO Diary"
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hili andiko maudhui yake yanafanana na Uzi wa yule Jamaa aliyesema kwamba Samia atatawala mwisho 2023.Swali la maana hapa ni kwanini huyo Kikwete anataka SAMIA 2025 asigombee??
mkuu uko sawa akilini?Hili andiko maudhui yake yanafanana na Uzi wa yule Jamaa aliyesema kwamba Samia atatawala mwisho 2023.Swali la maana hapa ni kwanini huyo Kikwete anataka SAMIA 2025 asigombee??
Inakuja lini hii ya kurasa zilizopotea ?Bonus chapter
"The lost pages in the CEO Diary"
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Kudadeki!!! Atakuwa anachekaga sana akipitia komenti kama hizi.Hahaha duuh ila kumbuka yule pamoja na kwamba ni mtoto wa vibarazani lakini ni mwanajeshi mstaafu tena luteni kanali na siyo watoto wa vibarazani wote wanaweza uanajeshi! So yuko tofauti na wale wakaa vibarazani wengine wanaoshinda wamevaa misuli!
Mkuu unaandika vitu gani? Naona neno mara RAIS, mara Samia, hao wanahusiana vp na hii simulizi?Na kwa Nchi kama Tanzania ambayo watu wake ambao tupo kama marehemu,RAIS ana uwezo wa kuchukua hata nusu ya fedha alizokopa let's say SAMIA achukue nusu ya zile 1.3 na hata Wananchi wasifanye chochote na ana uwezo wa kumuagiza Governor wa B.O.T akachukue hela yoyote anayotaka.
Sasa kwa nini uli risk position yako kwa kitu ambacho unaweza kukopata kirahisi,labda kama ana nia ya kweli ya kuikomboa Tanzania upya kama Nyerere.
Mkiambiwa acheni kuzoea High Life mnakuwa wakali.... hii post yako ina uhusiano wowote na hii simulizi? Au ni tangazo la biashara?Hili andiko maudhui yake yanafanana na Uzi wa yule Jamaa aliyesema kwamba Samia atatawala mwisho 2023.Swali la maana hapa ni kwanini huyo Kikwete anataka SAMIA 2025 asigombee??
If you can't fight them, join them! Msaidizi wa new CEO yuko sahihi kwa mustakabali wa maisha yake na hiyo inaweza kumsaidia pia kujua machache yaliyo nyuma ya pazia. Na simulizi hii inaonesha pia kuwa karma haijawahi kumwacha mtu salama ...new CEO anatendewa na msaidizi wake kile alichomtendea mwenzie alivyokuwa msaidizi japo sidhani kama itafikia kiwango chake.yoga NI gwiji wa riwaya, fiction story km zile za James Hardly Chase au vile vitabu vya Misiba kanimaliza pale alipoingia jumba la pesa kumtafuta msaidizi wa CEO enzi ya The late alikuwa mshika noti. Jengo lift na walinzi liko vilevile kwenye hii story hata kiti alichokuja kalia jamaa na kugusa mpaka kaenda lazwa. Na kwa vile kabila lake msaidizi ni waoga hatimaye kamgeuka CEO na kutoa kumpa Old CEO
Mtunzi ni gwiji na ana access kubwa katika Kampuni
100/100 mkuu! Muandishi anatisha sana. Kuna watu ni vichwa hatare!yoga NI gwiji wa riwaya, fiction story km zile za James Hardly Chase au vile vitabu vya Misiba kanimaliza pale alipoingia jumba la pesa kumtafuta msaidizi wa CEO enzi ya The late alikuwa mshika noti. Jengo lift na walinzi liko vilevile kwenye hii story hata kiti alichokuja kalia jamaa na kugusa mpaka kaenda lazwa. Na kwa vile kabila lake msaidizi ni waoga hatimaye kamgeuka CEO na kutoa kumpa Old CEO
Mtunzi ni gwiji na ana access kubwa katika Kampuni
Wanasema pressure baada ya kutoka 77777Tunaisoma hii story ila kuna watu wanasahau haya mambo yalianza kitambo toka enzi za 1st CEO,
Nakumbuka msaidizi wa 3rd CEO alikufa ghafla sana katika mazingira ya utata.
Pale unapotumika kunfanyia mtu ubaya juwa na wewe uko mbiona kufanyiwa ubaya.hii ni general rule with no exception.Hili andiko maudhui yake yanafanana na Uzi wa yule Jamaa aliyesema kwamba Samia atatawala mwisho 2023.Swali la maana hapa ni kwanini huyo Kikwete anataka SAMIA 2025 asigombee??