myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hadithi nzuri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief Ni kwamba siyo kila tukio hili Ni la kweli zingine Ni kufikirisha Zaid how came old CEO na washirika wake kwenda kumpigia new CEO magoti aziwafukuze ktk chama badal yake wakaojiwa na kusalilishwa sna mpk mwingine alitembe mpk jumba jeupe kuomba tu msamahaNb hii ni simulizi tu kama vitabu vingine vinavyosimuliaga story.
Hata hivyo unatakiwa kujua kuwa unaloliona haliwezekani ndo huwa linawezekana kua uyaone.
.kuna riwaya moja nilisoma, yule bwana hakujuwa kuwa mambo magumu yanawezekana kutokea juu yake alikuja kukundungua muda ushaenda.alicheka huku akiwa analia.
Akamuita mtu wake wa karibu sana akamwambia niitie mchungaji fulani , mchungaji akaja akamwambia nimekuitia mambo matatu.
1: akamwambia kila kitu alichokigundua wakati alishachelewa.
2: akamwambia tusali wote......wakasali.
3: mwisho akamwambia wacha tu mimi niishie hapa.
Nilivyosoma kile kitabu nikakimaliza nikagundua yule bwana mwisho alikubali matokeo, na akaona ni sahihi aishie pale naana angeendelea kuwa hai angeshangaza dunia maana pale unapogundua huyu mtu wa karibu yako ndo mbaya wako, pata picha unamfanya nini?
So nyie watoto mmezaliwa jana hamsomi vitabu, riwaya zipo nyingi na za kufundisha.nendeni maktaba mkasome vitabu.
Nimekuelewa.Sisi watu wazima huwa tunaelewana kwa hekima zetu na wala si kwa maneno mengi au kuhoji kwingi. Tunaelewa jambo jipya lakini tunaliweka katika mazingira ya kuwa jambo la zamani.Nb hii ni simulizi tu kama vitabu vingine vinavyosimuliaga story.
Hata hivyo unatakiwa kujua kuwa unaloliona haliwezekani ndo huwa linawezekana kua uyaone.
.kuna riwaya moja nilisoma, yule bwana hakujuwa kuwa mambo magumu yanawezekana kutokea juu yake alikuja kukundungua muda ushaenda.alicheka huku akiwa analia.
Akamuita mtu wake wa karibu sana akamwambia niitie mchungaji fulani , mchungaji akaja akamwambia nimekuitia mambo matatu.
1: akamwambia kila kitu alichokigundua wakati alishachelewa.
2: akamwambia tusali wote......wakasali.
3: mwisho akamwambia wacha tu mimi niishie hapa.
Nilivyosoma kile kitabu nikakimaliza nikagundua yule bwana mwisho alikubali matokeo, na akaona ni sahihi aishie pale naana angeendelea kuwa hai angeshangaza dunia maana pale unapogundua huyu mtu wa karibu yako ndo mbaya wako, pata picha unamfanya nini?
So nyie watoto mmezaliwa jana hamsomi vitabu, riwaya zipo nyingi na za kufundisha.nendeni maktaba mkasome vitabu.
Karudie kusoma hizo code za CEO zipo 3 unazichanganya.Chief Ni kwamba siyo kila tukio hili Ni la kweli zingine Ni kufikirisha Zaid how came old CEO na washirika wake kwenda kumpigia new CEO magoti aziwafukuze ktk chama badal yake wakaojiwa na kusalilishwa sna mpk mwingine alitembe mpk jumba jeupe kuomba tu msamaha
Ikiwa old CEO ndio mwenye kujuwa sarakas zote bas asingekubali washirika wake wazalilike Kia's kile wakt anweza kumalizana na neo CEO kimya kimya
kumbe haka kajamaa kachafu hivi!!!Man from mwisho wa reli.
Nimehisi tu mkuu sio zambarau, nimehisia MpangoKazi.kumbe haka kajamaa kachafu hivi!!!
kanakula jikoni miaka yote na kanapata harufu za mapishi yote, huko zambarau kamejificha tu, Leo kanamsifia New CEO amsamehe kocha wa timu pinzani aliyelimwa red card miezi 8 kumbe kananeemeka
Ukiwasikilza majukwan wanaongea vizur na kuiponda serikali bt baada ya hapo wamekutana na watu wa serikali na maisha yanaendeleakumbe haka kajamaa kachafu hivi!!!
kanakula jikoni miaka yote na kanapata harufu za mapishi yote, huko zambarau kamejificha tu, Leo kanamsifia New CEO amsamehe kocha wa timu pinzani aliyelimwa red card miezi 8 kumbe kananeemeka
Nimekupata nilimanisha late CEO ambaye tayari kashafukiwaKarudie kusoma hizo code za CEO zipo 3 unazichanganya.
Old CEO ndio ana hilo genge waliotambaa white house
Late CEO alishafukiwa udongoni aliwatimua wote kundi la Old CEO
New CEO ndio kawarudisha wote mabest wa Old CEO hata Jana swahiba wake Mkuu wa Old CEO kapewa shavu awe msaidizi wa New CEO kwenye club ya mpira
[emoji1787][emoji1787]The state waliamua toka gaberon room no 26...na ilikuwa Ni lazima iwe hivyo..sababu kubwa iluyopelekea maamuz hayo Ni kwamba badala ya ""kujenga taifa yeye alikazana kujenga nchi...""
Unakalili mzee njia za kuwaua zipo kibao na hiyo ni mojawapo.Kwamba hao marais wanauwawa kwa kupewa chai na mgeni aliyeshuka na private jet na hajulikani. Na sumu iliyotiwa na kutumwa kwenye documents? Wanakufa ila hawafi kitoto hivi. Nilisoma sikumalizia kipande cha nne nikaishia hapo sijui wapi alisema ni fiction
Dah I thought the same....Chachamengwe zakaleyo wangwewe.
Dah I thought the same....Chachamengwe zakaleyo wangwewe.
Huenda ni mbinu tu ile ili aone yameisha na wanamuogopaChief Ni kwamba siyo kila tukio hili Ni la kweli zingine Ni kufikirisha Zaid how came old CEO na washirika wake kwenda kumpigia new CEO magoti aziwafukuze ktk chama badal yake wakaojiwa na kusalilishwa sna mpk mwingine alitembe mpk jumba jeupe kuomba tu msamaha
Ikiwa old CEO ndio mwenye kujuwa sarakas zote bas asingekubali washirika wake wazalilike Kia's kile wakt anweza kumalizana na neo CEO kimya kimya
DuuuhKabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Watu wako smart sana,na walijua kusafiria nyota ya Corona vizuri sana!!Hivi yule mwenye jina la daraja la ubungo nini kilipata mbona hichi kipande hakipo? au mimi ndiyo sikuelewa?
Sasa kasema tuaishughulishe vichwa vyetu Ni riwaya kajitungia.Hapo na mm kaniachia maswal sna alijuwaje kinachojadiliwa in private room ya CEO wkt Ni wawili tu walikuepo
Ingawa ameamua kujiongeza I'll kupoteza uhalali wa kudhibitisha ukweli wa story yake
20 % Ni kweli mengine Ni hisia tu
Mnk mm mwenyewe nafatilia sna shughuli za ceo huwa na matukio yake mauhimu
Natamani kuwa mkubwa niyaoneWakati Mwl anafariki kile kikundi kilichofanya sherehe south Africa taarifa zao zilifikaje Huku !!!?...kijana kua uyaone
Ha haaaaa hawezi kujiponda hivyo!maana yoga kamuandika kama Shujaa lakini kimtindo ka muonyesha vibayasiku ukiambiwa yoga ni mr borntown sijui utazimia.