Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

One day palaypanda italia kwenye kampuni nao watasaga meno. Kuna mlevi mmoja alisikika akisema vongozi wa kampuni wanaokufa ni dini moja. Huyu mlevi sijui alimaanisha nini?
Ndiyo, anza na mchonga meno, uje na bonge, the late CEO.

Kuna kaelement ka dini hapa. Na ninachoamini mimi hawa the lates wamekuwa na misimamo ya kuileta zaidi nchi pamoja badala ya maslahi binasfi. Ndicho kinachowagharimu.

Nature ya waliobakia ni kupata "mimi" kwanza mengine baadaye. Ndiyo maana hata chama lao ni walalamikaji hata katika vitu vidogovidogo visivyo na msingi. Wametaka hata kuvaa hijab tu iwe sheria ya nchi.

Ni wa kukalamika sana.
 
Jamaa fala kweli... nani anataka msongamano wa mjini kwanza? na hata katika movies napendelea kuangalia ni zile zinahusiana na intelligence. Hivi kweli mtu anakua smart naastermind wa mambo makubwa hivi kwanini usimpende? Na simpendei kisiasa. Nimezikubali show zake[emoji23][emoji23] hakika bush stars wana la kujifunza. Mjini ni akili.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mbona husemi kuhusu kupumliwa kisogoni?
 
Code ambayo cjaipata hapa ni yule kijana wa old CEO aliyeamua kumgeuka na kuwa mshauri mkuu wa new CEO ni mhasibu mkuu aliyepo au? Na kijana aliyewekwa kizuizini baada ya late CEO ku RIP ni yule mwanaCUF wa zaman au yule uncle wa late CEO aliyekua cashier mkuu naombeni clue wadau twende sawa
 
The state waliamua toka gaberon room no 26...na ilikuwa Ni lazima iwe hivyo..sababu kubwa iluyopelekea maamuz hayo Ni kwamba badala ya ""kujenga taifa yeye alikazana kujenga nchi...""
Unakuta Old CEO na mishe zote hizo hayupo kwa deep state Wala inner circle executive, ni servant wa kawaida tu kama wengine, ama kweli state ni dubwana la kutisha mno.
 
Code ambayo cjaipata hapa ni yule kijana wa old CEO aliyeamua kumgeuka na kuwa mshauri mkuu wa new CEO ni mhasibu mkuu aliyepo au? Na kijana aliyewekwa kizuizini baada ya late CEO ku RIP ni yule mwanaCUF wa zaman au yule uncle wa late CEO aliyekua cashier mkuu naombeni clue wadau twende sawa
Man from mwisho wa reli.
 
Back
Top Bottom