Dark days 17/03/20...

Uzi umeshavamiwa na wajuaji wa kundi la the late CEO wanataka marekebisho kibao
sijui hiyo April mosi itaingia saa ngapi, tushushiwe nondo
asubuhi tunaanza na F/Day
Mkuu acha watu wawe huru kama ww unavyotaka uhuru. Yes, haukumpenda the late CEO, acha wanaompenda nao watoe maoni yao, sio kila ukipendacho lazima wote wakipende...acha ujuaji sana!
 
No hard feeling
 
kwani msimuliaji wa stori za mapenzi anakuwepo kila yanapofanywa mapenzi?
 
basi umejiona inteligent!! baki kuwa msomaji tu
 
Mkutano Mkuu haukua Na lengo la kubadilisha kitabu, ulikua Na lengo la kurudisha watu Wa tabasamu. Muvi inaandaliwa uchaguzi Wa baadae mwaka huu. Hapo Kutatokea cheche. Mkurugenzi Mpya sio mjinga kihivyo japo wamemuweka mtu kati lakini vitufe vipo mikononi mwake. Nafasi itajitokeza tu halafu atabadili upepo hawataamini. Bado rungu la ukurugenzi ni kubwa mno hata kama kazungukwa Na mbwa mwitu. Kila mtu anaprice yake kasoro Simba halisi wa kabila la Yuda. Halafu Mkuu Wa Walinzi yupo upande Wa mkurugenzi so bado anasapoti kwenye bodi. Ila nyuzi zinanyofolewa haraka mno. Hii ni riwaya tu.
 
Heeeee

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu acha watu wawe huru kama ww unavyotaka uhuru. Yes, haukumpenda the late CEO, acha wanaompenda nao watoe maoni yao, sio kila ukipendacho lazima wote wakipende...acha ujuaji sana!
kwanini na wewe usitunge ya kwako tuje tuisahihishe, tumeshaambiwa ni riwaya unaleta ujuaji kuliko (yoga) mwenye Hadithi vyote acha vijadiliwe mkuu
 
Ilikuwa hivi

Nasikia maumivu Kwenye kifua mwite msaidizi.
Msaidizi anakuja mara anagundua hali c hali wanaitwa mabingwa jopo la watu saba wawili wakitoka mzee nakijwa haraka inaamuliwa airlifting


Itaendelea....
itaendelea lini? hii inafanana na Ile ya mikoa ya korosho late CEO moshi ulipofuka ndani ya Cruiser wakamrush na airlifting
 
Mbona inasemekana mkuu wa walinzi wa kampuni keshaanza likizo ya kustaafu?
 
watu wanasema YOGA ni mfanyakaz aliyetumbuliwa alipokuwa tiss ndo maana ana mwaga tu ubuyu[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23] wacha weee!! Mie Kesho asubui nipo kazini kama kawaida!! Ingawa sio huko ulipo pataja [emoji23][emoji23][emoji23] blue monday!

Nakusalimu kwa jina la jamuhuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha kazi iendelee!![emoji9]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…