Dark days 17/03/20...

Old CEO fitina nyingi sana huyu mzee, sio mafia au masonic kweli huyu??

Ukute Yuko kamati kuu ya kuhakikisha satanic law of fives inafanya kazi.

Ila sote tutakufa na Mungu yupo atatenda sawa na mapenzi yake.
Hivi inawezekana kweli mtu hujaitwa mwizi ukaanza mwenyewe kukana kuwa mimi sio mwizi? nakumbuka siku mwendazake alipokuwa anaagwa kule kwao jamaa alijitetea sana mara oh mimi na mwendazake tulikuwa damudamu mara oh nilipewa kiwanja nijenge hapa mara oh si muliona ile picha nilipiga na mama wa mwendazake ile iliyotrend mtandaoni, na blah blah nyingi.... sielewi kwanini alikuwa amejishuka sana tofauti na wengine.
 
Mmh wacha weeee uko gud gud in creating stories.tunanyunywa chai hivi hivi au tusubiri na vitafunwa vya corona?
 
I smell fishy that day.[emoji2]
 
Kulindwa kiroho ndio nini?

Corona iliuwa viongozi wepi wakubwa before 1 May 2020?

Kuanzia hiyo tarehe hesabu miezi 10 tu angalia circle ya watu waliofariki mpaka kifo cha Magu,

Aiseeee mnafanywa wajinga sana.
 
HATIMAE yoga nimekutana nae leo kwenye foleni akienda kazini..hongera sana fanya kazi maana CEO wa kwanza wa taifa hili alisema kazi ni msingi wa maendeleo.
 
Kulindwa kiroho ndio nini?

Corona iliuwa viongozi wepi wakubwa before 1 May 2020?

Kuanzia hiyo tarehe hesabu miezi 10 tu angalia circle ya watu waliofariki mpaka kifo cha Magu,

Aiseeee mnafanywa wajinga sana.
JPM HAKUULIWA sasa wwe jidanganye hapa na speculation zako. Kama kufa walikuta wengi tu, mzee wangu ana 60+ kwenye taasisi aliopo yeye pamoja na senior directors wote walilazwa ICU na mitungi ya gesi n.k sasa naye angekufa ungesema kauawa kisa tu circle yake walikuwa ICU mmoja baada ya mwingine?

Kama ni Covid iliua wengi tu, pale UDSM imeondoka na ma doctor wengi sana tu sasa why iwe special kwa JPM kwamba akifariki basi kauawa??

Take it from me, defibrillator ilishaanza hitilafu toka 2017 na Alisha collapse akiwa Pemba na akiwa ametoka Lindi mbona hamkusema alikua anataka kuuawa?

Acheni speculation mnashusha hadhi ya JF
 
Mmh wacha weeee uko gud gud in creating stories.tunanyunywa chai hivi hivi au tusubiri na vitafunwa vya corona?
Wapi nimetaja corona?? Nimekwambia defribillator ilikua Ina hitilafu tokea 2017!!

Yaani Mkapa afe kwa polonium? Kwamba matambiko hayawezi kumshtua?? Hawa Marais wamezindikwa sana hamjui tu huwezi kumdhuru kipuuzi hivyo.

JPM alikufa kwa hitilafu ya defribillator na nemshakupa mifano ya watu kma Daley Blind mchezaji wa Ajax. Kwanini mnaleta ujuaji wakati facts ziko wazi?
 
Umeanza vizur kwenye cardiac arrhythmia ukaja kuharibu kwenye mazindiko alaf hii ni stori mkuu mbna unasoma umekunja sura ivo?

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni hadithi tu, wakiifananisha na matukio ndipo shida inapoanza...
 
zito kabwela
 
Umeanza vizur kwenye cardiac arrhythmia ukaja kuharibu kwenye mazindiko alaf hii ni stori mkuu mbna unasoma umekunja sura ivo?

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Yes ni fiction na ndio nikitaka hilo liwekwe wazi ila sio kuleta speculation kuwa kauawa. Marais mpka kuuawa sio kizembe sana wanalindwa sana kimwili na pia kiroho kwa matambiko mazito.

So hta hyo polonium ingeshtukiwa ukiwa Bado kilometer 10..... Ndio maana naamini JPM au BWM kuuawa sio simple vilee.
 
Hii ni simulizi lakini umelazimika kuiweka kwenye ualisia unataka watu wakuelewe vipi? Mleta simulizi kuna sehem kamtaja jpm? Wewe sasa mara mkapa mara jpm haya yote umeyatoa wapi?
Ukichukulia ati hii simulizi ni kweli yakitokea utaumiza sana moyo wako.

Kama kuna mtu humu anakubali kuwa hii ni simulizi, hivyo basi gonga like na mkuu yoga ashushe anaza episode.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…