Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Code ambayo cjaipata hapa ni yule kijana wa old CEO aliyeamua kumgeuka na kuwa mshauri mkuu wa new CEO ni mhasibu mkuu aliyepo au? Na kijana aliyewekwa kizuizini baada ya late CEO ku RIP ni yule mwanaCUF wa zaman au yule uncle wa late CEO aliyekua cashier mkuu naombeni clue wadau twende sawa
Tumekuacha mbali sana mkuu huelewi chochote [emoji1]
 
Chief Ni kwamba siyo kila tukio hili Ni la kweli zingine Ni kufikirisha Zaid how came old CEO na washirika wake kwenda kumpigia new CEO magoti aziwafukuze ktk chama badal yake wakaojiwa na kusalilishwa sna mpk mwingine alitembe mpk jumba jeupe kuomba tu msamaha
Ikiwa old CEO ndio mwenye kujuwa sarakas zote bas asingekubali washirika wake wazalilike Kia's kile wakt anweza kumalizana na neo CEO kimya kimya
Hujaelewa kitu
 
Baba yako pia alilazwa kwenye mitungi ya gesi pale mzena kipindi cha corona?
Jambo usilojua mpunguze ujuaji? Mtu unakomalia eti cycle ya New CEO ilimalizwa yote whilst Vifo vilikuepo all over the company kuanzia kitengo Cha Elimu mpaka kitengo Cha biashara!! Then Una isolate case ya senior officials wa company kwamba walikua targeted wao pekee?

Illogical reasoning
 
Naona Buyobe kule twitter amekopi na kupest bila kutoa credit afu akaishia kunilima block 🤣🤣🤣

C3407729-C602-4879-8FE4-945163D94996.jpeg
 
Jambo usilojua mpunguze ujuaji? Mtu unakomalia eti cycle ya New CEO ilimalizwa yote whilst Vifo vilikuepo all over the company kuanzia kitengo Cha Elimu mpaka kitengo Cha biashara!! Then Una isolate case ya senior officials wa company kwamba walikua targeted wao pekee?

Illogical reasoning

Tunga hadithi yako, hujakatazwa kuanzisha uzi wako. Unabishaaaa kama vile umetajwa zitto junior na kuitwa kwenye hadithi hii tunayosoma kujiburudisha. Huko uliposema unaandika sijui nini, rudi huko wengine tunakusoma kwa mara ya kwanza kwenye huu uzi

Acha wivu, kubali hujui kuandika hadithi za kuvutia kama hii.
 
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike

Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!

Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.

Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!

Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!

Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!

The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!

Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!

Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!

Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!

Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!

Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!

The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?

Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!

The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!

Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!

Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!

Let see will the new boss stick to the plan? or...


Itaendelea.......


Guess the company!??

Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...

Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
Acha kukopi uandishi wa watu, atleast ungemtaja author basi🙁
 
Jambo usilojua mpunguze ujuaji? Mtu unakomalia eti cycle ya New CEO ilimalizwa yote whilst Vifo vilikuepo all over the company kuanzia kitengo Cha Elimu mpaka kitengo Cha biashara!! Then Una isolate case ya senior officials wa company kwamba walikua targeted wao pekee?

Illogical reasoning
Unaumia nini!!??? Acha watu waamini wanachokiamini nawe baki na unachoamini. Binafsi nasoma kama stori tu ya kujiburudisha.
 
Back
Top Bottom