Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alichelewa kujua ina maana wanausalama wake walikua wap kama ndio hivyo bas alikosea sana kuwa underestimate adui zakeKuna kipande kingine hajakisimulia, kinaumiza kuliko hiki, hicho kipande ni cha old CEO alivyoenda kumuona. Akazuiliwa akauliza hata mimi? Akajibuwa ndio hata wewe huruhusiwi kuingia. Na kweli hakuingia. Kati ya watu waliondoka duniani na maumuvu makali ni the late CEO.
Kilichokuwa kikimuumiza zaidi sio alichofanyiwa, ni jinsi mchezo ulivyochezwa bila yeye kujua kajakujua ashachelewa.
Sio KILA USALAMA ni Daktari!!serikali ingesomesha madaktari bingwa wa moyo wengi wangemgundua Hata jukwaani tu na wangeanzisha Hata nyuzi za ku alert HUMU na hatua zingechukuliwa na angepona!!Lakini elimu ya kukariri hii na maneno ya kisiasa tupu hamna kitu watakufa wengi!!Alichelewa kujua ina maana wanausalama wake walikua wap kama ndio hivyo bas alikosea sana kuwa underestimate adui zake
Jamaa huyu kama yupo humu JF anatia aibu sana kajiwekea CODES zake hata haziendaniNaona Buyobe kule twitter amekopi na kupest bila kutoa credit afu akaishia kunilima block 🤣🤣🤣
View attachment 2175931
Inawezekana ndio yogaView attachment 2177130
Jamaa huyu kama yupo humu JF anatia aibu sana kajiwekea CODES zake hata haziendani
nimemwambia aache kuhamisha Riwaya ya mwenzakekwa copy & paste sijui atani BLOCK hata km yupo humu ni aibu kwa mwanamume
Kumbe tumeona wote eh? Mpk nikahisi ni yeye mwenyewe nn kajiita yoga[emoji23]Kuna mdau kakopy huu Uzi kule Twitter,.hasa kile kipande cha brach manager kumshughulia kijana msema Sana.
Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]Inawezekana ndio yoga
Vip inaendelea au ndo imeisha?Hey! I am not him!! Acha kijana wa watu apate ugali kupitia my creation!! Na asambaze ujumbe pia[emoji23]
By the way nimeghairi badala ya jumamosi kesho na drop a very interesting chapter naomba apewe taarifa akopy nayo!!
Good for him!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Lazima akulime TofaliView attachment 2177130
Jamaa huyu kama yupo humu JF anatia aibu sana kajiwekea CODES zake hata haziendani
nimemwambia aache kuhamisha Riwaya ya mwenzakekwa copy & paste sijui atani BLOCK hata km yupo humu ni aibu kwa mwanamume
Ndio maana sijawahi mpenda huyo jamaa ni mnafiki sana, hawa opposition kibongo bongo huwa wanakula na state house kupitia siasa za majitaka.kumbe haka kajamaa kachafu hivi!!!
kanakula jikoni miaka yote na kanapata harufu za mapishi yote, huko zambarau kamejificha tu, Leo kanamsifia New CEO amsamehe kocha wa timu pinzani aliyelimwa red card miezi 8 kumbe kananeemeka
The new CEO anademka hadi kusikodemkika. Mungu hamfichi mnafiki.New CEO sas HV hanajidhihirisha kuwa ile nafsi imempwaya San San na uweledi pia Hana kbsa ajui kuendesha kampuni kbsa Ana penda San kubembeleza wafanyakazi wa kampuni na anapenda kuonekana Yuko upande wa wafanyakazi .wkat inaonekana wasi wasi kuwa Yuko kwa upande wa walichonacho ambao hata hawafiki watu elfu 50000
New CEO Hana credibility Wal efficiency ya kuendesha kampuni hii kwa weledi Mkubwa nafikiri kila mtu ambaye Yuko ktk bodi ya kampuni anataka nafsi hyo aoneshe utofauti ingawa new CEO anajuwa kbsa watu Ni wengi wanaotamani hyo nafsi ya uCEO mpk imepelekea kuwaondoa baadhi ya maafisa watendaji wa idara nyeti Kam ardh na sheria kuondokewa ktk nafsi zao kwa Sababu inasemekana wamekuwa mwiba mchungu kwa kampuni hii kumdis CEO
New CEO sas HV amaekuwa na majibu ya shombo na ambayo hajali kutamka kweny public na kusababisha watu kukasirishwa na kauli zake za kibabe .mfno juzi aliojiwa na chombo kimoja Cha habr cha nnje alimjibu mwandishi kwa ubabe na hasira Kali bila kujali kuwa Yuko atarushwa live Kam vile anajibizana na mwanae sebleni kwake Yuko tu emotional San
New CEO muda wote Ni kumcritisize late CEO kuwa kila alilofanya nae ilikuwa siyo sahih wakt muda wote wtk wote walikuwa nae Kam msadizi mkuu wa r.i.p CEO inasikitisha San kuwa new CEO hawazi kukah siku week bila kumajadili late
New CEO amearibu uchumi wetu wa kampun kwa matamko yake tu yenye ukakasi ambayo hajui kuwa wkt mwingine matamko tu la CEO Ni sheria kwa utekelezwaji
New CEO Hana plann b anachowaza yey nikurudi Katika nafsi yake 2025 ajui lolote laweza kutokea kwake na kushindwa kuwa CEO Tena
New CEO anaendeshwa Kam rimoti ajui lolte kila kitu knafanyika kwake Ni kuulizaa watu wake waliomuweka pale
New. CEO ameajiru new HRM human resources manager wa kumshauri Nani amrejeshe nan amtoe au kubadilisha kazi
Kaz ya hrm hyu Ni kuahakikisha kuwa team yote iloyofukuzwa na late CEO bas warudishwe ktk nafsi yao kikamilifu pmj na kwmaba baadh yao waliingizwa ktk uchunguzi wa tuhuma wanazokabiliana nazo
New CEO ajitafakari sna jins anavyopeleka. Kampuni hii uhai wa kampuni Ni wa kutiliwa mashaka San dhid ya utawala wake
Hapa tatizo alimwamini daktari wake kumbe ndiye adui yake namba moja.Alichelewa kujua ina maana wanausalama wake walikua wap kama ndio hivyo bas alikosea sana kuwa underestimate adui zake