Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
The lost pages in the Late CEO diary

Page 3 : ABDUCTIONS......

Late CEO was dealing with all the people whom were critising him!!. watu aliowashughulikia ni wengi sana, including kijana msema sana, assistant wa mr new culture and some news reporters whom were reporting negative issues about him! Some were found dead and some came back alive!

Sadly aliyekuwa akiaminiwa na kutumiwa kusimamamia mission za kudeal na watu hawa ni kijana wa the late CEO, branch manager wa makao makuu!

Huyu bogus alikuwa anapendwa sana na late CEO, sanaaaaa!! but ni mmoja ya wa watu wapuuzi kuwahi kuaminiwa na The late CEO, kwani mission zake zoote alizopewa kuzisimamia zilikuwa failed na ziliishia kumchafua late CEO na kuwapa credit na holes mr born town kuplay dirty trick against late CEO[emoji26]

Iko hivi, baada ya branch manager wa makao makuu kuichafua taswira ya the late CEO kwa kuimplent failed missions za hovyo hovyo kwa baadhi ya critics wa the Late CEO, mr born town Aliamua kutumia loop hiyo hiyo kuendelea kuichafua taswira ya the late CEO na uongozi wake kwa kuplan issues na kuzi implent kwa kutumia inner cycle yake kwenye kampuni!

The master mind was like "huyu mtu anawapoteza watu wadogo wadogo sana wanao mkosoa na kujitengenezea taswira mbovu mwenyewe bila big headlines so why tusimsaidie kupata hizo headlines kwa kuact like tunataka kuwapoteza watu wakubwa while we are not"[emoji849]

So alitaka abductions ya famous people na Kulikuwa na top popular business figure ambaye ni kijana tu alikuwa ana own some small companies kwenye kampuni! alikuwa anajulikana na nikipenzi cha watu yote sababu ni mtu wa michezo sanaa! So alimatch the profile mr born town wanted!! Then kulikuwa na artist mmoja hv mzee wa mistari na vina huyu alijipatia umaarufu kwa critics songs zake dhidi ya late CEO

They decided kuanza na artist then akaja tajiri kijana![emoji849] Kuhusu artist itakuwa ni page no 2 next narration[emoji3526][emoji3526][emoji846]

Ilikuwa hiv! Mr born town gave the task to his team! Both Insinde the company and outside the company kum abduct kijana tajiri and create a huge dirty scandle!

After critical analysis, ili plan hii iwe succefful vizuri ikawa ni lazima kutumia trained outsiders Ku implement the mission!!

why outsiders!! Becouse it was easy to manipulate the story in the media especially when outsiders are involved!!

So what they did was hiring six men from BOTSWANA, simu ilipigwa south africa kwa mmoja wa good friends wa mr born town ambaye aliwakonect na hawa watswana!! hawa watu walikuja kama toorist na aliye wapokea is one of the getlemen from the born town team!

Walipelekwa kwenye one of the expensive hotel katikati ya mji then wakakutana na mwenyejiwao ambae aliwaambia who was their target!! Bila kusahu kuwapitisha on how watamabduct target husika!!

They were very very suprised to learn that wanapaswa kumchukua target na kukaa nae kwa siku kadhaa then wamuachie tu!! They had never had such a mission!! But As long has it had good money for them they accepted the mission!! This people were ritired military officers from BOTSWANA

iliandaliwa nyumba maalum kwa ajili ya ku mkeep target, na ilisisitizwa that Target asiguswe wala kufanywa chochote, ila purukushani za hapa napale anatakiwa azipate then he will be released!


Baada ya kulearn more abaout their target, na kuwa provided with lot of information on the target! This watu bana waliomba na wao kupewa siku kadhaa za kufanya maandalizi,

japokuwa walishapewa kila kitu kuhusu target wao they wanted to veryfy everything wao wenyewe, ili kama kuna erros kwenye taarifa na plan waliyo pewa wajue wanafanyaje kwa ufasaha!!

So walipewa two drivers, well trained ones, kutoka kwenye system kabisa ili kuwadirect mazingira, njia mitaa and etc according to the plan!! So the first day wakiwa na toyota Alphard zao mbili nyeusi, these guys walianza kazi yao, na moja kwa moja ilikua ni kufuatilia daily routine ya their target.

Walijidivide in to two groups! One group ilikwenda karibu na makazi ya target, lengo ni kujua target anaamka saa ngapi na huwa ana toka saa ngapi na akitoka anaelekea wapi!! So Some photo of kijana tajiri were taken huku wa kirecord every activities they saw taking place at kijana tajirs' home!!

Group ya pili ilikwenda kutega karibu na ofisi ya kijana tajiri! Lengo ni kujua huwa anafika saa ngapi, nani anampokea, securty patterns zake zikoje, anapaki wapi, anatoka saangapi and ETC!

Ufuatiliaji huu ulifanyika kwa siku kadhaa non stop And they were able to gether a lot of info in a very short time! After that wakaanza kukompare info zao na info za team ya mr late CEO ambazo tayari zilikwisha kukusanywa!!

Waliidentfy errors, strength and weekness of the whole Plan! Then wakaja na a very simple plan iliyokuwa well culculated na ikabarikiwa kuwa implemented

So wakajigroup tena in two groups, yaani two men wata kwenda kustay kwenye ile nyumba waliyopewa kumhifadhi target and four men with one local driver watapswa kum ubduct the target!!

Head securty wa main branch akapewa notification kutoka team ya mr born town kuwa vijana wake wakae mbali kwenye eneo la tukio if they were to be need watapewa taarifa wafike


They decided to ubduct tajiri kijana at his gym! Why!! sababu kwanza kwa mujibu wa surveillance yao siku chaguliwa ya tukio, tajiri kijana huwa anakuwa hana securty, hupenda kuwa alone!! Pili eneo analo paki gari yake nikaribu na mlango wa gym na kuna umbali kidogo kutoka huo mlango na walipo securty guards!!

Istoshe Kwakuwa walisha clean the roads, yaani maelekezo yako on air kwa askari wa kampuni kupitia team born town kuwa wanapaswa kuwa mbali na eneo la tukio maana watakuwa na shughuli yao maeneo hayo, it means they were assured freedom to do anything without hurting the target and interfearence yoyote ile

So early in the morning siku husika, tajiri kijana aliamka nowing nothing!! chap kidogo akenda kusali swala ya asubuhi then akjiandaaa kwenda gym!! Akatoka kwake akiwa alone anadrive range rover yake black metalic!

Kama mwendo wa dakika 6 au saba toka atoke kwake toyota alphard nyeusi iliunga tela nyuma yake just like a normal car on a normal drive!

tajiri kijana akiwa hajui lolote akadrive mpaka hotelini kwake kwenye anakofanyia mazoezi. So as ana park gari yake kwenye sport aliyotengewa na wenye hotel alinotice ile alphard nayo ikiingia ndani!!hakuitilia maanani as he thought labda kuna aother gym mates wanashuka pia kwaajili ya matizi

As he was taking his gym gear na hata hajafunga na ku lock gari yake aingie ndani, ghafla walishuka watu wanne, wakiwa wepiga white mask with guns!! mmoja akawa anamfata kijana tajiri mwingine kakaaa karibu na mlango wa gari aka shoot risasi mbili hewani!! mwingine pia anaelekea kwa kijana tajiri akiwa ka mpoint na gun akiwa ana shout kwanguvu! [emoji2788]"face on the ground i will shoot you, i say face on the ground"

Mwingine akaenda upande wa nyuma wa gari na short gun yake akiwa anaimarisha ulinzi wa tukio So kijana tajiri ikabidi chap kwa haraka alale chini! Jamaa akamwambia tena "hands behind your back and dont say shit i will shoot you" [emoji41]

kijana akabidi awe mpole akafata maelekezo vizuri kabisa, chap kwa haraka yule mmoja akabend, goti kwenye paja za kijana tajiri ambaye wakati huo amelala kifudi fudi mikono ipo kwa nyuma, akamshika mikono yote miwili iliyo nyuma kisha akampiga pingu chap then aka add na kamba kwa haraka sana!! Akatoa sign kwa mwenzie kuwa tayari kesha mtight bwana mdogo!! Then akafungwa kitambaa kizito hivi kwenye macho!

wakamnyanyua kijana chap chap, kokota mpaka kwenye gari kisha kumrusha ndani ya gari! nawao wakajump in chap sanaa!!

Ile Gari ilikuwa na uwazi pale kati kwani baadhi ya viti vilikuwa vimeng'olewa ili kupata nafasi ya kumuweka vizuri. ilipigwa kona moja hatari sana ya gari kugeuza walikotoka na kupitia geti hilo hilo waliloingilia na sio kule walikokuwa wanapaswa kutoka

safari ya speed kali ikaanza haraka kuelekea kwenye nyumba iliyoandaliwa kwa ajili ya kumtunza target!! Humo ndani zilikuwa nikelel za kutosha! Kijana tajiri ni anawekewa guns on his head, vitisho makofi kidogo kila akijaribu kuongea nao anaskia[emoji2788][emoji2788][emoji2788] "shut the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala up"


Wakati huo huo as gari ina move, kazi ya kuchana chana nguo zote za kijana tajiri alizokuwa amevaa kwa kutumia kisu aina ya CIVIVI cognet button lock flipper pocket knife, 14c28N blade G10 handle ilikuwa inafanyika na kuzirusha nje !!

Kijana Akabaki mtupu, yaani kama alivyozaliwa kisha bug scanner ikapitishwa kuangalia kam ana trucker ya aina yoyote ile mwilini mwake, wakakuta na kujiridhisha zaidi ya five times kuwa hana! So safari ndio ikaaa rasmi kuelekea kwenye mjengo!!

Baada ya kufika chap wale wawili waliobaki walipewa notfcation kwamba jamaa wako getini, walishuka kuwafungulia wenzao, walimshusha kijana tajiri haraka sana then akapelekwa kwa room mmoja ya juu!! Akaongezewa kamba miguuni ambayo ikawakonected na mikono Akawa ameachwa pale room still blinded!!

Mudawote alipo kuwa akijribu kuwaomba wamuachie alikuwa akitishwa nakula vitako vya bunduki kadha wakadha na kuambiwa akae kimya!! Lugha iliyokuwa inatumika ni english mixer kitswana!! Japo Some knew broken swahili

Notfcation ikatumwa kwa team born tow kuwa the target yuko tayari kwenye himayayao!! Team born town haraka sana ikaanza rasmi stage two ya lengo zima la tukio hilo ambalo ni kuendeleza sifa ya late CEO na kijana wake ya ku abduct watu but this time kumbe sio wao[emoji72]

So team kupitia watu wao wa mtando waka notfy public kuwa kijana tajiri na maarufu ndani ya kampuni naye amekuwa abudcted!!

Notification hizo zilienda na speculations kabisa kuwa suspect wa ilo tukio ni branch manager wa makao makuu chini ya mwavuli wa the late CEO[emoji23] na kwakuwa branch manager ashajulikana kwa matukio yake ya hovyo hovyo kama hayo, public haikusita kuziamni speculation hizo!!


Key figures kwenye mitandao wakapewa info, hash tags zikaanza kutembea!! #bringbackkijanatajiri bila wao kujua wanacheza ngoma ya ngomani ya mr born town and his subordinate, lengo ni kuendela kuput na kupush agenda ya bad image kwa late CEO iliyoa zishwa na kijana wake yeye mwenyewe kwa kuendesha mission za hovyo hovyo zilio fail na kumchafua late CEO!

Baadhi ya media pia, deep owned by mr born tow nayo zikawa subjected to promote tukio zima

Head securty aliyejua mchongo mzima baada ya kijithibisha tukio lishakamilika akafika hotelini pale na baadhi ya securty guards wake kwa mbwembwe sana, tayari target kesh disapear!! Zikapigwa tapes pale zile za njano za crime scene kulizunguka gari la tajiri kijana!!

Wakaweka labels kwenye ushahidi wao wa mchongo maaa kuna vitu vya kijana tajiri viliachwa kwenye gari including simu yake! [emoji39] wakati huo kijana mmoja alikwenda kwenye hotel securty room akijidai anataka memory cards za cctv camera as evidence, akapatiwa kumbe anakwenda kutemper nazo!!

kulikuwa na local securty team iliyopewa jukumu la kuwa kama back up na walinzi wa aeneo alilofichwa kijana tajiri until lengo litakapo kamilika! Hii team iliifanya kazi hiyo kwa umakini mkubwa sana!!

Kijana tajiri alipofikishwa kule ndani alikaa kwa zaid ya siku kama nne!![emoji16] Katika siku hizo Huku nje agenda kuu ni the late CEO amteka kijana tajiri, na aliye kuwa ana pionier agenda hiyo ni team mr born town wenyewe!!

Kijana akawa anawaomba kama wanaitaji pesa awape wamuachie maana fedha hilo sio tatizo sana kwake!!

Jamaa hawakuwa wanamjibu, wao walikuwa zao kimya tu!! Maana maelekezo ni kumretain tu then ku mrelease!! Wakawa wanampa chakula kijana tajiri ikafika mhala akasusa! akawa hataki, yeye ni kulia tu na kuomba aachiwe!

Sasa late CEO baada ya hii taarifa kuzagaa, na kuwa kubwa ilimkera sana!! Maana sio yeye aliyeagiza hii kitu na hajui chochote akawaita head securty wake wote ofisini, akawahoji whats goin on? Wakadai wapo kwenye investigation kuna tips wanazo wanazifuatilia!

akawaambia huyu nipublic figure, nawapa masaa 24 either apatikanae au mnieleze yuko wapi!! Na nini kinaendelea!! Mzee Akamwita na kijana wake akumuuliza kama anahusika, kijana akasema haja husika!! Nawala hakuna mtu kwenye task force yake aliyo iunda amefanya ilo tukio, Kijana akasema nayeye anazama ndichi kutafuta taarifaaa[emoji23][emoji23]

Sasa kumbe aliowaita pale yaan hao head securty baadhi yao waliokuwa wanajua the whole scenerial! waliandaa dramma za hapa na pale kupass time kutimiza lengo lao ambalo ni kuendela kuchafua image ya late CEO!!


Hizi drama zikawa zinaendelea tu! late CEO zikawa hazimwingiii akilini!! Akaandaa timu behind the scene ya kuchunguza the whole situation!

Wakati utafiti wake unaendelea mr bortn town na team mtandao, lengo lao lilikuwa limesha kamilika kwa kiasi kikubwa kwani joto la kumdai kijana tajiri lilikuwa at very high centigrade,. Kila mtu kila kona akawa anamtaja kijana tajiri na kumlaani branch manager na late CEO kama wahusika!

So Kwakuwa lengo limetimia wakaamua kijana tajiri awe released chap!! Ikizingatiwa na afyayake kule ndani inazorota baada ya kugoma kula!!


wale jamaa wakapewa taarifa kuwa time ya kumreleas kijana imefika, so wakaambiwa na wao wapark their bags tayari kuelekea nchi jirani kwa ajili ya flight yao kwenda south africa then botswana!!

wakamchukua kijana tajiri tia kwenye gari chap chap!! mida kama ya saa tisa za usiku wakatoka naye as wana toka cleaning team nayo ikawa inaigia kwenye ile ile house na kazi yao ikawa ni kuhakikisha hakuna ushahidi utakao wa identfy wale outsiders.

Wale jamaa wakaenda wakamdrop kijana tajiri kwenye viwanja maarufu tu town pale then safari yao kupitia kilimanjaro as toorist kurudi kwao ikawa imeanza rasmi

baada ya kumdrop pale taarifa chap ikatumwa kwa team mtandao kuwa kijana tajiri tushamuachia kazi kwenu!!

Team mtandao ikaenda mtandaoni wakatoa taarifa kuwa kijana amepatikana!! Chap habari zika anza kuspread kwa kasi ya six G[emoji1787][emoji1787] maana team mtandao iko vizuri sana kwenye kazi yao!! Speculation pia zikawa released za kutosha!!

Picha kadha wa kadha zikanza kuwa relased zikimwonesha kijana tajiri yuko kwake salama wa salmin na head securty wa makao makuu ambaye 100% alihusika na mchezo mzima wakinywa chai![emoji2963]

Late CEO ikawa haimuingii, yaani huyu katekwa na kaachiwa bila kutoa chochote how?? Alipotaka updates, Securty wake wa mchongo wakampa taarifa kuwa kuna kikundi cha watu did this trick ili kumchafua yeye na uongozi wake!!

Aliyempa hiyo taarifa ni head securty ambaye deep pia ni tawi la born town!! Na akasema wanawaidentfy moja baada ya mwingine ili kuwa shughulikia woote waliofanya hii kitu!!

Late CEO hakuamini kirahisi, after deep collection of info kupitia team yake alijua tukio hilo lilisukwa na one of his people

katika moja ya hotuba zake kwenye kampuni akiadress mambo mbalimbali ya kiutendaji, aliwanyooshea kidole moja kwa moja head securty wake na kuwaambia live kuwa hawa watu wa hii kampuni sio wajinga wanajua wanayo yafanya na kama hawatasema live basi moyoni watasema tu!!

Haiwezekani mumkamate dereva, muijue nyumba aliyotunzwa kijana wetu tajiri alafu mshindwe kuwatumia hao watu mliowakamata kujua who was behind the whole situation!!

He was very maaaaaad!! And deep investigation under his order was established!!

But lengo la born town lilikuwa limetimia!


[emoji12][emoji849]





Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Sasa nimeelewa thread ya Tumia akili kwamba:mstaafu aliekwisha kustaafu LAKINI hataki kustaafu anastaafishwa!!yaani the state inataka kushusha heshima ya old CEO Ili apoteze umaarufu na achukiwe na jamii Ili kuiua influence yake kwenye jamii yaani anapakwa mavi anuke Ili astaafishwe rasmi na kuondoa influence yake kwenye serikali yake!!NIMEAMINI STATE HAINA ADUI WALA RAFIKI WA KUDUMU!!HATA KATIBU MSTAAFU WA TCD AMECHAFUKA HAFAI KWAMBA ALISHIRIKI KUM ELIMINATE MWENYEKITI WAKE!!!!AISEH HONGERENI THE STATE KWA KAZI NZURI SANA!!!
 
Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Tuendeleee
 
Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Endelea hadithi unajua utungaji sana
 
Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Mungu wangu Mungu mkubwa hebu endelea nahisi mwili wote umelegea, natafuta Pop 🌽
Nasubiria usiitupe hii part 2
 
Leo mbona speed ya comment ndogo, hizi episode mbili wengi hazijawafurahisha?
Nimechelewa Mkuu mm nimeambulia moja tu lost page na. 3 ya kijana tajiri aliyechaniwa nguo, hiyo nyingine ya nyuma NI post na. ngapi tukiacha hii ya Branch manager akiomba kazi na kukataliwa, nimeona Kuna vituo vya Alizeti naomba namba ya post km ni episode 2 zimetoka
 
Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Tuendelee
 
Sasa nimeelewa thread ya Tumia akili kwamba:mstaafu aliekwisha kustaafu LAKINI hataki kustaafu anastaafishwa!!yaani the state inataka kushusha heshima ya old CEO Ili apoteze umaarufu na achukiwe na jamii Ili kuiua influence yake kwenye jamii yaani anapakwa mavi anuke Ili astaafishwe rasmi na kuondoa influence yake kwenye serikali yake!!NIMEAMINI STATE HAINA ADUI WALA RAFIKI WA KUDUMU!!HATA KATIBU MSTAAFU WA TCD AMECHAFUKA HAFAI KWAMBA ALISHIRIKI KUM ELIMINATE MWENYEKITI WAKE!!!!AISEH HONGERENI THE STATE KWA KAZI NZURI SANA!!!
Na staafishwe tu hata hao aliokuwa anacheza nao kombolela nao wafundishwe majukumu yao waache usaliti.
 
Nimechelewa Mkuu mm nimeambulia moja tu lost page na. 3 ya kijana tajiri aliyechaniwa nguo, hiyo nyingine ya nyuma NI post na. ngapi tukiacha hii ya Branch manager akiomba kazi na kukataliwa, nimeona Kuna vituo vya Alizeti naomba namba ya post km ni episode 2 zimetoka
Mkuu mbona vituo vya Alizeti siyo episode? Yalikuwa majibizano ya watu kuhusu the son of Mr born town, au mimi na wewe tumepitwa? [emoji848][emoji848]
 
Page 2

Dad, i think we need to take this boy sereous! He is talking about your education, convinsing people that you dnt have experience and bad enough he is saying that your reserach is a fraud dad! Just let me do something!

Ok! Yes nimemsikia, i dnt think it will be right for you to be envolved in this matter, there are people dealing with him!

That was like mara ya nne mr branch manger was calling his (dad) late CEO demanding go ahead to discipline this boy anaye onekana kama ana mhumiliate baba ake!!

Huyu kijana..........

Tuendelee au??

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Ndio tuendelee!!
 
Mkuu mbona vituo vya Alizeti siyo episode? Yalikuwa majibizano ya watu kuhusu the son of Mr born town, au mimi na wewe tumepitwa? [emoji848][emoji848]
jamaa yangu member Memento kanitisha kusema zimetoka episode 2 watu hawachangii naona sikumuelewa yoga leo katoa moja tu na ya pili ndio tunaisubiria natafuna pop 🌽
mniTAG maana kuna vipanga wanazipitia
 
Back
Top Bottom